Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
Hapo ndipo wanapopatiwa na wanasiasa wao,ruto aliteleza kipindi na kusema TZ tupo mbele kiuchumi zaidi yao,kunyan walimtukana sana juzikati akachenji gear angani kwa kuisema vibaya TZ,kunyaland yote iliripuka kwa furaha 😃,hata yale majina mabaya awamuiti sasa hivi 😃Unafosi kunifananisha na nyani.? Haya jione wewe 🤣🤣🤣🤣👇🏾View attachment 3322612