Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mashamba mengi ya Tanzania production yake haijafikia maturity lakini growth speed yake ni kubwa kuliko .
Ntakupa mfano tu Mashamba makubwa ambayo Kenya huwez pata na hapo hatujaweka yale ya watu wa kawaida.

Tova Farms
Location: Tanzania
Size: Over 5,000 acres

Overview: Tova Farms is a multinational avocado company specializing in the cultivation and export of avocados. Their flagship farm in Tanzania spans over 5,000 acres, and they export to 13 countries globally.

Africado Ltd.
Location: Kilimanjaro Region, Northern Tanzania
Size: Over 1,000 hectares

Overview: Established in 2007, Africado has grown to become the largest fruit exporter in Tanzania, producing and exporting Hass avocados to the EU. The company works with over 2,000 small-scale out-growers.


Willis Avocado Farms
Location: Kilolo District, Iringa Region
Size: Information not specified

Overview: Founded in 2017, Willis Avocado Farms focuses on sustainable organic Hass avocado production. They aim to address societal issues like youth employment, women empowerment, and food security while capitalizing on the increasing global demand for avocados.

Lupembe Avocado Farm
Location: Njombe Region, Southern Highlands

Size: 400 acres (300 acres developed)

Overview: Established in 2019, Lupembe Avocado Farm specializes in organic avocado production. They also have a nursery producing high-quality grafted Hass avocado seedlings and work with over 300 out-growers.



Rungwe Avocado Company
Location: Southern Highlands

Size: Approximately 900 hectares (including out-growers)

Overview: Established in 2009, Rungwe Avocado Company has developed a network of over 2,000 farmers. They focus on high-quality avocado production for export markets


Hapo Kuna majority ya avocado farms bado ziko kwa unproductive stage na hazipo recorded .
Hata tukija kwa tova farms idadi kubwa ya shamba lake halijaanza uzalishaji .

Tukija Kenya hakuna shamba la uwezo wa hata acre 3000 .
Inshort Mashamba ya maparachichi Tanzania kwa sasa ni mengi na makubwa kuliko hata korosho
Pesa inaenda kwa matajiri lakini regular farmers hakuna … hizi zone ni corporations. Tembea Kenya and see the lifestyle of Tea farmers and nowadays avocado farmers.. Do research then come back ..
 
Pesa inaenda kwa matajiri lakini regular farmers hakuna … hizi zone ni corporations. Tembea Kenya and see the lifestyle of Tea farmers and nowadays avocado farmers.. Do research then come back ..
Tembea njombe uone lifestyle ya wakulima wa miti, nenda tandahimba uone wakulima wa korosho.
Kati ya wakulima wakubwa wa avocado ni kampuni moja tu ndo sio ya watanzania .
Sasa fikiria kama mkulima mmoja anaweza mmiliki more than 1000 acres za avocado unahisi atakuwa na njaa?
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pesa inaenda kwa matajiri lakini regular farmers hakuna … hizi zone ni corporations. Tembea Kenya and see the lifestyle of Tea farmers and nowadays avocado farmers.. Do research then come back ..
Regular farmer kwako ni yupi? Ebu njoo njombe uone mfano tu wa zao la miti linavyofanya watu wawe matajiri.
Mind you hao ni regular farmers tuu usichanganyikiwe na acreage
 
nchi iliolaaniwa 😂😂
IMG_7465.jpeg
 
Zambia signs $1.1 Billion deal to build major oil refinery in Copperbelt

By Agencies
Last updated: 22/07/2025

Zambia has signed a landmark agreement to build a $1.1 billion crude oil refinery and energy complex in Ndola, marking a significant step toward energy self-sufficiency.

Announced Monday, the project will process around 60,000 barrels of crude oil per day — enough to meet the country’s entire current fuel demand and potentially supply neighboring nations in the future.

The refinery, to be located in Zambia’s Copperbelt province, is expected to drastically reduce the country’s dependence on costly fuel imports and save millions of dollars annually.

Officials say the project aligns with Zambia’s long-term economic goals by boosting energy security, creating jobs, and strengthening regional trade links. Construction timelines and investors are expected to be detailed in the coming months.


MY TAKE
Hivi Ukunduni mnaona hii miradi au mnajipitisha kimyakimya mkiugulia?
 
That’s what happens when you have a stronger country surrounded by weaklings. It’s the same problem in the United States. Influx of cheap labor . That 300 ksh. can do more in their motherlands. Maybe it’s time for Kenya to form ICE ..😄😄
Kwikwikwikwi Huku Tanzania wakenya 80% ni wahudumu wa bar na kwenye mahotel na hatuongei chochote kwa sababu Tanzania kazi zipo nyingi
 
Back
Top Bottom