Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tumechukua tuzo muhimi sana sana 🇹🇿🙌🏻
IMG_7244.jpeg
IMG_7245.jpeg
IMG_7246.jpeg
IMG_7247.jpeg
IMG_7248.jpeg
IMG_7249.jpeg
IMG_7250.jpeg
IMG_7251.jpeg
IMG_7252.jpeg
IMG_7253.jpeg
IMG_7254.jpeg
IMG_7255.jpeg
IMG_7256.jpeg
IMG_7257.jpeg
IMG_7258.jpeg
IMG_7259.jpeg
IMG_7260.jpeg
IMG_7261.jpeg
IMG_7262.jpeg
IMG_7263.jpeg
IMG_7264.jpeg
 
Duh hii inaitwa "TUMEKOMBA" hawa wanusa gundi walikuwa wanatembelea nyota ya Tanzania enzi zile tumelala, now kila kitu kipo open wanaumbuka. Basi hutowaona siku mbili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sasa tumebakia kwenye airline tu invest heavily kwenye kununua ndege za kisasa na kuongeza safari across africa and globe in general

bila kusahau kusimamia kwa uchungu rasilimali za taifa na kwa uweledi mkubwa

nimefurah kuona nyerere national park imechukua tuzo maono ya hayati magu kwa kweli he was right
 
ndio haya nasema yani hua tunasubiri dakika za mwisho kabisa maji yashatufika shingoni ndio tunahangaika sasa hii kitu hua inanikera sana
Na hilo ndo tatizo tulilonalo kwa serikali ya Tanzania.
Watu hawaact kwa muda. Yaan imefika hatua wananchi wanact fasth kuliko Serikali. Na ndo unaopelekea kuwa na unplanned settlements nyingi.

City Centre wangefukia kwanza nyaya za umeme ndo wajenge sidewalks lakin sijui sana mpango gani.
 
The white dude ni attention seeker. Kenya ambayo ni USA surrogate state haijawawi kupokea $40B aid toka USA ndio iwe socialist state, Tanzania?
You receive $2.8B every year..............now do the Maths for 19 years.

PS, Tanzania receives more aid than Kenya. Tukiwaambia mmedanganywa na wanasiasa wenu mnaona tunawatania.
 

The Kenyan revolution will spearhead an African revolution. It shall be written in history books that the revolution that led to the development of Africa was started by Kenyan youths. Na hii haitokuwa mbwembwe za watani wa vijiweni kama wa hapo Dar wanaojisifu waliikomboa Africa wakati hamna nchi inayowatambua. This is evident for everyone to see.
 
sasa tumebakia kwenye airline tu invest heavily kwenye kununua ndege za kisasa na kuongeza safari across africa and globe in general

bila kusahau kusimamia kwa uchungu rasilimali za taifa na kwa uweledi mkubwa

nimefurah kuona nyerere national park imechukua tuzo maono ya hayati magu kwa kweli he was right
Southern circuit inahitaji International airport.
 
Back
Top Bottom