Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kiongozi wa kampuni kubwa Vietnam maoni yake yanareflect walivyowachukulia nyinyi kama wakenya ni mara ya kwanza maoni kama hayo yanatolewa na kiongozi wa kampuni kubwa Vietnam , maneno kama hayo huwez yasikia yanatolewa kwa kiongozi wa Tanzania hasa baada ya mkutano tu.
Baada ya kutoka Vietnam rais wenu alivyo kilaza amekuja kuropoka eti Kenya Ina uhusiano na china wa miaka 600 wakati nchi kama Kenya Haina hata miaka 100 sasa kwanini tusiseme nyinyi ni mazumbukuku mnaoabisha Africa
Soma tena nilichoandika utaelewa. Ama niandike kwa Kiswahili maana ushaasema Kiingereza ni lugha ya watu?😂
 
Umaskini ila hatufi njaa ila nyinyi sasa
Kenya has a serious level of hunger, according to the 2024 Global Hunger Index (GHI). The GHI score for 2024 is 25.0, putting Kenya in the "serious" category. The GHI considers factors like stunting, wasting, and mortality rates among children under five.
Yet you have a score of 22 with good weather. You should really be ashamed of yourselves.
 
Mimi Sina shida na Kiswahili ama lugha yoyote. Ukiniongelesha Kiswahili nakujibu, ukiniongelesha Kiingereza nakujibu. Ukiniongelesha lugha yangu ya mama nakujibu.

Shida ni pale ambapo unang'ang'ana kutoa arguments kutokana na articles zilizoandikwa na hiyo hiyo lugha unayoita ya watu alafu unakosea kwa interpretation. Kama unaona Kiingereza ni lugha ya watu heri uachane nacho kuliko Kila siku unajiaibisha humu na wrong interpretation.
Kumbe elimu yenu ni ya makaratasi umeambiwa kutoa evidence ya picha kupigwa amboseli unakimbikia English kwenye picha hakuna neno amboseli. Nincompoop
 
Yet you have a score of 22 with good weather. You should really be ashamed of yourselves.
2 in maize productio
10 in potato production
5 in sesame productio
With a food sustainable at 125% haya tuambieni inakuwaje mnakufa njaa wakati turkana na dodoma wanashabiana kwa weather condition ila bado dodoma inazalishwa alzet na sesame kwa wingi nyinyi mmejazana tu Nairobi bila kazi
 
Kapripoint Mwanza.
IMG_6897.jpeg
IMG_6903.jpeg
IMG_6898.jpeg
IMG_6906.jpeg
IMG_6907.jpeg
IMG_6912.jpeg
IMG_6911.jpeg
 
Ilikuwa baada ya Kenyan visit, hiyo kauli isingetolewa kama msingekuwa na mkutano , pale kaongea kisiasa ili isionekane amewalenga wakenya ila ukweli meseji ni yenu
That is a very different argument. Ndio maana nimekwambia uelewa wako wa kiingereza ni duni no wonder you are this confused.

Kuhusu kilimanjaro, sidhani kama kuna mtu hapa ambaye analijua hilo eneo kunishinda. Utakuwa hujawai hata iona hiyo kilimanjaro in real life kuquestion kama hiyo picha imepigwa Kilimanjaro maanake angle zote za Mlima Kilimanjaro nazijua. Mimi hapo kilimanjaro nimepazunguka sana. Umezunguka zunguka ukibadilisha mijadala ila wacha nijitolee nikuelimishe kidogo.
Picha yenyewe hii.

1746019684003-png.3320719


La kwanza ukitazama picha, mawenzi ipo kushoto mwa picha. kwa hivo based on that, the photo was taken on the North side of the mountain.

La pili, ukiangalia eneo lenye picha imepigwa ni Savanna. Ukiwa Kaskazini mwa kilimajaro, Savanna inaanzia Kenya. Upande wa Bongo ni tropical forestkwa hivo picha haiwezi kuwa imepigwa upande wa Tanzania.

La tatu Kuna twiga imeonekana kwa picha. Mlima Kilimanjaro una mbuga mbili karibu. ya kwanza ni mbuga ya Kilimanjaro, hii mbuga haina twiga. Ya pili ni mbuga ya Amboseli. Hii mbuga ina twiga.


Haya maelezo nimeyatoa nikitumai unayaelewa ila nimebaini huu mlima haujawai uona kwa macho yako maanake mtu aliyeuona huu mlima na kuuzunguka hawezi uliza swali la kipuuzi kama hilo. Nikama upost picha ya hiyo mitungi yenu mitatu ya Dar alafu uskie mtu akikuuliza uprove kwamba hapo ni Dar. Utajua huyo mtu hajawai fika Dar na hata haijui hadi kwa picha. Mimi hilo eneo la Kilimanjaro nalijua kama vidole vyangu. Hii picha hapa niliipiga mwezi uliopita pale Oloitokitok upande wa Kenya. Wewe nionyeshe picha ya Kilimanjaro uliopiga mwenyewe ndio uwe na right ya kupingana nami.

PXL_20250322_044700117.jpg
 
That is a very different argument. Ndio maana nimekwambia uelewa wako wa kiingereza ni duni no wonder you are this confused.

Kuhusu kilimanjaro, sidhani kama kuna mtu hapa ambaye analijua hilo eneo kunishinda. Utakuwa hujawai hata iona hiyo kilimanjaro in real life kuquestion kama hiyo picha imepigwa Kilimanjaro maanake angle zote za Mlima Kilimanjaro nazijua. Mimi hapo kilimanjaro nimepazunguka sana. Umezunguka zunguka ukibadilisha mijadala ila wacha nijitolee nikuelimishe kidogo.
Picha yenyewe hii.

1746019684003-png.3320719


La kwanza ukitazama picha, mawenzi ipo kushoto mwa picha. kwa hivo based on that, the photo was taken on the North side of the mountain.

La pili, ukiangalia eneo lenye picha imepigwa ni Savanna. Ukiwa Kaskazini mwa kilimajaro, Savanna inaanzia Kenya. Upande wa Bongo ni tropical forestkwa hivo picha haiwezi kuwa imepigwa upande wa Tanzania.

La tatu Kuna twiga imeonekana kwa picha. Mlima Kilimanjaro una mbuga mbili karibu. ya kwanza ni mbuga ya Kilimanjaro, hii mbuga haina twiga. Ya pili ni mbuga ya Amboseli. Hii mbuga ina twiga.


Haya maelezo nimeyatoa nikitumai unayaelewa ila nimebaini huu mlima haujawai uona kwa macho yako maanake mtu aliyeuona huu mlima na kuuzunguka hawezi uliza swali la kipuuzi kama hilo. Nikama upo picha ya hiyo mitungi yenu mitatu ya Dar alafu uskie mtu akikuuliza uprove kwamba hapo ni Dar. Utajua huyo mtu hajawai fika Dar na hata haijui hadi kwa picha. Mimi hilo eneo la Kilimanjaro nalijua kama vidole vyangu. Hii picha hapa niliipiga mwezi uliopita pale Oloitokitok upande wa Kenya. Wewe nionyeshe picha ya Kilimanjaro uliopiga mwenyewe ndio uwe na right ya kupingana nami.

View attachment 3320850
Does not change anything 🤣 🤣 🤣 Ni utoto uliotukuka unawasumbua wakenya. Dawa yake tunaendelea kuichemsha
 
What is your score?🤣🤣🤣🤣

That is a very different argument. Ndio maana nimekwambia uelewa wako wa kiingereza ni duni no wonder you are this confused.

Kuhusu kilimanjaro, sidhani kama kuna mtu hapa ambaye analijua hilo eneo kunishinda. Utakuwa hujawai hata iona hiyo kilimanjaro in real life kuquestion kama hiyo picha imepigwa Kilimanjaro maanake angle zote za Mlima Kilimanjaro nazijua. Mimi hapo kilimanjaro nimepazunguka sana. Umezunguka zunguka ukibadilisha mijadala ila wacha nijitolee nikuelimishe kidogo.
Picha yenyewe hii.

1746019684003-png.3320719


La kwanza ukitazama picha, mawenzi ipo kushoto mwa picha. kwa hivo based on that, the photo was taken on the North side of the mountain.

La pili, ukiangalia eneo lenye picha imepigwa ni Savanna. Ukiwa Kaskazini mwa kilimajaro, Savanna inaanzia Kenya. Upande wa Bongo ni tropical forestkwa hivo picha haiwezi kuwa imepigwa upande wa Tanzania.

