ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Naona Home Market kashaweka Bango lake hapo Quality Center 😎. Huyu strategy yake ni kuwanyongea mbali Akina Home City na Happy Go shopping 😂Yeye anawazuia huko huko mbali kama alivyowazuia wanaotokea Mbezi, Tegeta, Mbweni , Salasala etc kwa kuweka hii kitu pale Africana.MUJIENJOY WAKENYA 😀
BRT PHASE 3 NYERERE ROAD SECTION
View attachment 3397525
View attachment 3397535
View attachment 3397537
View attachment 3397538
View attachment 3397543
View attachment 3397554
View attachment 3397555
View attachment 3397556
BATAOKOTA KUNYAVU 🔥🔥🔥 😂😂😂
Watoto wametulia aisee
Sisi wa mbezi angetuwekea yetu pale mbezi luisNaona Home Market kashaweka Bango lake hapo Quality Center 😎. Huyu strategy yake ni kuwanyongea mbali Akina Home City na Happy Go shopping 😂Yeye anawazuia huko huko mbali kama alivyowazuia wanaotokea Mbezi, Tegeta, Mbweni , Salasala etc kwa kuweka hii kitu pale Africana.
View attachment 3397646
Hapo Quality Center atakula vichwa vyote vya Ilala, Vingunguti, Chang’ombe , Gongolamboto , Mbagala etc. Mwendo wa kubanana kariakoo unapungua kwa baadhi ya Bidhaa.
Hilo junya ni shamba,eti mwenyewe akaachia na sura kabisa kwa picha zile 😃Hebu piga picha zako za Hawaii ya Kajiando tucheke.
hii ni vile CBD inafanana kabla hamujaekewa makeup 😂😂😂
View: https://x.com/mikesonko/status/1942187379646755255?s=46