Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zaid ya Mombasa port Kuna kingine mnachoweza kusema mmeizid tZ ? Maisha mazuri yanaanzia kwa kuangalia local governments yaan counties kwenu , inakuwaje mkawa mna uchumi nzuri wakati Kuna county total local revenue collection Iko below usd 713,000. Hakuna province Tanzania ambayo Iko below tzs 10bl sawa 3.6mil
Hizi nikama ndoto za alinacha., kushirikisha ubongo hauna.., if I put here county by county with per Capita income tulinganishe na Tanzania utaona aibu mlio nayo.., yaani on average Kenya imewaacha mbali.,
 
Hii ni google earth image 2025 eti🤣🤣🤣🤣,mwehu limekwepa🤣🤣🤣🤣., leta google earth ya hizo list kila eneo, Anika humu wazi wazi tujionee, mbona unaogopa??
Kwa ground 2025 hakuna sehemu inafanana hivyo, this👇 is that pipeline leo hii, na sehemu zingine, mmeshindwa kabisa, ukweli inawaumiza mnatamani tufanane ila mko peke yenu kwa ufukara wa kutupwa
View attachment 3358316
View attachment 3358315
View attachment 3358317
View attachment 3358318
View attachment 3358319
View attachment 3358320
View attachment 3358321View attachment 3358322
View attachment 3358323
Hii ni mikocheni?
 
Hizi nikama ndoto za alinacha., kushirikisha ubongo hauna.., if I put here county by county with per Capita income tulinganishe na Tanzania utaona aibu mlio nayo.., yaani on average Kenya imewaacha mbali.,
Per capita ipi mzee.? ile uliweka juzi nikakuaziri.?🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Sgr imegotea Dodoma hapo huko mbele hamna chochote kinachoendelea by now phase 5 inabidi iwe imekamilika 100% awamu 3 na 4 zinafaa ziwe zaidi ya 60% ila serikali na trc wapo kimya ili jambo tunalikwepa kwepa umu ila ndio uhalisia wenyewe ila kila mwaka tunaskia budget imeongezeka
Mbona unasema ukweli humu, utanyongwa na wenzio🤣🤣🤣🤣
 
Siyo hoja. Hoja ni nini sasa?

Affordable housing ni deductions kutoka salary slip za wafanyakazi.

Wizi tu, mmekubali.

The issue ni kwamba your tax money is HEAVILY eaten by your political CLASS.
Na tunaona matokeo., nyie mnatafunwa na miradi haisongi., maisha ni yale yale, uswazi zinazidi kusambaa taifa mzima., hamna nafuu yoyote., Kisha serikali imewabana hamna sauti., mtafinywa mkipiga kelele jiangalie sana,
 
Mbona unasema ukweli humu, utanyongwa na wenzio🤣🤣🤣🤣
Unapata moyo.? 🤣🤣🤣 maumivu ni yale yale. Hii ni video ipo released 2 weeks ago. From Morogoro to Makutopora 👇🏾
View: https://youtu.be/ICL4r_Zv6pY?si=xKDG-mtOXevlZcQK. Mwanza-Isaka phase 5 63% done. 👇🏾
View: https://youtu.be/rdEE6mDK2uA?si=0WSJjRZTBD8nDiaV. 🤣🤣🤣 mwanza kuna sgr viaduct ya 1.5 km in the city center 👇🏾huyu jamaa alikua mwanza last 2 weeks tazama hii video kuanzia 5:49 👇🏾
View: https://youtu.be/0ww4HojmY-I?si=2pKqEja3NglHLxNt.

Wewe Upo hapa kuleta tu empty talks. 🤣🤣🤣🤣 sisi sio wenzenu pumbavu.
 
Na tunaona matokeo., nyie mnatafunwa na miradi haisongi., maisha ni yale yale, uswazi zinazidi kusambaa taifa mzima., hamna nafuu yoyote., Kisha serikali imewabana hamna sauti., mtafinywa mkipiga kelele jiangalie sana,
Tueleze, njaa lini itapotea kundustan?
 
Hizi nikama ndoto za alinacha., kushirikisha ubongo hauna.., if I put here county by county with per Capita income tulinganishe na Tanzania utaona aibu mlio nayo.., yaani on average Kenya imewaacha mbali.,
Per capital income inajumlisha hela inayotoka central government inamaaanisha makusanyo ya kra. Hii haikasi uhalisia wa eneo husika bali county revenue inaakisi hali halisi ya economic activity husika
 
Na tunaona matokeo., nyie mnatafunwa na miradi haisongi., maisha ni yale yale, uswazi zinazidi kusambaa taifa mzima., hamna nafuu yoyote., Kisha serikali imewabana hamna sauti., mtafinywa mkipiga kelele jiangalie sana,
Miradi ipi ambayo haisongi we mpumbavu.? 🤣🤣🤣🤣 nikishusha miradi ya bongo utakua na comeback yoyote we kichaa.? Labda uombe usaidizi kutoka Uganda 🤣🤣
 
Per capital income inajumlisha hela inayotoka central government inamaaanisha makusanyo ya kra. Hii haikasi uhalisia wa eneo husika bali county revenue inaakisi hali halisi ya economic activity husika
Per Capita sio Capital, na naongelea ya counties.., ama umekurupuka tu bila kusoma na kuelewa? Mbona zezeta hivi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
 
Back
Top Bottom