La tatu Kuna twiga imeonekana kwa picha. Mlima Kilimanjaro una mbuga mbili karibu. ya kwanza ni mbuga ya Kilimanjaro, hii mbuga haina twiga. Ya pili ni mbuga ya Amboseli. Hii mbuga ina twiga.


Haya maelezo nimeyatoa nikitumai unayaelewa ila nimebaini huu mlima haujawai uona kwa macho yako maanake mtu aliyeuona huu mlima na kuuzunguka hawezi uliza swali la kipuuzi kama hilo. Nikama upost picha ya hiyo mitungi yenu mitatu ya Dar alafu uskie mtu akikuuliza uprove kwamba hapo ni Dar. Utajua huyo mtu hajawai fika Dar na hata haijui hadi kwa picha. Mimi hilo eneo la Kilimanjaro nalijua kama vidole vyangu. Hii picha hapa niliipiga mwezi uliopita pale Oloitokitok upande wa Kenya. Wewe nionyeshe picha ya Kilimanjaro uliopiga mwenyewe ndio uwe na right ya kupingana nami.

View attachment 3320850
Hujaulizwa Mimi kupiga picha umeambiwa evidence hiyo pic
That is a very different argument. Ndio maana nimekwambia uelewa wako wa kiingereza ni duni no wonder you are this confused.

Kuhusu kilimanjaro, sidhani kama kuna mtu hapa ambaye analijua hilo eneo kunishinda. Utakuwa hujawai hata iona hiyo kilimanjaro in real life kuquestion kama hiyo picha imepigwa Kilimanjaro maanake angle zote za Mlima Kilimanjaro nazijua. Mimi hapo kilimanjaro nimepazunguka sana. Umezunguka zunguka ukibadilisha mijadala ila wacha nijitolee nikuelimishe kidogo.
Picha yenyewe hii.

1746019684003-png.3320719


La kwanza ukitazama picha, mawenzi ipo kushoto mwa picha. kwa hivo based on that, the photo was taken on the North side of the mountain.

La pili, ukiangalia eneo lenye picha imepigwa ni Savanna. Ukiwa Kaskazini mwa kilimajaro, Savanna inaanzia Kenya. Upande wa Bongo ni tropical forestkwa hivo picha haiwezi kuwa imepigwa upande wa Tanzania.

La tatu Kuna twiga imeonekana kwa picha. Mlima Kilimanjaro una mbuga mbili karibu. ya kwanza ni mbuga ya Kilimanjaro, hii mbuga haina twiga. Ya pili ni mbuga ya Amboseli. Hii mbuga ina twiga.


Haya maelezo nimeyatoa nikitumai unayaelewa ila nimebaini huu mlima haujawai uona kwa macho yako maanake mtu aliyeuona huu mlima na kuuzunguka hawezi uliza swali la kipuuzi kama hilo. Nikama upost picha ya hiyo mitungi yenu mitatu ya Dar alafu uskie mtu akikuuliza uprove kwamba hapo ni Dar. Utajua huyo mtu hajawai fika Dar na hata haijui hadi kwa picha. Mimi hilo eneo la Kilimanjaro nalijua kama vidole vyangu. Hii picha hapa niliipiga mwezi uliopita pale Oloitokitok upande wa Kenya. Wewe nionyeshe picha ya Kilimanjaro uliopiga mwenyewe ndio uwe na right ya kupingana nami.

View attachment 3320850
Inaonekana hata hujui unachoongea umesema hakuna twiga upande wa Kilimanjaro national park ebu soma maelezo hayo
The Kilimanjaro giraffe, also known as the Masai giraffe, stands as the largest subspecies of giraffes and is recognized as the tallest land mammal on Earth.
The Masai giraffe is found in Tanzania’s Mount Kilimanjaro region, around Mount Meru in Arusha National Park, and other parks including the Serengeti National Park, Tarangire, and Lake Manyara. It is also found in central and southern Kenya, near Mount Kenya National Park, Masai Mara Game Reserve, Amboseli National Park bordering Kilimanjaro National Park and other areas. From the hooves to the top of its head, it has characteristic spots that resemble jagged, uneven leaves. Currently, Tanzania’s national animal is the Masai giraffe.

