Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Technically unamaanisha u-punish investment za watu kisa Nationalparks na Game Reserves zingine hazitembelewi! Huo ndo ujinga nashindwa kuelewa utatoka lini kwenye vichwa vya Waranzania!

Serengeti NP ya 15000 sq km bado ina nafasi ya Lu-host watalii wengi zaidi Kumbuka Rwanda ukubwa wake ni 26000 sq km! Wacheni wivu!

Hizo alternatives hazilazimishwi bali zonakuwa marketed! Akili ya kukandamiza utalii sehemu moja ili kwingine ukue ni za kiabunuasi!
Ukizungumza na wahusika wa Utalii wanasena Serengeti huwa inajaa sana magari, too much of Safari Jeep.

Na sigo kila mtalii anapend Jam.
 
Kunyarenda nzima hakuna uwanja mzuri kuliko huu kwasasa. Nadhani wasubiri Talanta kwanza 🤣🤣🤣
IMG_6844.jpeg
IMG_6845.jpeg
IMG_6920.jpeg
IMG_6919.jpeg
 
Back
Top Bottom