Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijaelewa
Tanzania tulishakataa chanjo za mRNA za covid, kuna mpaka Dr mmoja aliongelea hili kwenye TBC, kuwa hazikufuata utaratibu. Sasa ghafla, kampeni ya kuzigawa kwa watu zikaanza, leo hii imeonekana wazi kuwa waliochanja wanapata matatizo ya moyo, wengine kansa. Ilikuwaje CCM ikubali hilo kwa wananchi wake? Ilikuwa ni kumfurahisha nani?
 
Back
Top Bottom