Arusha hakuna nyumba za udongo kama Mombasa mzee tafadhariKama Arusha tuu
Kwnn huwa mnajenga vitu jua kali namna hii?Punguza, kuropokwa interchange ni yetu au ni yenu?
![]()
![]()
mwaka wa kumi haijakamilika sio?Punguza, kuropokwa interchange ni yetu au ni yenu?
![]()
![]()
Nani alikudanganya haijakamilika, that's an old photo we mzee. The interchange is complete and opened for traffic.mwaka wa kumi haijakamilika sio?
So you celebrate when foreign born inmigrants acquire TZ passports but you are against Kenyans acquiring US passports.. ok .. I get you ..😄WE even have Whites who ditched their passport, for a Tanzanian one
I can celebrate foreigners who ditched their passports and embraced the Kenyans passports.So you celebrate when foreign born inmigrants acquire TZ passports but you are against Kenyans acquiring US passports.. ok .. I get you ..😄
hatupaswi kufananisha Africa's Safari City Arusha na miji ya mashoga wavivu na malazy slow illiterate kama mombasa.Sasa hapo Mombasa na Arusha wewe unaona Kuna tofauti gani?View attachment 3364396View attachment 3364397View attachment 3364398View attachment 3364399
I’m telling you bro. Hapo dereva akimaliza kisahani chote gari inapaa. 😂😂kitu hakikukamilika ndio maana walienda mute! Kitu kina ramp ya kupaisha gari kama rocket! 😀 😀 😀
Hii interchange ni mbaya bhana. 🤣🤣🤣 hapa mlijitia aibu.Punguza, kuropokwa interchange ni yetu au ni yenu?
![]()
![]()
Unajua Tanzanians hawana tamaduni za kupiga piga picha miundombinu, ni kama suala jipya tu, that’s why miradi mingi inaendelea na hata watu hawajui what is going on, na ndio mana hata miji yetu watu hawajui ni mikubwa kiasi gani na inafananaje kwa picha za juu.. hii Dar yenyewe around 60% of it hakuna picha zake humu, ni yale maeneo machache ndio kuna picha zake kidogo mno, lakini Dar is very huge city. Labda bertin akipata drone anaeza onyesha dunia ukubwa wa miji yetu, coz anajitahidi kufanya vizuri sahii.Ila kwa hili naipa heshima Tanzania.
Yani inafanya mambo kimya kimya baadaaee mnakuja kushangaa vuuup watu wanakaribia mwishoni mwa kazi.
Mie mwenyewe sikujua kama uwanja umefika mbali hivyo kiujenzi.
Nilikaribia kuamini kwamba bado unajengwa msingi.
Uliitumia lini?Hii interchange ni mbaya bhana. 🤣🤣🤣 hapa mlijitia aibu.
juakali stuff naona tope kwenye ramp! halafu kuna mbwa wanadiriki kufananisha Dar na upuuzi wa Nairobi na Mombasa!Hii interchange ni mbaya bhana. 🤣🤣🤣 hapa mlijitia aibu.
Una maanisha hii👇👇., Mombasa sio mwenzenu.., even road infrastructure..., nje ya Dar haupati.,Mungu wangu ni ile roundabout? duuh! poooor quality!
![]()
onyesha traffic ikipita kwa ramp to outerspace!Nani alikudanganya haijakamilika, that's an old photo we mzee. The interchange is complete and opened for traffic.
Bongolalas tunajua hamjazoea kutumia interchanges.onyesha traffic ikipita kwa ramp to outerspace!