Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Miaka hiyo ulikuwa na umri gani. Vijana wa Ubelgiji kwikwikwikwi. Maji ya moto yametiwa kwenye tundu wadudu wote mtatoka. Tutailinda Amani ya Tanzania kwa gharama yoyote. Kama Tundu Lisu anahatarisha amani yake basi yeye atalipia, kama ni wewe gharama ya amani utailipia.

Hatucheki na kima likija suala la Amani yetu
Angalia profile kwanza wewe umekuja juzi jamiiforum Kuna watu tumeanza ikiwa ni jambofurum . 🤣🤣🤣🤣
 
Haha jiulize sasa na wewe umekosea ilibadilishwa mwaka /5/2008🤣🤣🤣
Sawa, naweza kuwa nimekosea, ni muda mrefu umepita, ila mwenzako ninarisiti kwenye profile yangu, kuwa nilikuwepo wakati wa jamboforums. Tena nakumbuka ilivyokuwa offline kwa muda, iliporudi ndo ikaja hii jamiiforums. Sasa wewe mwenzangu na mimi, proof yako iko wapi?
 
Duuuh mkuuu nadhani unahitaji sana iingie deep sana kwenye issue za kisiasa na uache kusikiliza propaganda.
Ukisema Kuna hela ya ubelgiji ilitakiwa uwe na evidence letsay cheque au watu wakigawana pesa
Sio Kila uchaguz kama wa mwambukusi una influence ya watu wa nje tuachage kusikiliza propaganda bali uhalisia. Haya ndo yanatufanya tuendelee kubali nyuma , Leo hii kampuni zinazzongoza kulipa Kodi hazifikii zile zenye mitaji mikubwa, yaan Leo hii bakhresa au mo mwenye viwanda zaid ya 30 hayumo kwenye top ten ila nmb yupo🤣🤣🤣🤣
Usipende ku comment ujinga kwa mtu usiye mjua.
 
Sawa naweza kuwa nimekosea, ni muda mrefu umepita, ila mwenzako ninarisiti kwenye profile yangu, kuwa nilikuwepo wakati wa jamboforums. Tena nakumbuka ilivyokuwa offline kwa muda, iliporudi ndo ikaja hii jamiiforums. Sasa wewe mwenzangu na mimi, proof yako iko wapi?
Kwani wewe umetokea wapi
 
Back
Top Bottom