Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa Wahuni ndio maana kila siku Nairobi

Screenshot_20250608_202415_Facebook.jpg
 
Mimi natumia NMB Mkononi App.

Nalipa bure
GePEG bure
Airtime bure

Hata kadi ya Bank sitembei nayo siku hizi.
Itabidi nihamie huku sasa. Japo Bado hawajaconnect sehemu nyingi kama Mwendokasi app, basi bora, Malipo ya WIFi nk.

Lakini mpesa is widely used hata wasio na smartphones. Wangepunguza au kuondoa makato kwenye lipa kwa simu
 
Hakuna mtu ana ujasiri wa kuongelea chochote Kenya.

Kenya wapiga kelele ni wanasiasa wasiokula na desperate slum dwellers.

Haya sasa hivi Luos hawafanyai maandamano, shida zao zimeisha??
Hata wewe mwenyewe unajua unajidanganya. Hata Watanzania wenzake (wasio humu) ukiwaambia haya uliyoandika watakuambia uache kujidanganya.
 
Hata wewe mwenyewe unajua unajidanganya. Hata Watanzania wenzake (wasio humu) ukiwaambia haya uliyoandika watakuambia uache kujidanganya.
Wewe ulikuja Dar kutembea, mbona hatuoni picha za Slums😅

Tena ukawa unasema unarekodi mabaya na mazuri.

Mabaya yako wapi sasa.

Ulipita Keko, na Chang'ombe mwenzako hapa anasema ni Slum.

Video ziko wapi??
 
Bado wanafanya mpaka leo. Lipa kwa Mpesa haikupaswa kuwa na makato hivyo. Tungekuwa tunalipa kwa simu kila mahali. Juzi nilibook bus nikalipa kwa simu walichukua 2000 kabisa kama makato. Yaan wanadiscourage kabisa lipa kwa mpesa. Mtu akiangalia hiyo 2000 si bora abook kituoni na apate hata supu ya book jero

Kusingekuwa na makato hata Daladala zote tungelipa kwa simu kama fuliza, pochi nk kama baadhi ya route za Matatu kule Nairobi .

Hapa akina NairobiWalker nawapongeza, matatu zao nyingi hasa za thika road unaweza lipa kwa simu. Japo Bado tunawapita kwa kuwa na City Mobile application ya Mwendokasi na Dar city NCARD ambazo nazo ni cashless
To be honest, we kind of retrogressed in that sector but tumeanza kurudi. Around 2009, Smart Bus was introduced in Nairobi. It was supposed to take over all matatu business. It was 100% cashless, you used a card to get in. You would swipe your card and a rotating door like the one in airports would open. They had introduced it on some routes but somewhere down the line, matatu cartels ruined everything. That was way back in 2009.

Screenshot_20250608-204729.png
 
The

There is nothing coming up you baboon.

The hotel will occupy only 14 floors na maybe hata ni an existing building ju hizo ghorofa zenu hua empty for years. Pole sana kama unadhani itakua a whole hotel tower kama JW Marriott, the tallest 5 star hotel in Africa.
Nyie mkitaka kulia mlie tu 🤣🤣🤣🤣👇🏾
IMG_8522.jpeg
 
Back
Top Bottom