concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Kuna slums zaid ya 200 Nairobi , hapo ni dandora na korogocho na sababu umeleta nyumba ambayo Iko kwenye unplanned settlement NAMI nimekuletea ya kutoka kwenye slums. Ukitaka twende za kwenye middle income earners ambazo mpak🤣🤣🤣🤣a sasa hujaleta hata mojaKama kawaida battle ni Kibera vs Dar is a slum. Nairobi Metro hamuwezani nayo.
Inshort mpaka sasa unarukaruka tu kama mkono wa punda