Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umewavua Nguo Tayari !… Great job my friend…🤣🤣
Screenshot_20250503-151257.png

Babu gay muambie huyo bwege wako atuvue nguo kwa kutuma picha kama hz za dar
Screenshot_20250430-172411.png
 
I repeat Mr. Mbilikimo, kuna mahali nimetaja Posta?
I am showing you how your CBD is below par and I'm showing you places in your CBD that can never even match Ngara in Nairobi, wewe unanionyesha carefully selected video kuficha aibu. Kwa hivo hiyo Azikiwe Street yenye ina nafuu itaondoa uchafu ulio kwengine ambao nimeonyesha? Enyewe ng'ombe ni ng'ombe tu. 🤣 🤣
Anaforce CBD ikue pande ya government square pekee ju huko ndio Kunakaa vizuri. 🤣🤣
 
Kitumbini ni mji wa zaman sana hayo maghorofa yote kwenye picha yako hapo yamekuwapo kwa zaid ya miaka 20 na bado tukipachukia hapo na kulinganisha na kwenu kwenye ishu ya barabara na usafi ni zaid ya naipori, ukivuka kidogo tu hapo Kuna ujenzi wa brt unaendelea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni CBD ama sio CBD?😂
 
Kwenye vijiji zote za kenya hakuna proper mall hata moja.
Yes there are 2 flyovers in Unguja
The longest, Iconic bridge, one of its kind in EA ipo Mwanza.
Mwanza also has the most beautiful SG terminal in the region.
1.3 km SGR viaduct in the city of Mwanza

Unatamba na calverts za kisumu.? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Skia kiafya (hospitali)
Universities
Hakuna kijiji chochote kinachoweza shindana na majiji za Tz.
Industries Ndio usitie mguu kabisa kwasababu kila jiji Tz linazo brands zake ambazo ni popular EA.

Kiufupi nyie manavyo vijiji sio hata hadhi ya Town.
In Kenya hizo vitu zote ziko in all cities, wewe naona imebidii uchague from zile kidogo mkonazo from different cities ndio upate jibu.🤣🤣
For example Unguja has flyovers but no malls. Mwanza has a mall but no interchange.
 
In Kenya hizo vitu zote ziko in all cities, wewe naona imebidii uchague from zile kidogo mkonazo from different cities ndio upate jibu.🤣🤣
For example Unguja has flyovers but no malls. Mwanza has a mall but no interchange.
No malls in Unguja.? 🤣🤣🤣🤣 Ungaja iko na mall kubwa mall yoyote hapo kenya kando ya Nairobi, Kama tu ilivyo mwanza
 
All your cities outside Dar is a slum zikona mall moja moja pekee apart from Arusha ambayo ina mbili. You don't have the range to talk about malls.
🤣🤣🤣 vijiji za kenya Ndio hazina proper mall hata moja ni takataka tu.
 
Peleka uzee wako mbali. Show me any Tanzanian team that can collect this amount without laying at Makwapa Stadium.


View: https://x.com/Shabanafckenya/status/1919088395151679705

so mkapa stadium ni kiwanja hakipo tanzania kipo spain au?? ww hua mjinga sana ile azam complex inachukua mashabiki over 10k na inajaa

VIP 50,000
second class 20,000
normal 10,000

fanya hesabu ya haraka tu VIP inachukua watu 200
second class inachukua watu 3k
normal class inachukua watu 6.8k

hio tunaongelea zaidi 7m ksh
 
so mkapa stadium ni kiwanja hakipo tanzania kipo spain au?? ww hua mjinga sana ile azam complex inachukua mashabiki over 10k na inajaa

VIP 50,000
second class 20,000
normal 10,000

fanya hesabu ya haraka tu VIP inachukua watu 200
second class inachukua watu 3k
normal class inachukua watu 6.8k

hio tunaongelea zaidi 7m ksh

Dabi ya Simba na Yanga yaingiza Milioni 400
Alhamisi , 20th Apr , 2023
Na Mwandishi wetu
Shirikisho la Soka nchini Tanzania limeweka hadharani Mapato ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba SC dhidi ya Young Africans uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam, Jumapili (April 16).


TFF imetoa taarifa ya mapato ya mchezo huo uliomalizika kwa Young Africans kukubali kuchapwa 2-0, kupitia vyanzo mbalimbali vya Habari vya Shirikisho hilo.

Katika mchezo huo jumla ya mashabiki 53,569 waliingia Uwanjani ambapo VIP A waliingia Watazamaji 340 kwa kiingilio cha sh. 30,000 na kupatikana jumla ya sh. 10,200,000, VIP B waliingia Watazamaji 4,160 kwa kiingilio cha sh. 20,000 ikapatikana jumla ya sh. 83,200,000

Taarifa ya TFF imeeleza: Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliowakutanisha Simba SC na Young Africans uliochezwa Jumapili Aprili 16, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam umeingiza jumla ya sh. 410,645,000.

Katika mchezo huo jumla ya mashabiki 53,569 waliingia ambapo VIP A waliingia Watazamaji 340 kwa kiingilio cha sh. 30,000 na kupatikana jumla ya sh. 10,200,000, VIP B waliingia Watazamaji 4,160 kwa kiingilio cha sh. 20,000 ikapatikana jumla ya sh. 83,200,000.

IP C waliingia watazamaji 2,004 kwa kiingilio cha sh. 15,000 na kupatikana sh. 30,060,000 wakati jukwaa la rangi ya Machungwa waliingia watazamaji 10,372 kwa kiingilio cha sh. 10,000 ikapatikana jumla ya sh. 103,720,000 na jukwaa la mzunguko waliingia Watazamaji 36,693 kwa kiingilio cha sh. 5,000 na kupatikana jumla ya sh. 183,465,000.

Mgawanyo wa mapato

VAT Sh. 62,640.762.71

BMT Sh. 10,440,127.12

Gharama za tiketi Sh. 22,585,475

Uwanja Sh. 47,246,795.28

Gharama za mchezo Sh. 22,048,504.46

TFF Sh. 12,599,145.41

TPLB Sh. 25,198,290.81 FA Mkoa Sh. 18,898,718.11

Timu mwenyeji (Simba SC) Sh. 188,987,181.10

Ksh 18mil mechi moja
 
Back
Top Bottom