mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Unajue???Isee kumbe unajue kuwa wewe ni mshamba.
Unajue???Isee kumbe unajue kuwa wewe ni mshamba.
Hakuna kazi hapo ni mnyambo wa punda.Jiji la raha. Dar es salaam(the house of peace).
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
EPZ ziko kila sehemu ya dunia...punguza ushamba.Kiwanda cha nguo Dar es salaam EPZ
![]()
![]()
![]()
![]()
Hizi data ni za miaka ya nyuma sana, ivi wajua niko mahari gani na nna access HSPDA ya 2.85G (H+) nikiwa wapi? Sikuhizi mitandao ya simu yasimika minara ya data na simu hadi huko ndani sana mfano Halotel... na simu janja (smartphone) karibu ni nyingi kuliko simu za kawaida (featured phone) 95% is big lie for TZView attachment 661537 That is why we say there is a big difference between LDC and middle income
Mimi sio mshamba,ni mwerevu zaidi yako.Amka kumekucha mshamba.
.
Milungi iko sawaBangi na Milungi pia katazeni.
Hawawezi, wenyewe wanaita green gold, uchumi wao hauna mizizi mingi, miraa inawapa kipato japo kidogo, ila hawawezi kuzuia miraa, watakosa hata pesa ya salariesBangi na Milungi pia katazeni.
kwani iko na meno?Iko sawa kwa nini? Milungi inatofauti gani na bangi? Hujui inakula ubongo?
nilidhani middle economy mpo more civilized kutuzidi.kumbe sio.
That's personalJe, unatumia milungi?