concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,287
- 14,314
Hii ni Nairobi sio kiambu hatujafika kiambuWewe umeona nimesemaje?
Hii ni Nairobi sio kiambu hatujafika kiambuWewe umeona nimesemaje?
Amboseli ni nini? ina uhusiano wowote Na Burj Khalifa?Picha imepigwa Amboseli.
Ground ipo unaongelea?Taja vimji vyako twende ground. 🤣🤣🤣
Hawezi kutaja mpaka yesu anarudi 🤣 🤣 🤣 🤣Yes we have the moat beautful cities in the region.
Mwanza
Arusha
Dodoma
Unguja
Taja vimji vyako. 🤣🤣🤣
Nicxie The Govi boyGround ipo unaongelea?
Hata ukiuliza Mzambia mwenyewe atakwambia Zambia haituwezi kwa malls.Ushawahi kufika zambia?
Kwahiyo siku Kilimanjaro Iko amboseli . Ndo maana mkadharauriwa na wa vietnamPicha imepigwa Amboseli.
Malls za mdomoni sio za uhalisiaHata ukiuliza Mzambia mwenyewe atakwambia Zambia haituwezi kwa malls.
Sawa. Two Rivers ni mall ya Mdomoni.Malls za mdomoni sio za uhalisia
Hajui mwenzake kashasepa na ishu ya vyoooView attachment 3320803
Nimeona umesema unataka battle ya picha ya slums za dar na naikundu,nimeanza na hii
Ni kusoma hujui ama kuelewa ndio hujui?Kwahiyo siku Kilimanjaro Iko amboseli . Ndo maana mkadharauriwa na wa vietnam
Wewe bwege sasa hapo ni Talanta?View attachment 3320803
Nimeona umesema unataka battle ya picha ya slums za dar na naikundu,nimeanza na hii
Nadhani wewe ndo nincompoop prove hiyo imepigwa amboselNi kusoma hujui ama kuelewa ndio hujui?
Kenya malls ziko in all cities and almost all major towns. Hio Zambia unataja hata combined na malls zote in Tanzania haiwezi karibia Nairobi Metro Kwa malls.Ushawahi kufika zambia?
Yaani Mall moja, kelele kama mwenda wazimu 🤣 🤣 🤣 🤣 Sisi wenye East Africa Logistic Center tutasemaje?Sawa. Two Rivers ni mall ya Mdomoni.
Gharama za Safari, Safari Jeep, Hotels, Visa na Chakula na baadhi ya amenities ni kubwa.
Ukipandisha viingilio, utalii utakuwa gharama kubwa sana, watu watatafuta altenatives.
Ujue kuna altenatives kama Kenya, Naminia, South Africa.
Yale magari ya Safari (Safari Jeep, ni $250 per day)
Kiingilio, $60 (Non East African)
Hapo bado hotel na kama unataka kupanda Ballon.
Waongeze tuu maana izo mbuga zipo very congested mpaka haileti maana ya conservation tena,tagert yetu iwe high end pekee yake alafu mbuga za kusini ndio waweke bei za kawaidaGharama za Safari, Safari Jeep, Hotels, Visa na Chakula na baadhi ya amenities ni kubwa.
Ukipandisha viingilio, utalii utakuwa gharama kubwa sana, watu watatafuta altenatives.
Ujue kuna altenatives kama Kenya, Naminia, South Africa.
Yale magari ya Safari (Safari Jeep, ni $250 per day)
Kiingilio, $60 (Non East African)
Hapo bado hotel na kama unataka kupanda Ballon.
Tanzania hawana kawaida ya kuiga vitu kutoka west na ndo maana tumeendelea kumantain culture yetu ya masoko na tuna masoko na stendi nzuri ambazo zinahudumia watu wa rika zote na nzuri kuliko zote east Africa. Tanzania Iko busy kwa maendeleo ya Kila mtu sio Kenya ambayo inataka kujiweka katika status ambayo haipo mwishowe inaambulia kutukanwa na mataifa mengine kama Vietnam .Kenya malls ziko in all cities and almost all major towns. Hio Zambia unataja hata combined na malls zote in Tanzania haiwezi karibia Nairobi Metro Kwa malls.
Sawa, imepigwa kigoma.Nadhani wewe ndo nincompoop prove hiyo imepigwa ambosel