Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa bwana nairobae chukua hizi changanya na 150km of Dodoma outer ring road and dom inner ring road.. hesabu inakuja hapa👇🏾

150km+ 33.6km=183.6 km. Hizi ni kando ya zile carriage ways zinazoenda IKULU na Airport. na zile sections za CBD. 🤣🤣
Haya mombasa itatia pua hapo.? 🤣🤣
Ukito unabaki na chenji ya km 100 ambazo itawachukua Karne kufikisha
 
Ukito unabaki na chenji ya km 100 ambazo itawachukua Karne kufikisha
Ukumbuke tu Dodoma ndio kwanzaa inaanza.. kwasababu ukiachanq na inner ring roads kuna mpango wa kuipiga njia sita ile barabara ya Dar-Dom kama 30 km hivi 😄 kwahiyo kama walikua wanafikiri labda watashindana nasi nadhani hilo swalisahau kwanza.
 
Dual carriageway depends on needs.

You can't just out up an infrastructure for nothing.

Kwasasa inajengwa Mwanza, kwasababu there is reason for it
For now, let's talk about dual carriageways, not reasons for them.
 
Sasa mna 11.7B nasi 12B na unatuita ovyo? Kichwa chako Kiko sawa?

Kwa hiyo umeona hii ya world bank pekee!? Mbona haujalinganisha ile ya IMF na ile ya China?

Tanzania inakopa kufanya miradi ya kimkakati ya maendeleo... kunyans wanakopo ili ku maintain shilling yao... Hapo ni mbingu na ardhi wewe ngayoni mzee
 
Ukito unabaki na chenji ya km 100 ambazo itawachukua Karne kufikisha
Karne wakati in this year tunamalixa 153km dual carriageway (Nairobi - Marua) na tunaanza 220km of another dual carriageway (Nairobi - Nakuru - Mau Summit) meanwhile, 480km of dual carriageway ya Mombasa - Nairobi ipo mipangoni kuanza next year. Sisi ndio wakuambia 100km of dual carriageway ni miujiza? Labda kwenu ila sio kwetu. 😂😂😂
 
Karne wakati in this year tunamalixa 153km dual carriageway (Nairobi - Marua) na tunaanza 220km of another dual carriageway (Nairobi - Nakuru - Mau Summit) meanwhile, 480km of dual carriageway ya Mombasa - Nairobi ipo mipangoni kuanza next year. Sisi ndio wakuambia 100km of dual carriageway ni miujiza? Labda kwenu ila sio kwetu. 😂😂😂
Hizo barabara unataja hapo juu ni za mombasa kumbe.? 🤣🤣
 
The design is to build it up 100+, hiki ni kipande cha town Na ni 29km sio 22km
View: https://youtu.be/vQaTuWfLkvo?si=2-KKv3_UvRviRepp. 🤣🤣 we ugulia tu polepole

Siwezi ugua juu ya 100km dogo wakati Kenya in the next 4 years tunaongeza at least 700km za dual carriageway za uhakika na hapo sijaongeza project ndogo ndogo za KURA, KeRRA na County. Sasa 100km ndio Nini? Nakukosoa tu uache kudanganya maanake ninavyoelewa project nzima ni 100km ila kipande chenye ni dual carriageway ni 22km pekee. Kama unabisha prove me wrong. Same way Ile Barabara ya Mombasa to Malindi project yote ni 116km but kipande kilicho dual carriageway ni 41km pekee. Labda wewe mwenyewe hata huelewi project ilivyo ndio maana unapiga kelele kiujingaujinga.
 
Karne wakati in this year tunamalixa 153km dual carriageway (Nairobi - Marua) na tunaanza 220km of another dual carriageway (Nairobi - Nakuru - Mau Summit) meanwhile, 480km of dual carriageway ya Mombasa - Nairobi ipo mipangoni kuanza next year. Sisi ndio wakuambia 100km of dual carriageway ni miujiza? Labda kwenu ila sio kwetu. 😂😂😂
Kwahiyo marua na Nairobi ziko Mombasa🤣🤣🤣🤣
Tulizana hatujafika huko tuko na Mombasa tu versus dodoma kwa issue ya dual carriage.
Kuhusu kuanza huko tunataka zinazojengwa na zilizopo tu masuala ya hearsay hatutaki yatakuwa kama
Lamu electric coal project ambayo mpaka saa hii hatujui ilipo,🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom