NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Haya waeleze vinyangarika wenzako babayao255 Sama boy 255 AKA gwiji wa historia and buffalo44 maanake wakielezwa na wanaojua kuwashinda hawataki kuskia.Palestine and Libya suppported Iddi Amin.
We caught their soldiers and sent them back.
![]()
VITA YA KAGERA; Majeshi ya Libya yaelemewa na JWTZ nchini Uganda-20
Kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi hakujua uwezo wa kijeshi iliokuwa nayo Tanzania. Askari wake walipata tabu kubwa walipokuwa Uganda.www.mwananchi.co.tz