Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Your schools are overcrowded with over 300 pupils in one class😂😂
Official data kutoka kwenye wizara ya elimu SA hii hapa
Screenshot_20250429-150353.jpg
 
Haya majitu yapo mengi bana

Em angalia statistics za wanafunzi wa primary wa SA ambao tunaendana idadi ya watu, nimechukua data zao sababu ndio nchi most developed in Africa ningeweka Tanzania wangesema sisi ni LDC hatupeleki watoto shule

Angalia idadi yao afu angalia idadi ya wakundustan wanaosema wapo million 55 😂😂😂 ndio utajua hawa watu ni wengi wanafake tu data.

View attachment 3319650View attachment 3319651
Do you know something called a population pyramid?
 
Kwahiyo mli-shut down geothermal plants ili iletwe Solar😂😂

ConmanshipView attachment 3319872
Akili yako inakusaidia kweli? Huoni hapo imeandikwa that the plant was shut down for upgrade? And what’s wrong with solar by the way?

Yani watanzania ni the same tu, is like foolishness is fused in your DNA.
 
Akili yako inakusaidia kweli? Huoni hapo imeandikwa that the plant was shut down for upgrade? And what’s wrong with solar by the way?

Yani watanzania ni the same time, is like foolishness is fused in your DNA.
Pesa hamna, acheni utapeli
 
Teargass nairobae Kujeni hapa mtupatie maelezo 👇 👇 👇 👇 🤣 🤣 🤣 🤣

Kufikia tarehe 28 Februari 2025, jumla ya abiria waliotumia reli ya kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR) nchini Kenya tangu kuanzishwa kwake mnamo Juni 2017 imefikia milioni 14.8.
 
Back
Top Bottom