Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mikocheni,Kijitonyama na CBD kwa mbaaali
00249397f24276b93b8698ebfdbf785c.jpg
 
Mbona kule JamiiForums.com hakuna discussion nzito kama hapa JF, inaonekana wengi ni watoto wa vyuo, mazungumzo yao ni mepesi sana, zaidi wanazungumzia sex na matusi, kule ni akili ndogo sana, hakunifai kabisa
Ndugu,, kule pia kuna sub-forums kama vile hapa Jf. Inategemea na section gani itakayokupendeza.
sasa wewe umechungulia jukwaa la mapenzi la huko unakuja na mihemko.
huko sisi huongea umuhimu wa Nuclear na Coal na jinsi gani itabadilsha dunia
 
Ndugu,, kule pia kuna sub-forums kama vile hapa Jf. Inategemea na section gani itakayokupendeza.
sasa wewe umechungulia jukwaa la mapenzi la huko unakuja na mihemko.
huko sisi huongea umuhimu wa Nuclear na Coal na jinsi gani itabadilsha dunia
Ndiyo sababu nikasema kule kuna wanafunzi wa vyuo zaidi, wanafunzi ndiyo wanaoishi maisha ya kufikirika yasiyo na uhalisia, sasa nchi ambayo mamilioni ya watu wanakufa kwa njaa, kipindupindu, insecurity, malnutrition, na wanaishi kwenye mabanda ya nguruwe, vipi kuanza kuzungumzia nuclear badala ya hayo mambo ya msingi?

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom