concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,314
- 14,357
Kilifi yenye 40km Iko kilifi county sio Mombasa county only road kwenye project kwa Mombasa ni mombasa-mtwapa ambayo 16 km only🤣🤣🤣Hivi unasoma mambo yako ama unaota wee kijana mdogo?
Kilifi yenye 40km Iko kilifi county sio Mombasa county only road kwenye project kwa Mombasa ni mombasa-mtwapa ambayo 16 km only🤣🤣🤣Hivi unasoma mambo yako ama unaota wee kijana mdogo?
Kwa hio 174km mumefikisha km ngapi sahii as we speak?
Hizi argument za metro vs city nilikuambia sitozirudia bro. If you can't understand simple metrics of urbanization then this discussion is not for you.🚮🚮🚮Kilifi yenye 40km Iko kilifi county sio Mombasa county only road kwenye project kwa Mombasa ni mombasa-mtwapa ambayo 16 km only🤣🤣🤣
We kama umeamua kulia nimekwambia lia. 🤣🤣 hii habari nadhani uliipost pia.. 👇🏾Hiyo 6.5km Iko wapi? Bro, unachizi. Halafu hiyo 47km wapi imeandikwa kuwa dual carriageway?
Actually dodoma when completed itakuwa na more than 400km of dual roadsHiyo 6.5km Iko wapi? Bro, unachizi. Halafu hiyo 47km wapi imeandikwa kuwa dual carriageway?
Samia had nothing to do with it, hivi ni vyeo vya asante, nililiongelea hili hapa wiki ikiyopita, kuwa ile kampeni ilikuwa ni zuga tuu.
Ile mwanzo lakini ulisema umeangalia barabara za Dual huko Dodoma through google map, vipi sahii huwezi angalia na hii.? 🤣🤣🤣Wacha kujifanya hujaelewa, tuonyeshe hio 150km kwa map sahii tupime.
Unakwepa Nini sasa . Kwahiyo na Mombasa na kilifi county ni metropolitan 🤣🤣🤣🤩Hizi argument za metro vs city nilikuambia sitozirudia bro. If you can't understand simple metrics of urbanization then this discussion is not for you.🚮🚮🚮
Finyaaaaaa hio mbilikimo. 🤣🤣🤣Hiyo 6.5km Iko wapi? Bro, unachizi. Halafu hiyo 47km wapi imeandikwa kuwa dual carriageway?
Nadhani hawezi kurudi tena kwa hiii. 🤣🤣🤣 sasa hii battle ishakua ngumu kwa mombasa. 🤣🤣🤣 na wala sioni hata hiyo Nairobi ikitoboa.Actually dodoma when completed itakuwa na more than 400km of dual roads View attachment 3338501
We kama umeamua kulia nimekwambia lia. 🤣🤣 hii habari nadhani uliipost pia.. 👇🏾View attachment 3338500kwa kiswahili hapo imelezwa hivi:-
Zitajengwa km 3.1 barabara mpyaa
Zipanuliwa km 3.4 barabara iliyokwisha kuwepo.
therefore we gonna have 6.5km of new dual carriage way. Hapo huelewi nini mzee.? 🤣🤣🤣
Wewe nduguyo leo ni kichapo tu. 🤣🤣🤣Finyaaaaaa hio mbilikimo. 🤣🤣🤣
Niliangalia na hakuna cha maana, town center ina dual carriageway moja. 🤣🤣🤣 Na ni a major road.Ile mwanzo lakini ulisema umeangalia barabara za Dual huko Dodoma through google map, vipi sahii huwezi angalia na hii.? 🤣🤣🤣
Kwa hio 174km mumefikisha km ngapi sahii as we speak?
Haya hizi nilipima ili Ukirudi watu wauone upumbavu wako. Hizi hapa dual za town. 👇🏾NCC link 1.4kmNiliangalia na hakuna cha maana, town center ina dual carriageway moja. 🤣🤣🤣 Na ni a major road.
Kaka nafurahi sana. 🤣🤣🤣 piga mbwaaa.View attachment 3338505
Lot 1 yenye 112.3 km inajumuisha Nala,veyula, mitumba, ihumwa Iko 91 as at February 2025
Lot 2 from ihumwa to dry port then Nala 62 km Iko 85% tafuta total🤣🤣🤣
Hii ni taarifa kutoka tanroads
🤣🤣🤣🤣Kaka nafurahi sana. 🤣🤣🤣 piga mbwaaa.
Dodoma inachukuliwa poa ila ni yamoto kinoma. Dom sio ya kawaida kabisa. Mji unakua kwa fujo mno.🤣🤣🤣🤣
Ukunyani nzima haina highway ya quality kama hiiNiliangalia na hakuna cha maana, town center ina dual carriageway moja. 🤣🤣🤣 Na ni a major road.
Basi kwanza nikubali tuweke na hiyo kilifi yako dodoma tu itakuwa dual roads zaid ya km 400Hizi argument za metro vs city nilikuambia sitozirudia bro. If you can't understand simple metrics of urbanization then this discussion is not for you.🚮🚮🚮