Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,955
Then how is Kenya operating Kama hatuna pesa? Umeishiwa content ama? Alafu Ebu tuambie tumetaleli nani?Pesa hamna, acheni utapeli
Then how is Kenya operating Kama hatuna pesa? Umeishiwa content ama? Alafu Ebu tuambie tumetaleli nani?Pesa hamna, acheni utapeli
Miaka mingapi vile ? Ukimsikiliza vizuri kadogosa Kuna sehem kasema dodoma ni sehemu ndogo tu ya mafuriko ya mwanza peak season inafikia 10,000 passengers na lower season ni 6000 wakati kundustan peak season ni 7000 ukifika mwanza tutarajie kupiga mpaka abiria 100,000 kwa siku hapo hatujapiga bao la cobalt
Feed your people first, with that moneyThen how is Kenya operating Kama hatuna pesa? Umeishiwa content ama? Alafu Ebu tuambie tumetaleli nani?
Tangu SGR ianze watu 2.3M+ wamesafiri. By Kadogosa
Msikilize hapa
View: https://youtu.be/Yu4FayUofAo?si=GryFj2LGeBEmoCq-
GDP haijitoshelezi kwa chakulaFeed your people first, with that moneyView attachment 3319886
wao ni wastani 1.8M abiria kwa mwaka. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hawa wakenya tunawahurumia sana.Miaka mingapi vile ? Ukimsikiliza vizuri kadogosa Kuna sehem kasema dodoma ni sehemu ndogo tu ya mafuriko ya mwanza peak season inafikia 10,000 passengers na lower season ni 6000 wakati kundustan peak season ni 7000 ukifika mwanza tutarajie kupiga mpaka abiria 100,000 kwa siku hapo hatujapiga bao la cobalt
Kwa mwakawao ni wastani 1.8M abiria kwa mwaka. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hawa wakenya tunawahurumia sana.
Tunaweza kufikia 3M kwa mwaka. Nahapo ndio tumeanza tu. Nawahurumia wakenyaKwa mwaka
senger service carried 2.45 million passengers, a decrease from 2.72 million in 2023, despite a 41% increase in revenue. The SGR, also known as Madaraka Express, has transported over 14.8 million passengers since its inception in June 2017.
Imebakia miezi miwili tufunge mwaka sisi mpaka tarehe 20/4 tulikuwa na 2.3mil hatujafikia kipindi cha peak season
Wasubirie tufike mwanza Azam awawekee speed catamaran kwenda jinja uone waganda watakavyominika mwanzaTunaweza kufikia 3M kwa mwaka. Nahapo ndio tumeanza tu. Nawahurumia wakenya
But Tanzanians are more hungry than Kenya, go check for global hunger index alafu urudi utuambie kitu umepata.Feed your people first, with that moneyView attachment 3319886
Tunafika mwanza 2027, Kigoma 2028. Wakenya tunawaumiza mnoWasubirie tufike mwanza Azam awawekee speed catamaran kwenda jinja uone waganda watakavyominika mwanza
With google, you are unbeatableBut Tanzanians are more hungry than Kenya, go check for global hunger index alafu urudi utuambie kitu umepata.
Kwani zile articles umekuwa Ukileta hapa ni za wapi Kama sio google?With google, you are unbeatable
Sasa hapo unataka wapasukeKadogosa kasema Speed ya vichwa vya kawaida inaenda mpaka 208Km/h nadhani mchongoko ni zaidi ya hapo
Stop ignorance … Once you leave Pyongyang ni kama Tanzania tu ….its all an optic game. They showcase the shiny objects under strict automatic control.No any African country is developed than North Korea.
View attachment 3319569View attachment 3319571
Ebu watuambie wakundustan speed yao ya vichwa ni kiasi ganKadogosa kasema Speed ya vichwa vya kawaida inaenda mpaka 208Km/h nadhani mchongoko ni zaidi ya hapo
Kundudweller akiwa kwenye Keyboard 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👆 👆 👆 👆Stop ignorance … Once you leave Pyongyang ni kama Tanzania tu ….its all an optic game. They showcase the shiny objects under strict automatic control.