Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakutakuwa na comeback ya hii , milele
Hawa wanusa gundi tukiwapiga gape litakuwa ni triple, yn kwa ss hii GDP yetu ya $150B ikishakuwa published plus na hii miradi ikishaanza ku operate, tutagonga mpaka $300B in the near future wakati wao watakuwa wamerudi nyuma kwenye $75b ambayo ndiyo uhalisia wa GDP yao.
 
JKIA
PXL_20250614_034023136.jpg
PXL_20250614_034029685.jpg


Aden Abdulle International Airport
PXL_20250614_055453033.jpg
PXL_20250614_055444262.jpg
 

Attachments

  • PXL_20250614_055453033.jpg
    PXL_20250614_055453033.jpg
    735.7 KB · Views: 5
Uwanja wa makeshift tents!
That is terminal 2, for departures to East African countries. JKIA is a busy Airport. It's currently overwhelmed. If it was handling 2.3M passengers like JNIA it wouldn't need those makeshift tents you speak of.
 
What are they upgrading with $1.4b Kwa km zaidi ya 1000, ? If they are keen to invest, they truly have to invest, Hapo naona ni kujaribu sio kuwekeza
Yako mambo mengi sana katika upgade ya Tazara
1. Strengthening of bridges and culverts to carry more weight
2. Laying of bigger pound rails to support more cargo and speed
3. Fleet upgrade
4. Communication Systems upgrade

Lengo ni kuongeza uzito wa mzigo per axle na speed ya reli na kuifanya iwe more efficient
 
Back
Top Bottom