Africa’s leading airport JNIA 👇🏾
View: https://www.instagram.com/p/DLeMYurIp4M/?igsh=ZjdreGU3bjd6ZXg1. Kuna wale jamaa wa mabanda ya kuvuja wa north, where are they.? 🤣🤣🤣
maneno ya kuambiwa changanya na yako😂Kisumu airport receives more passengers than Zanzibar at 1.6M passengers annually.
View attachment 3388198
Shida yenu ni kiingereza alafu tukiwaambia mnaona tunawachukia. Jamaa hajasema haijui Tanzania. Amesema wamarekani wengi hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani ya dunia ila yeye mwenyewe yupo Tanzania.Unamsikiliza kichaa anayesema hajui TZ iko wap and 3 hours later anapost yuko Mlowo Mbeya huko. Kafikaje Mbeya.
Acheni kuwaabudu hao Americans. Nako kuna wapumbavu wengi tu
Meanwhile tunaendelea kuwa independent kwa matumizi zaidi ya gesiView attachment 3388131
Kwahiyo huyo jamaa kusema haijui Tanzania Ndio nini yani.? Kwamba Ndio Tz itakosa kuchukua tuzo ya best airport in Africa au.? 🤣🤣🤣Shida yenu ni kiingereza alafu tukiwaambia mnaona tunawachukia. Jamaa hajasema haijui Tanzania. Amesema wamarekani wengi hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani ya dunia ila yeye mwenyewe yupo Tanzania.
Alafu huwa mnanifurahisha kila mara mzungu akisema kitu negative kwenu mnasema tunawaabudu wazungu yet huyo huyo mzungu akisema kitu negative kuhusu Kenya mnakiandika kwenye Gospel yenu ya Nyerere's Epistles to Kenya - hamtowai sahau na mnawafundisha hadi wajukuu wenu. 🤣 🤣 🤣
Mmepata tuzo once sasa hatutapumua, do you know the number of times JKIA has won that award?Kwahiyo huyo jamaa kusema haijui Tanzania Ndio nini yani.? Kwamba Ndio Tz itakosa kuchukua tuzo ya best airport in Africa au.? 🤣🤣🤣
Hebu rudia kuandika tena.Shida yenu ni kiingereza alafu tukiwaambia mnaona tunawachukia. Jamaa hajasema haijui Tanzania. Amesema wamarekani wengi hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani ya dunia ila yeye mwenyewe yupo Tanzania.
Alafu huwa mnanifurahisha kila mara mzungu akisema kitu negative kwenu mnasema tunawaabudu wazungu yet huyo huyo mzungu akisema kitu negative kuhusu Kenya mnakiandika kwenye Gospel yenu ya Nyerere's Epistles to Kenya - hamtowai sahau na mnawafundisha hadi wajukuu wenu. 🤣 🤣 🤣
Kawaida yako kutwist mambo na kubadilisha magoli.Hebu rudia kuandika tena.
Mara gospel, mara wazungu, mara kingereza.
WHAT IS THE MAIN POINT.
Kuna a lot of things kujadili.
Nyinyi mnapenda sana online developments. Na hiko kichaka tutakifuta soon.
Juzi nilipanda hili basi la gesi, aisee I can't wait yawe 500 yakiletwa. Yana USB ports, AC, widespace, na hayana pollution kabisa.
Nyinyi endeleeni kufurahia online developments and nothing to delivers on the ground
View attachment 3388242
Kwa kichwa chako ushawai ona Ambulance ikiandikwa bila lateral inversion?
is this official source na mukiambiwa nyinyi ni wendawazimu munakasirik😂
Unaumia ukiwa wapi?is this official source na mukiambiwa nyinyi ni wendawazimu munakasirik😂
Mavi ya kale hayanuki bwana mdogo.. airport bora kwasasa Africa ni JNIA na ndio the most beautiful..Mmepata tuzo once sasa hatutapumua, do you know the number of times JKIA has won that award?
Saa hii KQ has won the best airline in Africa the the fourth consecutive year na tumenyamaza Tu, siku Any Time Cancellation Limited will win it najua hatutapumua pia.
Huyo Scammer hajui chochote.Kwa kichwa chako ushawai ona Ambulance ikiandikwa bila lateral inversion?
Akili zimeganda bongo nakuambia 😆😆Kwa kichwa chako ushawai ona Ambulance ikiandikwa bila lateral inversion?
27 Award Tanzania imezichukua
View: https://www.instagram.com/p/DLeM-ZPIsXz/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
tumechukua tuzo muhimi sana sana 🇹🇿🙌🏻View attachment 3388057View attachment 3388058View attachment 3388059View attachment 3388060View attachment 3388061View attachment 3388062View attachment 3388063View attachment 3388064View attachment 3388065View attachment 3388066View attachment 3388067View attachment 3388068View attachment 3388069View attachment 3388070View attachment 3388071View attachment 3388072View attachment 3388073View attachment 3388074View attachment 3388075View attachment 3388076View attachment 3388077