chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,673
- 45,902
Saivi mmekua maombaomba to individuals sio tena nationally 😂😂😂Umeumwa hadi umeenda kutafuta taarifa ya 5 years ago. 🤣🤣 Sasa si heri hao ni wanaanchi wa kawaida, nyinyi president wenu na opposition leader si waliletwa Kenya kufanyiwa matibabu.