Kisumu, na Nakuru ni cities?Si hata Mbeya hapo kwenu ni Jiji?
Kisumu, na Nakuru ni cities?Si hata Mbeya hapo kwenu ni Jiji?
Hizi kelele pigizana na serikali sio mimi.. na wenyewe wanasema ni njiasita sio nee..lengo ni kuondoa foleni kwenye barabara hiyo barabara.Siwezi ugua juu ya 100km dogo wakati Kenya in the next 4 years tunaongeza at least 700km za dual carriageway za uhakika na hapo sijaongeza project ndogo ndogo za KURA, KeRRA na County. Sasa 100km ndio Nini? Nakukosoa tu uache kudanganya maanake ninavyoelewa project nzima ni 100km ila kipande chenye ni dual carriageway ni 22km pekee. Kama unabisha prove me wrong. Same way Ile Barabara ya Mombasa to Malindi project yote ni 116km but kipande kilicho dual carriageway ni 41km pekee. Labda wewe mwenyewe hata huelewi project ilivyo ndio maana unapiga kelele kiujingaujinga.
Hiyo battle kashindwa mchana kweupee. 🤣🤣 ndio mana kaitupilia mbali.Hapa tupo dual za Mombasa versus Dom basi
22km ni kipande cha mjini tu ila barabara ya njia nne ni kuanzia nsalaga tu tundumaSiwezi ugua juu ya 100km dogo wakati Kenya in the next 4 years tunaongeza at least 700km za dual carriageway za uhakika na hapo sijaongeza project ndogo ndogo za KURA, KeRRA na County. Sasa 100km ndio Nini? Nakukosoa tu uache kudanganya maanake ninavyoelewa project nzima ni 100km ila kipande chenye ni dual carriageway ni 22km pekee. Kama unabisha prove me wrong. Same way Ile Barabara ya Mombasa to Malindi project yote ni 116km but kipande kilicho dual carriageway ni 41km pekee. Labda wewe mwenyewe hata huelewi project ilivyo ndio maana unapiga kelele kiujingaujinga.
Hizi kelele pigizana na serikali sio mimi.. na wenyewe wanasema ni njiasita sio nee..lengo ni kuondoa foleni kwenye barabara hiyo barabara.
View: https://youtu.be/K9YNhuB_rMI?si=w-XTWeFMcvZ8riqV. 🤣🤣
Halafu usinielezee ndoto za kenya mimi. Sisi hatuelezi ndoto sahii. Sisi tunafanya
Sikuwa najibu Mombasa vs Dodoma, nilikuwa najibu dual carriageway kiujumla maanake yeye aliquote dual carriageways zinazojengwa Tanzania nzima na sio Dodoma pekee. Ikija swala la Mombasa vs Dodoma, Dodoma mna hiyo ring road ya 110km plus vibarabara vingine vya ndani ambavyo havifiki hata 10km. In total hiyo ni at most 120km ya dual carriageways. Mombasa Kuna hii ya kilifi 41km, mazeras another 40km, ongeza bypasses na Barabara za ndani za mjini.Kwahiyo marua na Nairobi ziko Mombasa🤣🤣🤣🤣
Tulizana hatujafika huko tuko na Mombasa tu versus dodoma kwa issue ya dual carriage.
Kuhusu kuanza huko tunataka zinazojengwa na zilizopo tu masuala ya hearsay hatutaki yatakuwa kama
Lamu electric coal project ambayo mpaka saa hii hatujui ilipo,🤣🤣🤣🤣
Nope. Hamjengi dual from Nsalaga to Tunduma. Dual ni hapo mjini pekee. Prove me wrong.22km ni kipande cha mjini tu ila barabara ya njia nne ni kuanzia nsalaga tu tunduma
Hizi kelele pigizana na serikali sio mimi.. na wenyewe wanasema ni njiasita sio nee..lengo ni kuondoa foleni kwenye barabara hiyo barabara.
