Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Suruali za ndani. 🤣🤣🤣🤣Suruali za ndani ndio nini govinda? 😂😂
Suruali za ndani. 🤣🤣🤣🤣Suruali za ndani ndio nini govinda? 😂😂
Compare and contrastHeb leta hizo makazi za humu tuzione. 🤣🤣🤣🤣
Wakundustan hamjui tu hela yenu ni takataka, mnajisifia kuwa few zeros on your notes wakati bado value for money ni shitty, angalia wakundustan wenzenu walioona difference baada ya kucross border na kufanya comparison, hii kiuchumi maana yake wanaadmit currency yetu ina purchasing power kubwa kuliko yenu financially View attachment 3326790
Haujui kitu chochote basi nenda chinana hiyo 1000 ukanunue gari kama unawezaHua munasema GDP ya Kenya ni makaratasi, ila Mkenya akitembelea nchi zote za East Africa anaweza nunua vitu nyingi sana na elfu moja ya Kenya pekee. 🤣🤣 Napenda sana vile hua mnaji contradict.
Ngotha, panty, underwear, innerwear, briefs, boxers. 😄Suruali za ndani ndio nini govinda? 😂😂
Wakundustan wanaonja joto ya kumpiga kasongo na skuna
View: https://x.com/Abuzenation/status/1920017025478623691?t=r4VeWpsA63W8Ug-pv2qmGA&s=19
GDP na Currency value ni vitu viwili tofautiHua munasema GDP ya Kenya ni makaratasi, ila Mkenya akitembelea nchi zote za East Africa anaweza nunua vitu nyingi sana na elfu moja ya Kenya pekee. 🤣🤣 Napenda sana vile hua mnaji contradict.
Compare and contrastHua munasema GDP ya Kenya ni makaratasi, ila Mkenya akitembelea nchi zote za East Africa anaweza nunua vitu nyingi sana na elfu moja ya Kenya pekee. 🤣🤣 Napenda sana vile hua mnaji contradict.
Una reason kama fala. 😄 Pesa ya Kenya na Japan zinaenda kutoshana exchange rate. Kupata elfu kumi za Kenya in Japan compared to Kenya ni rahisi sana ju wakona economy kubwa. Kwa hivyo mjapani akija Kenya na elfu zake kumi ataona vitu Kenya ni cheap sana ju kupata elfu kumi kwake ni rahisi. Sasa mkenya akikuja bongoslum na elfu moja ananunua vitu Kwa urahisi ju kupata elfu moja kwake ni rahisi.Haujui kitu chochote basi nenda chinana hiyo 1000 ukanunue gari kama unaweza
Compare and contrast
Runda kwa matajiri Kenya
View: https://youtu.be/qK1RW5MkF1Q?si=m1v6uxZaPPCGv6O_
Versus
Kibada kwa wakulima wa matikiti
View: https://youtu.be/AQZsxnOR5x8?si=C6JlLwuRylSKSz2
🤣🤣🤣🤣🤣
Hata Syokimau is better.
Quality aje na tajiri anaishi kama maskini. 😄Quality ya maisha ya Tanzania ni bora kuliko Kenya. Hilo liko wazi.
Cheap quality products.
- Umeme
- Maji
- Chakula
- Fuel
- Rent
- Public transport
- Clothings
Compare and contrast
Runda kwa matajiri Kenya
View: https://youtu.be/qK1RW5MkF1Q?si=m1v6uxZaPPCGv6O_
Of course, bado yuanboresha barabara za mitaa.Quality aje na tajiri anaishi kama maskini. 😄
View attachment 3326842
View: https://youtu.be/ehfm6IHKqGk?si=Q9OEGUhuuLzv25b2
Unaizungumzia hii ambayo hata takataka mnashindwa kutoa
Hivyo ndio CCM walikudanganya.Runda ni mtaa unaomilikwa na watu wachache tena Wazungu , chini ya kampuni moja.
Yaani mtaa mmoja unamilikiwa na kampuni moja.
Tanzania hakuna huu ujinga
Haya umetoa wapi mtanganyika? 😂😂😂😂Runda ni mtaa unaomilikwa na watu wachache tena Wazungu , chini ya kampuni moja.
Yaani mtaa mmoja unamilikiwa na kampuni moja.
Tanzania hakuna huu ujinga
Huyo jamaa amenishangaza! Where do they get these claims from?Hivyo ndio CCM walikudanganya.
Mtaa wa matariji hiyo eti? 🤣🤣🤣🤣Of course, bado yuanboresha barabara za mitaa.
Na sasa kuna mvua hali kama hiyo mi kawaida.
Huo ni mtaa wa umma siyo mali ya kampuni