REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,229
- 10,913
Wasouth Africa ni swala la uongozi wao umewafelina watu waohawana uelewa. Tanzania selldrugsin China and there are many in their prisons kama tulivyo nao Wachina kwenye jela zetu kwa kesi za pembe za Ndovu. Lakini huwezxi sikia Mchina or Mtanzania akimbagaza mwingine kwa sababu hizo.Yani mnajichocha jinsi mlisupport Palestine halafu kwa vita vyenu na Amin Palestine ikasupport Amin na hamuoni aibu? 🤣 🤣
Ndio maana tunawaambianga ni nyinyi mnapenda kujipendekeza kwa watu hawamtaki hamsikii. Same way mko humu mnajichocha jinsi mlikomboa Africa Kusini wakati saahii Africa Kusini wanawaona tu kama drug dealers. 🤣🤣🤣