concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,314
- 14,357
Nope. Hamjengi dual from Nsalaga to Tunduma. Dual ni hapo mjini pekee. Prove me wrong.
Nope. Hamjengi dual from Nsalaga to Tunduma. Dual ni hapo mjini pekee. Prove me wrong.
The video doesn't prove anything. Nimeiwatch yote
🤣🤣 kumbe utachanganyikiwa sasa 🤣🤣🤣👇🏾kuna hiiHiyo Dodoma inner ring road umeitoa matakoni mwako?🤣🤣
Hii umea mbu kwa Rungu. 🤣🤣🤣
Nairobi - murua hamjapata fund bado ila sisi tayari tuko na pesa ya moro dom tuko kwenye hatua ya manunuziKarne wakati in this year tunamalixa 153km dual carriageway (Nairobi - Marua) na tunaanza 220km of another dual carriageway (Nairobi - Nakuru - Mau Summit) meanwhile, 480km of dual carriageway ya Mombasa - Nairobi ipo mipangoni kuanza next year. Sisi ndio wakuambia 100km of dual carriageway ni miujiza? Labda kwenu ila sio kwetu. 😂😂😂
You call this city of the future with those brick walls?.. ugly … Go to Tatu city or Konza Technopolis for standard lessons 😄😄nairobae kunazo 21 km dual carriage ways out of 51 km total roads at Magufuli city. 👇🏾View attachment 3338453.. chukua zile 12.6km za iyumbu changanya na hizi 21km za Magufuli city. Hizo ni 33.6 km dual carriage ways.
Sasa 3.1km road ndio unatuletea hapa? 🤣🤣🤣🤣 kumbe utachanganyikiwa sasa 🤣🤣🤣👇🏾kuna hii View attachment 3338482.. halafu kuna hizi. 6km 👇🏾Major facelift for Dodoma – Daily News.
🤣🤣🤣🤣🫠Hii umea mbu kwa Rungu. 🤣🤣🤣
Usilinganishe Dom city na hizo takataka.. thamani ya gorofa moja with Dom gvt city unajemga mitaa miwili huko kwene hizo vijiji mnajenga. 🤣🤣🤣You call this city of the future with those brick walls?.. ugly … Go to Tatu city or Konza Technopolis for standard lessons 😄😄
Hizi kwanza ni 6.5 km new four lanes roads. Nikutoe ujinga..🤣🤣🤣 na hizi huzitaki.? 👇🏾
Sasa bwana nairobae chukua hizi changanya na 150km of Dodoma outer ring road and dom inner ring road.. hesabu inakuja hapa👇🏾
150km+ 33.6km=183.6 km. Hizi ni kando ya zile carriage ways zinazoenda IKULU na Airport. na zile sections za CBD. 🤣🤣
Haya mombasa itatia pua hapo.? 🤣🤣
Andika vizuri ueleweke mzee. Kama hujui kiswahili tumia kiingereza ntakuelewa.Mbona unaogopa kutuonyesha hizo 21km za Magufuli City na hio 150km ring road Kwa map.
Hivi unasoma mambo yako ama unaota wee kijana mdogo?Hizi kwanza ni 6.5 km new four lanes roads. Nikutoe ujinga..🤣🤣🤣 na hizi huzitaki.? 👇🏾View attachment 3338489
Hizo nilizotaja ni za wapi?Zitaje hapa ushatajiwa kuna iyumbu to udom 12 km
Kuna km 21 ndani ya magufuli city na bado vibarabara vidogo hatujaweka mfano njiapanda ya msalato kwenda msalato airport hizo zote zimeishia haya leta za Mombasa tu tusiweke na county nyingine
You wouldn’t understand by collecting photos on the web. You have to visit there in person then you will comprehend all I’m saying….and as a person who lives in first world and also been to village market, I know what I’m saying, you on the other hand don’t..😄Au hili neno firsymt world limebadilishwa maana siku hizi.? 🤣🤣🤣 this ia inside village market. 👇🏾nini ni special kwa hii .? 🤣🤣🤣View attachment 3338338View attachment 3338339
Inawezekana unajitia kichaa au kipofu🤣🤣🤣. 👇🏾Soma hiyo Dom inner ring road kando ya Japand fund those 6.5km, za serikali ni hizi 47km 🤣🤣 we kama unataka kulia lia tuHivi unasoma mambo yako ama unaota wee kijana mdogo?
Wacha kujifanya hujaelewa, tuonyeshe hio 150km kwa map sahii tupime.Andika vizuri ueleweke mzee. Kama hujui kiswahili tumia kiingereza ntakuelewa.
Hiyo 6.5km Iko wapi? Bro, unachizi. Halafu hiyo 47km wapi imeandikwa kuwa dual carriageway?Inawezekana unajitia kichaa au kipofu🤣🤣🤣. 👇🏾Soma hiyo Dom inner ring road kando ya Japand fund those 6.5km, za serikali ni hizi 47km 🤣🤣 we kama unataka kulia lia tu View attachment 3338492
Mbona unaogopa kutuonyesha hizo 21km za Magufuli City na hio 150km ring road Kwa map.
Wacha kujifanya hujaelewa, tuonyeshe hio 150km kwa map sahii tupime.