Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Labda kwa mjinga asiyeelewa tofauti ya GDP per Capita na GDP hayo ni maelezo mengi. Kwa mtu anayejielewa hayo ni maelezo very straightforward.
Kwanza census huwa mnashiriki au wahusika wanabuni tu.

Maana inaonekana kabisa, you are more than 47 milion people.
 
That was Per Capital.

GDP =
  • GDP is calculated by summing all incomes earned in the economy.
  • Formula: GDP = Wages + Profits + Rents + Interest + Taxes - Subsidies
Per Capital ndio nini?

Wewe rudi ulale juu hakuna kitu unajua.
 
Kwanza census huwa mnashiriki au wahusika wanabuni tu.

Maana inaonekana kabisa, you are more than 47 milion people.
Kwa hivo wewe umehesabu Wakenya ukaona sio milioni 47? Yani una magic Gani hiyo unaweza ukiangalia nchi ukajua population yake? I'm curious, do you do it from a space ship or is it door to door? Chamoto kama huyu ndio ana nafuu kiakili hapo bongo Sasa hao wengine madwanzi wako vipi? 🤣🤣

Enyewe Ile report ya nchi yenu kuwa vichaa ni ya ukweli. Huwa mnanikumbusha hii quote from one of our comedians here in Kenya.


View: https://vm.tiktok.com/ZMBcXcMGK/
 
Hizi makelele zenu tushaazizoea. Mkishindwa lazima takwimu ziwe feki.

La kwanza, GDP haina uhusiano na population. GDP per Capita ndio Ina uhusiano na population Sasa sijui ni kipo unachoongelea..
Yani jamaa amenishangaza sana. Agi GDP is calculated by dividing the population by I don’t know what.😂😂😂
 
Alafu huyo ndio miongoni mwa wanaojielewa upande wao eti.🤣🤣🤣
Situation on ground😂😂

1745905778751.png
 
Kenya kuna kitu wana FAKE. Aidha, idadi ya watu, thamani ya sarafu.

Maana GDP per Capital wana calculate Jumla la pato la nchi gawa kwa idadi ya watu.

Kuna kitu wana fake.

Kenya wanadai ina watu milioni 47 kwa sensa ya 2019.

Sisi tunafanya sensa kila baada ya miaka 10. Kenya haijulikani watafanya lini.
Haijulikani ju we ndio unaongoza KNBS ama? 😂😂
 
Kenya kuna kitu wana FAKE. Aidha, idadi ya watu, thamani ya sarafu.

Maana GDP per Capital wana calculate Jumla la pato la nchi gawa kwa idadi ya watu.

Kuna kitu wana fake.

Kenya wanadai ina watu milioni 47 kwa sensa ya 2019.

Sisi tunafanya sensa kila baada ya miaka 10. Kenya haijulikani watafanya lini.
Wapo zaidi ya 70m wanaelekea 80m.
 
Kwa hivo wewe umehesabu Wakenya ukaona sio milioni 47? Yani una magic Gani hiyo unaweza ukiangalia nchi ukajua population yake? I'm curious, do you do it from a space ship or is it door to door? Chamoto kama huyu ndio ana nafuu kiakili hapo bongo Sasa hao wengine madwanzi wako vipi? 🤣🤣

Enyewe Ile report ya nchi yenu kuwa vichaa ni ya ukweli. Huwa mnanikumbusha hii quote from one of our comedians here in Kenya.


View: https://vm.tiktok.com/ZMBcXcMGK/

Kwenye karatasi mnaandika mpo 60m ila ukweli ni kwamba mpo wengi zaidi ya70m .
 
Back
Top Bottom