concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,314
- 14,357
🤣🤣🤣🤣 Uzuri mnatumika tu wanaokula hawazid hata 200🤣🤣🤣🤣Waambie waje. Na wiki hii kuna Mkutano mkuu wa CCM. Kuna matamko yatatoka. Ndio ujue ukubwa CCM. Tunaweza kufunga mpaka wa kenya for 6 months mpaka mje kutupigia magoti.