ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Duh hii inaitwa "TUMEKOMBA" hawa wanusa gundi walikuwa wanatembelea nyota ya Tanzania enzi zile tumelala, now kila kitu kipo open wanaumbuka. Basi hutowaona siku mbili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tumechukua tuzo muhimi sana sana 🇹🇿🙌🏻View attachment 3388057View attachment 3388058View attachment 3388059View attachment 3388060View attachment 3388061View attachment 3388062View attachment 3388063View attachment 3388064View attachment 3388065View attachment 3388066View attachment 3388067View attachment 3388068View attachment 3388069View attachment 3388070View attachment 3388071View attachment 3388072View attachment 3388073View attachment 3388074View attachment 3388075View attachment 3388076View attachment 3388077
sasa tumebakia kwenye airline tu invest heavily kwenye kununua ndege za kisasa na kuongeza safari across africa and globe in generalDuh hii inaitwa "TUMEKOMBA" hawa wanusa gundi walikuwa wanatembelea nyota ya Tanzania enzi zile tumelala, now kila kitu kipo open wanaumbuka. Basi hutowaona siku mbili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na hilo ndo tatizo tulilonalo kwa serikali ya Tanzania.ndio haya nasema yani hua tunasubiri dakika za mwisho kabisa maji yashatufika shingoni ndio tunahangaika sasa hii kitu hua inanikera sana
You receive $2.8B every year..............now do the Maths for 19 years.The white dude ni attention seeker. Kenya ambayo ni USA surrogate state haijawawi kupokea $40B aid toka USA ndio iwe socialist state, Tanzania?
Designed by Architect James Kimathi.
Mwakani itabidi tuiingize na singeli kabisaDuh hii inaitwa "TUMEKOMBA" hawa wanusa gundi walikuwa wanatembelea nyota ya Tanzania enzi zile tumelala, now kila kitu kipo open wanaumbuka. Basi hutowaona siku mbili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unamsikiliza kichaa anayesema hajui TZ iko wap and 3 hours later anapost yuko Mlowo Mbeya huko. Kafikaje Mbeya.instanbul vipi ile 88% penetration yako? 🤣 🤣
Southern circuit inahitaji International airport.sasa tumebakia kwenye airline tu invest heavily kwenye kununua ndege za kisasa na kuongeza safari across africa and globe in general
bila kusahau kusimamia kwa uchungu rasilimali za taifa na kwa uweledi mkubwa
nimefurah kuona nyerere national park imechukua tuzo maono ya hayati magu kwa kweli he was right
Africa’s leading airport JNIA 👇🏾
View: https://www.instagram.com/p/DLeMYurIp4M/?igsh=ZjdreGU3bjd6ZXg1. Kuna wale jamaa wa mabanda ya kuvuja wa north, where are they.? 🤣🤣🤣
maneno ya kuambiwa changanya na yako😂Kisumu airport receives more passengers than Zanzibar at 1.6M passengers annually.
View attachment 3388198
Shida yenu ni kiingereza alafu tukiwaambia mnaona tunawachukia. Jamaa hajasema haijui Tanzania. Amesema wamarekani wengi hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani ya dunia ila yeye mwenyewe yupo Tanzania.Unamsikiliza kichaa anayesema hajui TZ iko wap and 3 hours later anapost yuko Mlowo Mbeya huko. Kafikaje Mbeya.
Acheni kuwaabudu hao Americans. Nako kuna wapumbavu wengi tu
Meanwhile tunaendelea kuwa independent kwa matumizi zaidi ya gesiView attachment 3388131
Kwahiyo huyo jamaa kusema haijui Tanzania Ndio nini yani.? Kwamba Ndio Tz itakosa kuchukua tuzo ya best airport in Africa au.? 🤣🤣🤣Shida yenu ni kiingereza alafu tukiwaambia mnaona tunawachukia. Jamaa hajasema haijui Tanzania. Amesema wamarekani wengi hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani ya dunia ila yeye mwenyewe yupo Tanzania.
Alafu huwa mnanifurahisha kila mara mzungu akisema kitu negative kwenu mnasema tunawaabudu wazungu yet huyo huyo mzungu akisema kitu negative kuhusu Kenya mnakiandika kwenye Gospel yenu ya Nyerere's Epistles to Kenya - hamtowai sahau na mnawafundisha hadi wajukuu wenu. 🤣 🤣 🤣