Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya lini mtatuletea haya mambo kutoka kwenu. Au mpaka Ulaya wapange?

1745943815270.png
 
Kundudweller akiwa kwenye Keyboard 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👆 👆 👆 👆
North Korea ni kama nyinyi .. you show downtown Dar with 3 shiny blue towers but beyond that is 80% Uswazi . Beyond Pyongyang is a sorry state of affairs..
 
Tanzanians are very easy to control, just show them a lipstick on a pig and then boom, “…Pig is the most beautiful animal in the farm…”
Haya maneno mbona unajisema.? 🤣🤣🤣🤣 wakenya mkiona hata 2 meters Long pavements kando ya barabara mnajisifu kuwa ni maendeleo. Hata mkiona Calvert mnajinasibu nalo kuwa ni maendeleo. 🤣🤣

Imagine taifa kubwa kama North Korea 🇰🇵 ambalo lina majiji ambazo no city in Africa can compete them infrastructure wise, mnapinga kwamba hakuna maendeleo kwasababu mzungu Ndio alivyowaambia. 🤣🤣🤣🤣
 
South Africa, Brazil , Kenya, India etc have slums yet they are not LDC kama nyinyi . The world calls them slums, Tanzania calls them dream houses….its all the same ..🤣🤣🤣
Wewe Jitu zima pumbavu North Korea umeijua lini mpumbavu wewe.? Kuna taifa hapa Africa la kushindana na north korea.?
 
Back
Top Bottom