Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Somalia imeshindwa.
Port au prince imeshindwa.
Port au Prince hatukuenda vita, tulipeleka polisi.
Somalia was a success. Before tuende Alshabaab walikuwa wanalipua mabomu Kenya kila mwezi, siku hizi mara ya mwisho uliskia alshabaab wamelipua Kenya ni lini?
 
Huo sio usaidizi wa kivita.
Ndio maana nimekwambia kasome makala za wataalamu wa vita ujue usaidizi wa kivita unatoka wapi.
Ni sawa useme USA imemuwekea army embargo Iran ndio useme ni sawa na USA imemsaidia Israel dhidi ya Iran.
Usaidizi wa kivita unatokana na financial aid,millitary equipments aid,millitary personell aid na intelligence aid.
Kama hivi havipo HUWEZI kusema mtu kasaidiwa katika vita.
USA ili act for her own geopolitical interests.
Mtanzania ni mtanzania tu. Let me ask you a very simple question. When you are engaged in war and at the same time you are limited in terms of buying new military equipment to replace your replenished equipment, will you be able to offer the same level of resistance as someone free and able to buy new ones at will?
 
Huo sio usaidizi wa kivita.
Ndio maana nimekwambia kasome makala za wataalamu wa vita ujue usaidizi wa kivita unatoka wapi.
Ni sawa useme USA imemuwekea army embargo Iran ndio useme ni sawa na USA imemsaidia Israel dhidi ya Iran.
Usaidizi wa kivita unatokana na financial aid,millitary equipments aid,millitary personell aid na intelligence aid.
Kama hivi havipo HUWEZI kusema mtu kasaidiwa katika vita.
USA ili act for her own geopolitical interests.
Ni targeted sanctions ambayo haiathiri nguvu ya kijeshi
Targeted Sanctions:
The U.S. has imposed visa bans and sanctions on specific Ugandan officials, including a deputy military chief for extrajudicial killings and police officials for torture. These sanctions also target individuals involved in corruption, such as the Speaker of Parliament and her husbands
 
Kunyans bana huwa wanajifurahisha sana toka lini Tukashabihiana na UK, USA.

Let we help you history ya Miaka ya 1970s, Tanzania ilisapoti waziwazi Palestine liberation organisation na ni nchi ya Kwanza Afrika to formal cut ties with Israel kuisuport Palestine na ya kwanza kuipa ubalozi sub saharan Africa 1973

View attachment 3396150

So UK, na USA kama kawaida ndio walikua supporter wakuu wa Israel unadhani wataenda kuisuport nchi ambayo ipo against na agenda zao.

Kuanzia capitalism, imperialism na their influence to global south.

Kumbuka miaka hiyo ya 1970s ndio Tanzania kupitia UN ambassador Dr Ahmed A. Salim ilipambania China kua na seat moja UN badala ya Taiwan kupelekea Taiwan isitambulike UN itambulike kama PRC, and kupitia hiyo china iliizawadia Tanzania highest national honor kupitia Mchango wa DR. AHMED A. SALIM

View attachment 3396159


I think mnaona sasa Taiwan ilivyo na USA.

Bila kusahau miaka hiyo ilikua imehodhi vikundi vya ANC (South Africa) ZANU-PF (Zimbwabwe), MPLA (Angola), FRELIMO (Msumbiji), katika kupigania uhuru ulio kua against na Interest za British.

Chukueni elimu acheni udwanzi
MAkunya yakishasoma Kiingereza cha ugoko na FAKE accents, ndio elimu hiyo YAMEMALIZA.

Kinachobaki ni EGO ya kujifanya yanajua kila kitu na yako bora kuliko kila mtu.

English yenyewe ya kwenda kutafutia vibarua ABROAD.

Nimeona Trump kayawekea 1% ya REMMITANCE
 
Mtanzania ni mtanzania tu. Let me ask you a very simple question. When you are engaged in war and at the same time you are limited in terms of buying new military equipment to replace your replenished equipment, will you be able to offer the same level of resistance as someone free and able to buy new ones at will?
Ushahama mada tayari.
Kuwekewa zuizi la silaha haimaanishi kuwa USA alimsaidia Tanzania.
Sijui elimu yenu ikoje aisee!!
Iran iliwekewa zuizi la silaha vita ya Iran-Iraq war na EU members je ni sawa na kusema EU members wamemsaidia Iraq dhidi ya Iran!??
Kuna shida kwenye elimu yenu .
 
Port au Prince hatukuenda vita, tulipeleka polisi.
Somalia was a success. Before tuende Alshabaab walikuwa wanalipua mabomu Kenya kila mwezi, siku hizi mara ya mwisho uliskia alshabaab wamelipua Kenya ni lini?
Success gani ilhali Alshabaab wanaingia hadi mipakani na kuua raia na kuondoka!?
Ilitakiwa muwa dismantle kabisa wasiweze kupenya Kenya.
 
Ushahama mada tayari.
Kuwekewa zuizi la silaha haimaanishi kuwa USA alimsaidia Tanzania.
Sijui elimu yenu ikoje aisee!!
Iran iliwekewa zuizi la silaha vita ya Iran-Iraq war na EU members je ni sawa na kusema EU members wamemsaidia Iraq dhidi ya Iran!??
Kuna shida kwenye elimu yenu .
Hilo jamaa ni jinga.

Kwanza Iddi Amin hakuwa na shida ya silaha kwasababu ya vikwazo.

Alikuwa na fighter Jets za kisasa kabisa.


View: https://youtu.be/aa6Pq7FS6mc?si=FfV2ZUcYSPUuxKhn
 
The United States didn't play a role directly in this war, but it played a role through its policies; namely imposing an arms embargo on Uganda and boycotting Uganda's coffee which impacted Uganda economically. All these impacted on Uganda militarily. In fact, Nyerere later later appreciated the goodwill shown by the US
So huu ndio msaada? Waliosaidia Tanzania are you guys stupid?
 
Yani mnajichocha jinsi mlisupport Palestine halafu kwa vita vyenu na Amin Palestine ikasupport Amin na hamuoni aibu? 🤣 🤣
Ndio maana tunawaambianga ni nyinyi mnapenda kujipendekeza kwa watu hawamtaki hamsikii. Same way mko humu mnajichocha jinsi mlikomboa Africa Kusini wakati saahii Africa Kusini wanawaona tu kama drug dealers. 🤣🤣🤣
Acha ujinga toa Sources wapi tulisaidiwa na USA na UK cause nimekupa matukio ya 1970s which proves hatukua goods side nao kabisa.
 
Yani mnajichocha jinsi mlisupport Palestine halafu kwa vita vyenu na Amin Palestine ikasupport Amin na hamuoni aibu? 🤣 🤣
Ndio maana tunawaambianga ni nyinyi mnapenda kujipendekeza kwa watu hawamtaki hamsikii. Same way mko humu mnajichocha jinsi mlikomboa Africa Kusini wakati saahii Africa Kusini wanawaona tu kama drug dealers. 🤣🤣🤣
Na unazidi kujiridhisha upumbavu wako seems una kijiba cha Roho ukiona Tanzania imeacha alama nyingi?

Can you prove me Palestine kumsaidia Idd Amin kwenye Kagera war, wakati tu walikua na uelewa nae cause Amin alikua hawapendi Israel na Israel ni adui wa PLO.

Weka source za madai yote unayoweka punguza mipasho.
 
Back
Top Bottom