Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mshobokewe na watz kwa kipi!!!!!

Uhuru karuhusu free pass.umeona mtz yeyote akishangilia hilo????
Kwa kuwa middle Income nyie mkiwa LDC wenye wivu.

Watzee wamejaa Kenya na vijibakuli Omba Omba tuuu yani huko kwenu masikini hadi mna-export beggers.
 
Wakenya bado mnakomaa tu. Leo nataka niwatwange mpaka mpotee humu.
Karibu mzee annal, mnatepeta sana humu!
FB_IMG_1514350251630.jpg
 
Mlima ni wa LDC lakini Middle Income inatengeza pesa. Ni shamba la bibi literally Labda muweke pazia.
Tuwawekee pazia mfe njaa!!!!hatunaga husda za kichawi namna hiyo.

Imagine kuuangalia kwa mbali kuleee,ukijua si wako.it sound

Mwasiti- hay mzungu look that is kilimanjaro,the peak of africa
here in kenya we see it cleally.

Mzungu-can we climb it please,that is one of my dream.

Mwasiti-no no no,aaaaaaah yes you know it is far away from here may be if you will try nex yearsir.

Mzungu-does it locate in kenya????

Mwasiti-sir let me tell you the truth,that monster locate in tz one of kenyan region but magufuli rejected free pass from other region as uhuru odered .

Mzungu-please take me there any way.

Mwasiti- .
 
Kwa kuwa middle Income nyie mkiwa LDC wenye wivu.

Watzee wamejaa Kenya na vijibakuli Omba Omba tuuu yani huko kwenu masikini hadi mna-export beggers.
Hivi unajua kuna ombaomba wanakuzidi kipato buda???
 
Mlima ni wa LDC lakini Middle Income inatengeza pesa. Ni shamba la bibi literally Labda muweke pazia.
kenya kupokea watalii 700k wakat LDC inapokea watalii over 2million😀😀😀😀😀😀😀

na mwaka huu serengeti imezidiwa yani watlii ni wengi kuliko maelezo😛

na malengo ya tanzania kufkia mwaka 2025 itapokea watalii million 8 na sasa tumeanza kutangaza utalii wa southern circuit
 
Kabla ya kuweka hizo soksi humu tunataka utuletee majina ya viwanda hivyo. Mimi nijuavyo ukipeleka china chochote kile wanakutengenezea. Na isitoshe kuweka maandishi kwenye sweta ni rahisi mmno vijana mtaani wanafanya hivyo kwa Tsh 1000.
T-shirt zote za Jubilee na materials mengine yote ya uchaguzi yametoka China na nchi zingine, hadi karatasi za kupigia kura zimetoka nje ya nchi
 
Hivi unajua kuna ombaomba wanakuzidi kipato buda???
kenya kupokea watalii 700k wakat LDC inapokea watalii over 2million😀😀😀😀😀😀😀

na mwaka huu serengeti imezidiwa yani watlii ni wengi kuliko maelezo😛

na malengo ya tanzania kufkia mwaka 2025 itapokea watalii million 8 na sasa tumeanza kutangaza utalii wa southern circuit
Mlima ni wenu na tutazidi kuvuna mapato miaka na mikaka na hakuna likubwa unaweza Fanya about it Labda pazia. Hapo ni shamba la bibi.
 
Mlima ni wenu na tutazidi kuvuna mapato miaka na mikaka na hakuna likubwa unaweza Fanya about it Labda pazia. Hapo ni shamba la bibi.
Mapato gani mnayopata zaidi ya kula kwa macho?, ni kama kumuangalia mke wa mwenzako ukawa unamtamani kwa mbali, Tanzania inapata mara nne zaidi ya Kenya katika utalii. Mapato yanayotokana na mlima Kilimanjaro pekee, ni sawa na mapato yote ya utalii wa Kenya kwa mwaka.
 
Kenya Nairobi IMO kwenye list ya majiji bora Africa dar es salama bado sana rabda fly over zikiwa tayari zimekamilika
 
Mlima ni wa LDC lakini Middle Income inatengeza pesa. Ni shamba la bibi literally Labda muweke pazia.
😀😀😀😀😀😀😀😀
vyuma vimekaza sector ya utalii imekwisha from 800k to 700k 2016
4A32B018-DC90-4954-B3F7-50705D64E9B4.jpeg


 
Back
Top Bottom