The Masai giraffe, known for its distinctive, jagged spots, roams across various regions of East Africa. It holds the title of being the largest and tallest of all giraffe species, making it the tallest terrestrial animal. Male Masai giraffes, or bulls, significantly outsize their female counterparts, weighing nearly 1,300 kg (2,900 lbs) and towering up to 5.5 meters (18 feet). In their natural habitat, they might live up to 30 years, with the potential for a longer lifespan in captivity.



Nikiwa meru napata picha kama hiyo sasa wewe zumbukuku unasema hakuna giraffes Kilimanjaro national park
 
That is a very different argument. Ndio maana nimekwambia uelewa wako wa kiingereza ni duni no wonder you are this confused.

Kuhusu kilimanjaro, sidhani kama kuna mtu hapa ambaye analijua hilo eneo kunishinda. Utakuwa hujawai hata iona hiyo kilimanjaro in real life kuquestion kama hiyo picha imepigwa Kilimanjaro maanake angle zote za Mlima Kilimanjaro nazijua. Mimi hapo kilimanjaro nimepazunguka sana. Umezunguka zunguka ukibadilisha mijadala ila wacha nijitolee nikuelimishe kidogo.
Picha yenyewe hii.

1746019684003-png.3320719


La kwanza ukitazama picha, mawenzi ipo kushoto mwa picha. kwa hivo based on that, the photo was taken on the North side of the mountain.

La pili, ukiangalia eneo lenye picha imepigwa ni Savanna. Ukiwa Kaskazini mwa kilimajaro, Savanna inaanzia Kenya. Upande wa Bongo ni tropical forestkwa hivo picha haiwezi kuwa imepigwa upande wa Tanzania.

La tatu Kuna twiga imeonekana kwa picha. Mlima Kilimanjaro una mbuga mbili karibu. ya kwanza ni mbuga ya Kilimanjaro, hii mbuga haina twiga. Ya pili ni mbuga ya Amboseli. Hii mbuga ina twiga.


Haya maelezo nimeyatoa nikitumai unayaelewa ila nimebaini huu mlima haujawai uona kwa macho yako maanake mtu aliyeuona huu mlima na kuuzunguka hawezi uliza swali la kipuuzi kama hilo. Nikama upost picha ya hiyo mitungi yenu mitatu ya Dar alafu uskie mtu akikuuliza uprove kwamba hapo ni Dar. Utajua huyo mtu hajawai fika Dar na hata haijui hadi kwa picha. Mimi hilo eneo la Kilimanjaro nalijua kama vidole vyangu. Hii picha hapa niliipiga mwezi uliopita pale Oloitokitok upande wa Kenya. Wewe nionyeshe picha ya Kilimanjaro uliopiga mwenyewe ndio uwe na right ya kupingana nami.

View attachment 3320850

View: https://x.com/UlimwenguJm/status/1896094617445282200
 
Hujaulizwa Mimi kupiga picha umeambiwa evidence hiyo pic

Inaonekana hata hujui unachoongea umesema hakuna twiga upande wa Kilimanjaro national park ebu soma maelezo hayo
The Kilimanjaro giraffe, also known as the Masai giraffe, stands as the largest subspecies of giraffes and is recognized as the tallest land mammal on Earth.
The Masai giraffe is found in Tanzania’s Mount Kilimanjaro region, around Mount Meru in Arusha National Park, and other parks including the Serengeti National Park, Tarangire, and Lake Manyara. It is also found in central and southern Kenya, near Mount Kenya National Park, Masai Mara Game Reserve, Amboseli National Park bordering Kilimanjaro National Park and other areas. From the hooves to the top of its head, it has characteristic spots that resemble jagged, uneven leaves. Currently, Tanzania’s national animal is the Masai giraffe.

The Masai giraffe, known for its distinctive, jagged spots, roams across various regions of East Africa. It holds the title of being the largest and tallest of all giraffe species, making it the tallest terrestrial animal. Male Masai giraffes, or bulls, significantly outsize their female counterparts, weighing nearly 1,300 kg (2,900 lbs) and towering up to 5.5 meters (18 feet). In their natural habitat, they might live up to 30 years, with the potential for a longer lifespan in captivity.



Nikiwa meru napata picha kama hiyo sasa wewe zumbukuku unasema hakuna giraffes Kilimanjaro national park
Okay bro. Hapo ni Meru. 🙏🏾🙏🏾👍🏾👍🏾
 
Back
Top Bottom