Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Hizi nikama ndoto za alinacha., kushirikisha ubongo hauna.., if I put here county by county with per Capita income tulinganishe na Tanzania utaona aibu mlio nayo.., yaani on average Kenya imewaacha mbali.,Zaid ya Mombasa port Kuna kingine mnachoweza kusema mmeizid tZ ? Maisha mazuri yanaanzia kwa kuangalia local governments yaan counties kwenu , inakuwaje mkawa mna uchumi nzuri wakati Kuna county total local revenue collection Iko below usd 713,000. Hakuna province Tanzania ambayo Iko below tzs 10bl sawa 3.6mil