Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You don’t have the brains to make such things. Kama bado mnategemea the likes of Maasai Scammer, Baboonman and watchman then your country still have a long way to go.
We fala Tanzania pale DIT inaunda bajaji za umeme sembuse hiko kitu hapo!?
Tanzania DIT inabadili magari kutoka mfumo wa mafuta kuja wa gesi na inabadili bajaji na pikipiki mfumo wa mafuta kuja wa gesi na umeme.
Tanzania sio level yenu kijana.
Kuna daladala za bajaji Kigamboni zinaundwa zinaitwa twiga.
 
Miss Grand Kenya. Kwikwikwikwikwikwi

View attachment 3397469
Venus at last tumekuona … I agree with you 💯 😁
IMG_7144.jpeg
 
Wacha uongo Mozambique ya Machel walitoa wanajeshi 800 hata Rais Samia kawashukuru juzi alipoenda Maputo! Na vita ilikikuwa 1978-1979!
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile 1979 wanajeshi na military advisors wetu walikuwa huko Mozambique wakilinda serikali ya Mozambique dhidi ya mashambulizi ya Makaburu na Renamo.
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile, unachosema wewe ilikuwa ni gesture of solidarity toka kwa Mozambique na sio msaada. Ni Kama Tanzania walivyochangia Japan some few thousand dollars kipindi cha tetemeko la ardhi.

"The Embassy of Tanzania in Japan, along with the Tanzania Community in Japan, provided 600 cans of Tanzanian instant coffee and 405 cans of other food items, with a total value of 355,000 yen, to Natori City in Miyagi Prefecture. The donation was delivered on April 9, 2011"

Unaita huu ni msaada, Japan walikuwa wanaitaji huu msaada wa vikopo vya kahawa 405?
Tumia akili na jua kutofautisha kati ya "msaada" na "solidarity".

Halafu acha kuwaita wenzio waongo simply due to your poor poor translation of events.
 
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile 1979 wanajeshi na military advisors wetu walikuwa huko Mozambique wakilinda serikali ya Mozambique dhidi ya mashambulizi ya Makaburu na Renamo.
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile, unachosema wewe ilikuwa ni gesture of solidarity toka kwa Mozambique na sio msaada. Ni Kama Tanzania walivyochangia Japan some few thousand dollars kipindi cha tetemeko la ardhi.

"The Embassy of Tanzania in Japan, along with the Tanzania Community in Japan, provided 600 cans of Tanzanian instant coffee and 405 cans of other food items, with a total value of 355,000 yen, to Natori City in Miyagi Prefecture. The donation was delivered on April 9, 2011"

Unaita huu ni msaada, Japan walikuwa wanaitaji huu msaada wa vikopo vya kahawa 405?
Tumia akili na jua kutofautisha kati ya "msaada" na "solidarity".

Halafu acha kuwaita wenzio waongo simply due to your poor poor translation of events.
Swadaktah waarabu wanasema.
 
This Hoima Stadium is going to put Arusha mini Stadium into shame.


View: https://youtu.be/rCOp243mxvA?si=DNaOL9dLMX136kAS


What is Hoima's capacity?

So now Kenya will have two 60K stadiums. If you can't fill those regularly (and you cannot) you will realize why this was a stupid decision. On top of that you built both of them in Nairobi. Another dumb decision. Why did Kasarani fall into such disrepair? might it have been due to maintenance costs?

AFCON 2027: How Kenya got it wrong as Tanzania, Uganda played it smart​


 
Back
Top Bottom