Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kipi cha maana alichosema sasa? Usikuwe mjinga kama yeye maanake wewe ni mzee.
Evidence ya kwanza kuwa Sama boy 255 ana uwezo mkubwa wa kufikiri kukuzidi hii hapa.
IMG_4666.jpeg


Evidence ya pili ni ujinga unaouandika leo.
 
Not only defeated your miserable army, finally Amin fled through Arua en route to a misarble final life in UAE, Tanzania also installed your regimes from Yusuf Lure, Binaisa, Obote and finally M7
Whom are you referring to here by saying "your"?

You already admitted that your army was helped by what you called "collaborators" from the West and East. Why then are you taking credit for what you don't deserve?
 
Sasa huyo ndio mkuu wa hiko kikosi na aliwachakaza mbaya wanajeshi wa Amini. Na hata sasa Tunaweza kuwafira mbaya hao wanamgambo wa kunyarenda ambao mnawaita ati ni Jeshi. 🤣🤣🤣
Muanze na wahuni kutoka msumbuji wa kubeba panga na bakora
 
HODI HODI NAINGIA KUWALETEA SIFA ZA TANZANIA NAMNA ILIVYOFANYA KATIKA UKOMBOZI WA AFRIKA.

Mwaka 1962 Chama cha Ukombozi wa Comoro (MOLINACO) kilianzishwa jijini Dar es Salaam ikiwa ni hatua za awali za kupigania uhuru wa nchi hiyo. Leo nimepata heshima ya kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Comoro. Hakika, ni jambo la kujivunia kuona mchango tulioutoa wakati huo uliiwezesha nchi hii kupata uhuru, na imeendelea kupiga hatua za kimaendeleo katika kila sekta.

Mababu na mabibi zetu walileta uhuru wa kisiasa, na sasa ni wakati wetu kuleta uhuru wa kiuchumi, kwa nchi za Afrika kujengwa na watu wake kwa kutumia rasilimali za ndani. Ili kufikia lengo hilo, tutaendelea kudumisha na kukuza ushirikiano wa kibiashara na kudumisha udugu wetu na Comoro ambao umekuwa na manufaa kwa wote.

Nimetumia nafasi hii pia kueleza utayari wa Tanzania kupeleka walimu na vifaa vya kufundishia lugha ya Kiswahili nchini Comoro, hatua itakayoimarisha zaidi umoja na kurahisisha biashara. Kiswahili ni urithi wetu na ni daraja la maendeleo.


View: https://www.instagram.com/p/DLxG-pitE2r/?utm_source=ig_web_copy_link
 
Wako bize wanaiga kila kitu.
Hawajui kuwa saba saba ni siku Tanu ilipozaliwa 1954. Hiyo siku imekuwa ikisherehekewa tangu uhuru na iligeuzwa kuwa siku ya maazimisho ya biashara. Wao wameanza 1990. Vile vile ni siku ya Kiswahili duniani. Hata nane nane ni siku tumeisherehekea miaka nenda rudi kama siku ya wakulima. Nyang'au ni watu wa kuiga iga mpaka lugha ya wazungu. Upuuzi mtupu😁😁
 
Back
Top Bottom