View: https://youtu.be/K9YNhuB_rMI?si=w-XTWeFMcvZ8riqV. 🤣🤣
Halafu usinielezee ndoto za kenya mimi. Sisi hatuelezi ndoto sahii. Sisi tunafanya
Sasa bwana nairobae chukua hizi changanya na 150km of Dodoma outer ring road and dom inner ring road.. hesabu inakuja hapa👇🏾
150km+ 33.6km=183.6 km. Hizi ni kando ya zile carriage ways zinazoenda IKULU na Airport. na zile sections za CBD. 🤣🤣
Haya mombasa itatia pua hapo.? 🤣🤣
Unanifanya nakutukanaga kwa kuongea uongo wewe. Pitia hiyo post yangu hapo juu. As of now there 183km of dual carriageways in Dom.Sikuwa najibu Mombasa vs Dodoma, nilikuwa najibu dual carriageway kiujumla maanake yeye aliquote dual carriageways zinazojengwa Tanzania nzima na sio Dodoma pekee. Ikija swala la Mombasa vs Dodoma, Dodoma mna hiyo ring road ya 110km plus vibarabara vingine vya ndani ambavyo havifiki hata 10km. In total hiyo ni at most 120km ya dual carriageways. Mombasa Kuna hii ya kilifi 41km, mazeras another 40km, ongeza bypasses na Barabara za ndani za mjini.
What is your point?Kisumu, na Nakuru ni cities?
Zitaje hapa ushatajiwa kuna iyumbu to udom 12 kmSikuwa najibu Mombasa vs Dodoma, nilikuwa najibu dual carriageway kiujumla maanake yeye aliquote dual carriageways zinazojengwa Tanzania nzima na sio Dodoma pekee. Ikija swala la Mombasa vs Dodoma, Dodoma mna hiyo ring road ya 110km plus vibarabara vingine vya ndani ambavyo havifiki hata 10km. In total hiyo ni at most 120km ya dual carriageways. Mombasa Kuna hii ya kilifi 41km, mazeras another 40km, ongeza bypasses na Barabara za ndani za mjini.
Skia sasa fanya hivi google hiyo distace from tunduma to mbeya. 🤣🤣Nimeskiza video zako sijaskia popote wakisema 100km of dual carriageway.
Unanitukananga kisa nakutoanga ujinga kwa kukuambia ukweli. Mbona nipitie post yako ya utopolo tupu? Nimeipuuza kisa hamna Cha maana hapo. You lost credibility on the very first and obvious statement - Dodoma Outering road is 110km, not 150km. Ukisema uongo obvious kama huo inategemea nilichukulie serious kwa lipi tena?Unanifanya nakutukanaga kwa kuongea uongo wewe. Pitia hiyo post yangu hapo juu. As of now there 183km of dual carriageways in Dom.
The distance from Mbeya to Tunduma doesn't mean dual carriageway from Mbeya to Tunduma. Mbona unakuwanga malenge hivi.😂Skia sasa fanya hivi google hiyo distace from tunduma to mbeya. 🤣🤣
Umeshawekewa videoNope. Hamjengi dual from Nsalaga to Tunduma. Dual ni hapo mjini pekee. Prove me wrong.
Kwani ww unafatilia huu uzi kweli.? 🤣🤣 dom outer ni 110km, dom inner ring road ni 40km. Total ni 150km.Unanitukananga kisa nakutoanga ujinga kwa kukuambia ukweli. Mbona nipitie post yako ya utopolo tupu? Nimeipuuza kisa hamna Cha maana hapo. You lost credibility on the very first and obvious statement - Dodoma Outering road is 110km, not 150km. Ukisema uongo obvious kama huo inategemea nilichukulie serious kwa lipi tena?
Ujenzi ya njia sita kutoka igawa mpaka tunduma , ebu katafute igawa ilipoNimeskiza video zako sijaskia popote wakisema 100km of dual carriageway.
The dual carriage way that they are building is meant to cover that distance.. 🤣🤣🤣 mbona wewe unakua maandazi.?The distance from Mbeya to Tunduma doesn't mean dual carriageway from Mbeya to Tunduma. Mbona unakuwanga malenge hivi.😂
The video doesn't prove anything. Nimeiwatch yoteUmeshawekewa video
Hiyo Dodoma inner ring road umeitoa matakoni mwako?🤣🤣Kwani ww unafatilia huu uzi kweli.? 🤣🤣 dom outer ni 110km, dom inner ring road ni 40km. Total ni 150km.