Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nilidhani middle economy mpo more civilized kutuzidi.kumbe sio.

sisi tuli ban shisha since 2016....sioni mantiki ya Kuban shisha.
siku huzi huwa wanachanganya na unga juu ya competition kali. inaharibu vijana
 
tanzania hatutaki kusikia ujinga unaoitwa miraa....tangu lini majani mabichi yakatafunwa na binadaamu,kwani wao mbuzi au ng'ombe?.

c14fb35b205a429430cca9e083db1fcf.jpg
9083d203c90467aeca7483bef72605ea.jpg
 
Mimi sio mshamba,ni mwerevu zaidi yako.

kwanza I'm older than you,I'm in my 50s while you are on your 20s.you should call me dady.

you are just a poor kid fresh from college searching for any underpaid temporary job in kenya,though unsuccessful .

ujanja unaofanya leo,Mimi niliufanya siku nyingi sana hapa jf,pia nikaufanya tena mwezi October mwaka 2017.

nilimfanyia yule mkenya engineer kilaza aliyekuwa anatusumbua sana wakati fulani hapa kwenye thread yetu kwa porojo zake.

nilichonfanyia hatakaa akasahau katika maisha yake...akaamua kutoweka kabisa kwa hii thread... siku hizi anapitia kwa mbali.
91fe127ce5972781d355b67bb4ef130d.jpg
da0dca186591b4b24fad30fe6c8a17f6.jpg
Sa alikuwa akufunguwe boot?
 
Kiwanda cha Viatu vya ngozi Karanga Moshi (Magereza)
PIX%2B4.JPG



2.jpg


image_1.jpeg


Cq3rv4-WYAAEQjz.jpg



proxy


PIX3.JPG


PIX-4-16.jpg


PIX-4-2.jpg
 
Back
Top Bottom