Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siwezi ugua juu ya 100km dogo wakati Kenya in the next 4 years tunaongeza at least 700km za dual carriageway za uhakika na hapo sijaongeza project ndogo ndogo za KURA, KeRRA na County. Sasa 100km ndio Nini? Nakukosoa tu uache kudanganya maanake ninavyoelewa project nzima ni 100km ila kipande chenye ni dual carriageway ni 22km pekee. Kama unabisha prove me wrong. Same way Ile Barabara ya Mombasa to Malindi project yote ni 116km but kipande kilicho dual carriageway ni 41km pekee. Labda wewe mwenyewe hata huelewi project ilivyo ndio maana unapiga kelele kiujingaujinga.
Hizi kelele pigizana na serikali sio mimi.. na wenyewe wanasema ni njiasita sio nee..lengo ni kuondoa foleni kwenye barabara hiyo barabara.
View: https://youtu.be/K9YNhuB_rMI?si=w-XTWeFMcvZ8riqV. 🤣🤣

Halafu usinielezee ndoto za kenya mimi. Sisi hatuelezi ndoto sahii. Sisi tunafanya
 
Siwezi ugua juu ya 100km dogo wakati Kenya in the next 4 years tunaongeza at least 700km za dual carriageway za uhakika na hapo sijaongeza project ndogo ndogo za KURA, KeRRA na County. Sasa 100km ndio Nini? Nakukosoa tu uache kudanganya maanake ninavyoelewa project nzima ni 100km ila kipande chenye ni dual carriageway ni 22km pekee. Kama unabisha prove me wrong. Same way Ile Barabara ya Mombasa to Malindi project yote ni 116km but kipande kilicho dual carriageway ni 41km pekee. Labda wewe mwenyewe hata huelewi project ilivyo ndio maana unapiga kelele kiujingaujinga.
22km ni kipande cha mjini tu ila barabara ya njia nne ni kuanzia nsalaga tu tunduma
 
Kwahiyo marua na Nairobi ziko Mombasa🤣🤣🤣🤣
Tulizana hatujafika huko tuko na Mombasa tu versus dodoma kwa issue ya dual carriage.
Kuhusu kuanza huko tunataka zinazojengwa na zilizopo tu masuala ya hearsay hatutaki yatakuwa kama
Lamu electric coal project ambayo mpaka saa hii hatujui ilipo,🤣🤣🤣🤣
Sikuwa najibu Mombasa vs Dodoma, nilikuwa najibu dual carriageway kiujumla maanake yeye aliquote dual carriageways zinazojengwa Tanzania nzima na sio Dodoma pekee. Ikija swala la Mombasa vs Dodoma, Dodoma mna hiyo ring road ya 110km plus vibarabara vingine vya ndani ambavyo havifiki hata 10km. In total hiyo ni at most 120km ya dual carriageways. Mombasa Kuna hii ya kilifi 41km, mazeras another 40km, ongeza bypasses na Barabara za ndani za mjini.
 
Sasa bwana nairobae chukua hizi changanya na 150km of Dodoma outer ring road and dom inner ring road.. hesabu inakuja hapa👇🏾

150km+ 33.6km=183.6 km. Hizi ni kando ya zile carriage ways zinazoenda IKULU na Airport. na zile sections za CBD. 🤣🤣
Haya mombasa itatia pua hapo.? 🤣🤣

Sikuwa najibu Mombasa vs Dodoma, nilikuwa najibu dual carriageway kiujumla maanake yeye aliquote dual carriageways zinazojengwa Tanzania nzima na sio Dodoma pekee. Ikija swala la Mombasa vs Dodoma, Dodoma mna hiyo ring road ya 110km plus vibarabara vingine vya ndani ambavyo havifiki hata 10km. In total hiyo ni at most 120km ya dual carriageways. Mombasa Kuna hii ya kilifi 41km, mazeras another 40km, ongeza bypasses na Barabara za ndani za mjini.
Unanifanya nakutukanaga kwa kuongea uongo wewe. Pitia hiyo post yangu hapo juu. As of now there 183km of dual carriageways in Dom.
 
Sikuwa najibu Mombasa vs Dodoma, nilikuwa najibu dual carriageway kiujumla maanake yeye aliquote dual carriageways zinazojengwa Tanzania nzima na sio Dodoma pekee. Ikija swala la Mombasa vs Dodoma, Dodoma mna hiyo ring road ya 110km plus vibarabara vingine vya ndani ambavyo havifiki hata 10km. In total hiyo ni at most 120km ya dual carriageways. Mombasa Kuna hii ya kilifi 41km, mazeras another 40km, ongeza bypasses na Barabara za ndani za mjini.
Zitaje hapa ushatajiwa kuna iyumbu to udom 12 km
Kuna km 21 ndani ya magufuli city na bado vibarabara vidogo hatujaweka mfano njiapanda ya msalato kwenda msalato airport hizo zote zimeishia haya leta za Mombasa tu tusiweke na county nyingine
 
Unanifanya nakutukanaga kwa kuongea uongo wewe. Pitia hiyo post yangu hapo juu. As of now there 183km of dual carriageways in Dom.
Unanitukananga kisa nakutoanga ujinga kwa kukuambia ukweli. Mbona nipitie post yako ya utopolo tupu? Nimeipuuza kisa hamna Cha maana hapo. You lost credibility on the very first and obvious statement - Dodoma Outering road is 110km, not 150km. Ukisema uongo obvious kama huo inategemea nilichukulie serious kwa lipi tena?
 
Unanitukananga kisa nakutoanga ujinga kwa kukuambia ukweli. Mbona nipitie post yako ya utopolo tupu? Nimeipuuza kisa hamna Cha maana hapo. You lost credibility on the very first and obvious statement - Dodoma Outering road is 110km, not 150km. Ukisema uongo obvious kama huo inategemea nilichukulie serious kwa lipi tena?
Kwani ww unafatilia huu uzi kweli.? 🤣🤣 dom outer ni 110km, dom inner ring road ni 40km. Total ni 150km.
 
Back
Top Bottom