hawa ni walala hoi wa Tz wamejenga nyumba zao wenyewe. hapangi mtu huku.Hizi ndio estates za middle class huko dar is a slum. 🤣🤣 Dirisha hazina vioo ju they can't afford AC's.
![]()
hawa ni walala hoi wa Tz wamejenga nyumba zao wenyewe. hapangi mtu huku.Hizi ndio estates za middle class huko dar is a slum. 🤣🤣 Dirisha hazina vioo ju they can't afford AC's.
![]()
DSM hakuna udongo huo.Eti hapa pia ni city. 🤣🤣🤣
![]()
middle class wa kurent bed sitter na two bed rooms ? 😂😂😂😂😂Nairobi Middle Class
![]()
![]()
Dar is a slum middle class. Hakuna mpangilio, munaishi kama panya. Alafu tukisema 70% of dar is a slum ni slums munapinga.
![]()
I am talking here specifically ya South C.She’ll ziko mingi along Mombasa road all the way from Mombasa to Waiyaki way where Mombasa road ends. So Ebu tuambie ni she’ll gani unaongelea.
There is no Shell in South C along Mombasa road, the only Shell in that area is in South B. Wewe unajua penye ulienda lakini sio Nairobi.I am talking here specifically ya South C.
Ruto anataka awe zaidi ya familia ya Kenyatta.
Mpaka anamaliza miaka 10, baada ya familia ya Kenyatta yeye ndio anakuwa mmiliki wa pili wa Kenya.
Kila anachofanya kwasasa ni DEAL la pesa ndefu na ARDHI.
Timu ya magovinda iko wapi hapa?
Haya majitu yapo mengi banaKiukweli kabisa wakenya wanakaribia milioni 80 kama sio zaidi na ndiyo mana huwa nashauri hawa wanatakiwa wapunguwe, either by natural death or artificially cz wapo wengi mno watatupa shida kuwalisha huko mbeleni.
Kwani watanzania wote wamekosa akili? Again remeber Tanzania have 11.4M kids in primary schoools in around 17k schools only while Kenya has 10M kids in 83k schools. Na tukiwaambia nyinyi ni LDC mnakasirika.Haya majitu yapo mengi bana
Em angalia statistics za wanafunzi wa primary wa SA ambao tunaendana idadi ya watu, nimechukua data zao sababu ndio nchi most developed in Africa ningeweka Tanzania wangesema sisi ni LDC hatupeleki watoto shule
Angalia idadi yao afu angalia idadi ya wakundustan wanaosema wapo million 55 😂😂😂 ndio utajua hawa watu ni wengi wanafake tu data.
View attachment 3319650View attachment 3319651
Govistan guyKwani watanzania wote wamekosa akili? Again remeber Tanzania have 11.4M kids in primary schoools in around 17k schools only while Kenya has 10M kids in 83k schools. Na tukiwaambia nyinyi ni LDC mnakasirika.
View attachment 3319653
Shida ni kwamba hamtaki kukubali a smaller country with fewer people has a bigger economy than yours.kwa jinsi mnavyopigana miti hamuwezi kuwa 47m tuu nyie mko wengi sana imagine a small area like Kibera fits 2.5m people that says a lot about your population.
Haina uhusiano wowote na pia hoja yako unrelated to the topic bado ni ya kipumbavu sababu unaweza kuta Kunyaland shule zenu zinachukua small number of students wakati Tanzania 1 school inachukua number of students 10 times yours.Kwani watanzania wote wamekosa akili? Again remeber Tanzania have 11.4M kids in primary schoools in around 17k schools only while Kenya has 10M kids in 83k schools. Na tukiwaambia nyinyi ni LDC mnakasirika.
View attachment 3319653
Then tumia sample niliotumia ya SA na ninyi, SA wao wana 14k primary schools for 7 million students, ninyi data zenu ni fake mbwa ninyiKenya has 10.4M children in 83,000 Primary Schools.
View attachment 3319654
Primary Schools 83k
View attachment 3319661
Tanzania has 11.4M kids schooling in
Huoni kasoro na hiyo? Huoni kasoro na over congestion in schools? Kweli mko na mentality ya LDC😂😂🤣😂.Haina uhusiano wowote na pia hoja yako unrelated to the topic bado ni ya kipumbavu sababu unaweza kuta Kunyaland shule zenu zinachukua small number of students wakati Tanzania 1 school inachukua number of students 10 times yours.