Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Venus at last tumekuona … I agree with you 💯 😁
View attachment 3397486
Mambo ya wakenya hayo. Naona hapa mwanaume mkenya ameolewa

1751907792667.png
 
Wacha uongo Mozambique ya Machel walitoa wanajeshi 800 hata Rais Samia kawashukuru juzi alipoenda Maputo! Na vita ilikikuwa 1978-1979!
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile 1979 wanajeshi na military advisors wetu walikuwa huko Mozambique wakilinda serikali ya Mozambique dhidi ya mashambulizi ya Makaburu na Renamo.
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile, unachosema wewe ilikuwa ni gesture of solidarity toka kwa Mozambique na sio msaada. Ni Kama Tanzania walivyochangia Japan some few thousand dollars kipindi cha tetemeko la ardhi.

"The Embassy of Tanzania in Japan, along with the Tanzania Community in Japan, provided 600 cans of Tanzanian instant coffee and 405 cans of other food items, with a total value of 355,000 yen, to Natori City in Miyagi Prefecture. The donation was delivered on April 9, 2011"

Unaita huu ni msaada, Japan walikuwa wanaitaji huu msaada wa vikopo vya kahawa 405?
Tumia akili na jua kutofautisha kati ya "msaada" na "solidarity".

Halafu acha kuwaita wenzio waongo simply due to your poor poor translation of events.
 
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile 1979 wanajeshi na military advisors wetu walikuwa huko Mozambique wakilinda serikali ya Mozambique dhidi ya mashambulizi ya Makaburu na Renamo.
Tanzania haikuwa na uhitaji wa wanajeshi na kipindi cha vita ile, unachosema wewe ilikuwa ni gesture of solidarity toka kwa Mozambique na sio msaada. Ni Kama Tanzania walivyochangia Japan some few thousand dollars kipindi cha tetemeko la ardhi.

"The Embassy of Tanzania in Japan, along with the Tanzania Community in Japan, provided 600 cans of Tanzanian instant coffee and 405 cans of other food items, with a total value of 355,000 yen, to Natori City in Miyagi Prefecture. The donation was delivered on April 9, 2011"

Unaita huu ni msaada, Japan walikuwa wanaitaji huu msaada wa vikopo vya kahawa 405?
Tumia akili na jua kutofautisha kati ya "msaada" na "solidarity".

Halafu acha kuwaita wenzio waongo simply due to your poor poor translation of events.
Swadaktah waarabu wanasema.
 
This Hoima Stadium is going to put Arusha mini Stadium into shame.


View: https://youtu.be/rCOp243mxvA?si=DNaOL9dLMX136kAS


What is Hoima's capacity?

So now Kenya will have two 60K stadiums. If you can't fill those regularly (and you cannot) you will realize why this was a stupid decision. On top of that you built both of them in Nairobi. Another dumb decision. Why did Kasarani fall into such disrepair? might it have been due to maintenance costs?

AFCON 2027: How Kenya got it wrong as Tanzania, Uganda played it smart​


 
Naona Home Market kashaweka Bango lake hapo Quality Center 😎. Huyu strategy yake ni kuwanyongea mbali Akina Home City na Happy Go shopping 😂Yeye anawazuia huko huko mbali kama alivyowazuia wanaotokea Mbezi, Tegeta, Mbweni , Salasala etc kwa kuweka hii kitu pale Africana.

IMG_6564.jpeg


Hapo Quality Center atakula vichwa vyote vya Ilala, Vingunguti, Chang’ombe , Gongolamboto , Mbagala etc. Mwendo wa kubanana kariakoo unapungua kwa baadhi ya Bidhaa.
 
Naona Home Market kashaweka Bango lake hapo Quality Center 😎. Huyu strategy yake ni kuwanyongea mbali Akina Home City na Happy Go shopping 😂Yeye anawazuia huko huko mbali kama alivyowazuia wanaotokea Mbezi, Tegeta, Mbweni , Salasala etc kwa kuweka hii kitu pale Africana.

View attachment 3397646

Hapo Quality Center atakula vichwa vyote vya Ilala, Vingunguti, Chang’ombe , Gongolamboto , Mbagala etc. Mwendo wa kubanana kariakoo unapungua kwa baadhi ya Bidhaa.
Sisi wa mbezi angetuwekea yetu pale mbezi luis
 
Back
Top Bottom