Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi nimetumia hio map umepost na Embassy ya Zambia, Finland, Sweden, Canada, Egypt, South Africa etc zote ziko ndani ya CBD. Sasa ni biashara gani iko ndani ya hio CBD, ju ukitoa offisi za serikali nikama hakuna business ya maana hapo, unabaki tu na mahoteli and a few private offices.
Nani kakuambia posta ni business center, hizo zilikuwa ofisi tu na nyingi ilikuwa za serikali na zimehama , inshort huo ni mji wa zaman saaana.
 
Nani kakuambia posta ni business center, hizo zilikuwa ofisi tu na nyingi ilikuwa za serikali na zimehama , inshort huo ni mji wa zaman saaana.
Ni wapi nimetaja Posta? Lakini wewe vidole vyako vinakimbia kuliko akili yako, ndio kwa maana husomi reply za watu vizuri before commenting.
 
Nani alisema ikulu iko city center na hata nyinyi wenyewe hamjui CBD yenu ina anzia na kuishia wapi. Kila mtu ana boundaries zake. Hadi nyumba za ambassadors ziko CBD. Dar is a slum must be the most unplanned city on Earth. 🤣 🤣 🤣
Kwanza labda tuanzie maana ya CBD , CBD inamaaanisha ni central business district , sasa nani alisema hayo maeneo ni eneno la kibiashara kwa Tanzania . Tanzania hatuna CBD bali tulikuwa na city centres tu ambayo ilikuwa ni ilala na hata ukifuatilieni ilala ambayo ndo hiyo picha mnayoclaim ni CBD sisi kwetu ilihesabiwa kama administrative area business center ziko kinondoni .
Logic ya kusema eti mnazi Moja ni CBD ni kwenu huko Kenya. Ni kama vile sisi tulivyo na provinces wakati nyinyi mna counties.
Elimikeni🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni wapi nimetaja Posta? Lakini wewe vidole vyako vinakimbia kuliko akili yako, ndio kwa maana husomi reply za watu vizuri before commenting.
Hizo picha zenu hapo hayo maeneo yote kuanzia akipopiga picha mwenzako yako ndani ya wilaya Moja ya ilala ambayo ilikuwa administrative area kwahiyo posta na mnazi mmoja mnayoclaim ni CBD mkaiacha ikulu mpaka upanga jua yote hayo ni eneo moja🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nimetumia hio map umepost na Embassy ya Zambia, Finland, Sweden, Canada, Egypt, South Africa etc zote ziko ndani ya CBD. Sasa ni biashara gani iko ndani ya hio CBD, ju ukitoa offisi za serikali nikama hakuna business ya maana hapo, unabaki tu na mahoteli and a few private offices.
Sasa ulikua hutaki ziwepo au vipi.? 🤣🤣🤣 ni sehemu ya city center. Tuzivunje au.?
 
Tena hizo
Sasa ulikua hutaki ziwepo au vipi.? 🤣🤣🤣 ni sehemu ya city center. Tuzivunje au.?
Haha elimu yao ya kufikiri ni ndogo sana, CBD maana yake central business district kwao inabeba mpaka maofisi ya serikali, kwa Tanzania hasa dar es salaam Kila wilaya ilikuwa na majukumu yake
Ilala ilikuwa kwa ajili ya utawala
Kinondoni viwanda na kadhalika
 
Sasa ulikua hutaki ziwepo au vipi.? 🤣🤣🤣 ni sehemu ya city center. Tuzivunje au.?
Soko ya samaki ni jirani ya ikulu. 🤣🤣. Basi that's the most unplanned CBD on earth, no wonder hakuna mtu anajua boundaries ya hio CBD. Kila mtu akona demarcations zake hata Google maps haijui.
 
Back
Top Bottom