Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe unaongea 2036 wakati tuko 2025 . By then unafikiri Kenya itakuwa wapi?… we will be playing in the league of Mexico … kaa kimya!😁😁
Mashamba mengi ya Tanzania production yake haijafikia maturity lakini growth speed yake ni kubwa kuliko .
Ntakupa mfano tu Mashamba makubwa ambayo Kenya huwez pata na hapo hatujaweka yale ya watu wa kawaida.

Tova Farms
Location: Tanzania
Size: Over 5,000 acres

Overview: Tova Farms is a multinational avocado company specializing in the cultivation and export of avocados. Their flagship farm in Tanzania spans over 5,000 acres, and they export to 13 countries globally.

Africado Ltd.
Location: Kilimanjaro Region, Northern Tanzania
Size: Over 1,000 hectares

Overview: Established in 2007, Africado has grown to become the largest fruit exporter in Tanzania, producing and exporting Hass avocados to the EU. The company works with over 2,000 small-scale out-growers.


Willis Avocado Farms
Location: Kilolo District, Iringa Region
Size: Information not specified

Overview: Founded in 2017, Willis Avocado Farms focuses on sustainable organic Hass avocado production. They aim to address societal issues like youth employment, women empowerment, and food security while capitalizing on the increasing global demand for avocados.

Lupembe Avocado Farm
Location: Njombe Region, Southern Highlands

Size: 400 acres (300 acres developed)

Overview: Established in 2019, Lupembe Avocado Farm specializes in organic avocado production. They also have a nursery producing high-quality grafted Hass avocado seedlings and work with over 300 out-growers.



Rungwe Avocado Company
Location: Southern Highlands

Size: Approximately 900 hectares (including out-growers)

Overview: Established in 2009, Rungwe Avocado Company has developed a network of over 2,000 farmers. They focus on high-quality avocado production for export markets


Hapo Kuna majority ya avocado farms bado ziko kwa unproductive stage na hazipo recorded .
Hata tukija kwa tova farms idadi kubwa ya shamba lake halijaanza uzalishaji .

Tukija Kenya hakuna shamba la uwezo wa hata acre 3000 .
Inshort Mashamba ya maparachichi Tanzania kwa sasa ni mengi na makubwa kuliko hata korosho
 
Waaah enyewe tz ni takataka kabisa.
South Africa with a population of 64m wako na public service 1.4m, Thailand with 71m wako na 2.1m , tz with 68m has 500k!!!
Key word is poverty.
Teacher or doctor or police ratio to citizens lazma ni 1:10,000 😂
Nani aliroga hiii nchi!!
Acha kuwa fala zaidi ya nijuavyo, watu wana replace manpower na sophisticated technologies, serikali inatakiwa kuinvest kwenye mifumo kuondoa human error kwenye services delivery, ni ikulu yenu tu ilikua na wafanyakazi elfu 10 just a tiny house left by colonizers mpaka wanatakiwa wajengewe kanisa la billion 100 you can imagine how useless your civil servants are.

Marekani tu taifa kubwa limeondoa kitengo chake cha USAID kucurb over expenditures, ninyi malimbukeni fukara mnacollect 100 mnagawana 95 as salaries, 5 kwenye madeni na maendeleo na ufisadi 😂😂💀
 

Dah kummk.

Yaani for some reason unakosa hata neno la kusema na kuishia kushangaa.

Yaani kila uongozi hata uwe na ujinga vipi kuna vitu waafanya unashangaa kabisa.

I believe hii nchi tuseme kiongozi akija ghafla utasikia promo za kila sekta kumpaisha.


I think wanaompromote Mama wameokesea approach asee.

Walitakiwa kutumia approach nyingine like Achana na progaganda za kila sehemu mama hadi kwenye kiredio.

Instead progaganda iwe huku kwa economic development, yaani gari zikiingia tuseme zimamoto haina haja ya uchawa mwingi.

Unaenda unato speech on the importance of vehicles na usimamizi.unakazwa.

Kwisha haitaji hata "OKTOBA TUNATIKI"

I believe wengi humu hatupendi mambo ya Mama, mama kisa wanapoliticize everything.

Ingekua Mama ananunua alafu anafika kutoa short speech ansepa huku anakazia matokeo ya vitu vyake. Tusingefika kwa uchawa anafanya kaz fresh.
 
Mashamba mengi ya Tanzania production yake haijafikia maturity lakini growth speed yake ni kubwa kuliko .
Ntakupa mfano tu Mashamba makubwa ambayo Kenya huwez pata na hapo hatujaweka yale ya watu wa kawaida.

Tova Farms
Location: Tanzania
Size: Over 5,000 acres

Overview: Tova Farms is a multinational avocado company specializing in the cultivation and export of avocados. Their flagship farm in Tanzania spans over 5,000 acres, and they export to 13 countries globally.

Africado Ltd.
Location: Kilimanjaro Region, Northern Tanzania
Size: Over 1,000 hectares

Overview: Established in 2007, Africado has grown to become the largest fruit exporter in Tanzania, producing and exporting Hass avocados to the EU. The company works with over 2,000 small-scale out-growers.


Willis Avocado Farms
Location: Kilolo District, Iringa Region
Size: Information not specified

Overview: Founded in 2017, Willis Avocado Farms focuses on sustainable organic Hass avocado production. They aim to address societal issues like youth employment, women empowerment, and food security while capitalizing on the increasing global demand for avocados.

Lupembe Avocado Farm
Location: Njombe Region, Southern Highlands

Size: 400 acres (300 acres developed)

Overview: Established in 2019, Lupembe Avocado Farm specializes in organic avocado production. They also have a nursery producing high-quality grafted Hass avocado seedlings and work with over 300 out-growers.



Rungwe Avocado Company
Location: Southern Highlands

Size: Approximately 900 hectares (including out-growers)

Overview: Established in 2009, Rungwe Avocado Company has developed a network of over 2,000 farmers. They focus on high-quality avocado production for export markets


Hapo Kuna majority ya avocado farms bado ziko kwa unproductive stage na hazipo recorded .
Hata tukija kwa tova farms idadi kubwa ya shamba lake halijaanza uzalishaji .

Tukija Kenya hakuna shamba la uwezo wa hata acre 3000 .
Inshort Mashamba ya maparachichi Tanzania kwa sasa ni mengi na makubwa kuliko hata korosho
Pesa inaenda kwa matajiri lakini regular farmers hakuna … hizi zone ni corporations. Tembea Kenya and see the lifestyle of Tea farmers and nowadays avocado farmers.. Do research then come back ..
 
Pesa inaenda kwa matajiri lakini regular farmers hakuna … hizi zone ni corporations. Tembea Kenya and see the lifestyle of Tea farmers and nowadays avocado farmers.. Do research then come back ..
Tembea njombe uone lifestyle ya wakulima wa miti, nenda tandahimba uone wakulima wa korosho.
Kati ya wakulima wakubwa wa avocado ni kampuni moja tu ndo sio ya watanzania .
Sasa fikiria kama mkulima mmoja anaweza mmiliki more than 1000 acres za avocado unahisi atakuwa na njaa?
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pesa inaenda kwa matajiri lakini regular farmers hakuna … hizi zone ni corporations. Tembea Kenya and see the lifestyle of Tea farmers and nowadays avocado farmers.. Do research then come back ..
Regular farmer kwako ni yupi? Ebu njoo njombe uone mfano tu wa zao la miti linavyofanya watu wawe matajiri.
Mind you hao ni regular farmers tuu usichanganyikiwe na acreage
 
nchi iliolaaniwa 😂😂
IMG_7465.jpeg
 
Back
Top Bottom