Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapo zaidi ya 70m wanaelekea 80m.

Wakunya wana zaliana kinoma.

Hadi kuna kipindi waliweka operations ya Siri kuweka vidonge vya family planning kwenye beer zao. Ukinywa mambo hayaendi... Ndio kisa Cha wakunya wengi ku shift kunywa za Bongo huku.

Kibaki alikuwa mtata sana kwenye kuzuia birthrates kwa wakunya.... Alikuwa hataki ujinga wa kuzaa zaa tu... Maana wakunya starehe yao ni pombe na kupigana miti tu... Hawataki kazi.
 
Wakunya wana zaliana kinoma.

Hadi kuna kipindi waliweka operations ya Siri kuweka vidonge vya family planning kwenye beer zao. Ukinywa mambo hayaendi... Ndio kisa Cha wakunya wengi ku shift kunywa za Bongo huku.

Kibaki alikuwa mtata sana kwenye kuzuia birthrates kwa wakunya.... Alikuwa hataki ujinga wa kuzaa zaa tu... Maana wakunya starehe yao ni pombe na kupigana miti tu... Hawataki kazi.
And you believe all these crap?
 
Waliambiwa "You cannot eat GDP" 😂😂😂

View: https://x.com/kenyans/status/1571832589748670465?s=46

Teargass 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇

1745908070224.png
 
Wakunya wana zaliana kinoma.

Hadi kuna kipindi waliweka operations ya Siri kuweka vidonge vya family planning kwenye beer zao. Ukinywa mambo hayaendi... Ndio kisa Cha wakunya wengi ku shift kunywa za Bongo huku.

Kibaki alikuwa mtata sana kwenye kuzuia birthrates kwa wakunya.... Alikuwa hataki ujinga wa kuzaa zaa tu... Maana wakunya starehe yao ni pombe na kupigana miti tu... Hawataki kazi.
Wacha habari za vichochoroni Diageo haiwezi kukubali EABL imeweke contraceptives kwenye bidhaa zao! Itaharibu biashara yao! Wakenya wanakuja kunywa bia Tanzania kwavile ni more affordable, Tanzania hamna makodi ya kijinga!
 
🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Ndio maana unaniogopa sana. Mimi siyo wa mchezo mdogo wangu. Mapambano yote ninaweza.

View attachment 3319421
Nani akuogope?

I just wanted to confirm Kama wewe ndio umechora alafu nikuaibishe kidogo.

Have you ever used a fork and a knife before during meals? Looking at that drawing I’m sure hujaitumia otherwise ungejua fork is supposed to be in which hand and knife in which hand.
 
Almost 10 years later hii maneno ya GDP bado inauma bongolalas, si mlisema mutatupita. Sasa hii hasira yote ni baada ya kuona gap inaongezeka badala ipungue.
 
Wakunya wana zaliana kinoma.

Hadi kuna kipindi waliweka operations ya Siri kuweka vidonge vya family planning kwenye beer zao. Ukinywa mambo hayaendi... Ndio kisa Cha wakunya wengi ku shift kunywa za Bongo huku.

Kibaki alikuwa mtata sana kwenye kuzuia birthrates kwa wakunya.... Alikuwa hataki ujinga wa kuzaa zaa tu... Maana wakunya starehe yao ni pombe na kupigana miti tu... Hawataki kazi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kenya wanaabudu sana pesa.

Walienda kupigana Somalia kwasababu ya pesa.

Wamekaribisha Marekani, ana military base hapo kwasababu ya pesa.

Wameenda Haiti kwasababu ya pesa.

Trump kakata pesa, hao wamerudi😂
waliahidiwa pesa na mitumba ya zana za kijeshi na Biden wakapeleka vikosi Haiti 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom