Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

South Africa, Brazil , Kenya, India etc have slums yet they are not LDC kama nyinyi . The world calls them slums, Tanzania calls them dream houses….its all the same ..🤣🤣🤣
Unataka jilinganisha na north Korea ambayo Ina nuclear reactor wakati Kenya hata uwezo wa kuzalisha chakula hakuna, hivyo mngepigwa embargoes kama north Korea SI mngekuwa zaid ya Zimbabwe nyinyi
 
Haya maneno mbona unajisema.? 🤣🤣🤣🤣 wakenya mkiona hata 2 meters Long pavements kando ya barabara mnajisifu kuwa ni maendeleo. Hata mkiona Calvert mnajinasibu nalo kuwa ni maendeleo. 🤣🤣

Imagine taifa kubwa kama North Korea 🇰🇵 ambalo lina majiji ambazo no city in Africa can compete them infrastructure wise, mnapinga kwamba hakuna maendeleo kwasababu mzungu Ndio alivyowaambia. 🤣🤣🤣🤣
IMG_0519.jpeg
 
Unataka jilinganisha na north Korea ambayo Ina nuclear reactor wakati Kenya hata uwezo wa kuzalisha chakula hakuna, hivyo mngepigwa embargoes kama north Korea SI mngekuwa zaid ya Zimbabwe nyinyi
Kupanda tu Mbegu za Mahindi wale ugali shida. hata taka taka zenyewe shida kuokota. Umetaja neno nuclear reactor kubwa sana . Reactor pekee wanayoimudu ni hii hapa Chini😂

IMG_8739.jpeg
 
Wew ushawahi fiko huko ?
Mkuu achana na hilo kubwa pumbavu, nimetazama videos mingi mno huko YouTube zinazohusu North korea, hakuna taifa lolote hapa Africa la kushindana na North Korea, si kimiundombinu sio kimaendeleo ya aina yoyote ile, jamaa wakizungu waanawapondea NKoreans kwasababu wanawapinga hadharani. Sasa hiyo mijusi ya kunyarenda si unajua ni mizuzu hiyo. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom