Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Tatizo lenu wakudurenda mnataka tuchukiwe kama mnavyochukiwa lakini historia inawakataa katu babu yenu alikuwa bize kuwapora ardhi, kujilimbikizia mali kwahio huna unacho kijua kipindi hicho rais wenu alikuwa uhuru mbona hakupewa hata dakika ya kusalimia bahati nzuri africa inawajua mlivyo hamna jipya tena non NATO alley pumbafu kabisa
Sasa unatuletea video ya Jakaya, Mtanzania akiongea? Wewe akili yako huwa sii timamu.