babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,906
Wodemaya kwasasa haaminiki. Ni watu wa propaganda.NEnda kwenye ukurasa wa wode maya
No grandkids but got two daughters ( 15 and 6) and guess what ?… I showed them your photo and by instinct they concluded you are a beggar . They asked me whether you was my friend but I let them know I offered you free Jordan’s but you was too embarrassed to accept my kind offer …🤣🤣🤣 They wish you all the best !Babu jinga utakua lini?fanya ujitambue kua una wajukuu ww bwege
😂😂 Ruto kila siku yupo huko kujiaibisha juzi kaona aaibishe na majirani lakini cha ajabu bado pesa ya SGR hamtoipata, meanwhile in Tanzania mawaziri wa China wenyewe wanatuletea mapesa ya SGR tukiwa tumekunja 4 tunasip sharubati yetu Rotana kwa gharama zao 😂😂😂Waliumwa sana kuona how Ruto was welcomed in China, ungedhani ni kwao. 🤣 🤣 🤣
Manzee🤣🤣Waliumwa sana kuona how Ruto was welcomed in China, ungedhani ni kwao. 🤣 🤣 🤣
15% ni free carried share on top of that there is corporate tax 30% skills development levy sijui 3% or so, CSR 5% and other taxes I forgot they all amount to somewhere around 66% for the Government.Mradii mzurii ila 15% naona ni kidogo kwa miakaa hii angalau iwe robo
Kiukweli kabisa wakenya wanakaribia milioni 80 kama sio zaidi na ndiyo mana huwa nashauri hawa wanatakiwa wapunguwe, either by natural death or artificially cz wapo wengi mno watatupa shida kuwalisha huko mbeleni.Hivi hawa watu ni kweli wapo million 60? Mbona watu wengi hivi? Hata Dar hakuna watu wengi hivi kwa mara moja kwenye maeneo ya usafiri wa umma halafu ndio mji wa pili kwa ukubwa huu? Mwanza hukuti huu umati kokote. Hawa watu wapo million zaidi ya 70
Kenya kuna kitu wana FAKE. Aidha, idadi ya watu, thamani ya sarafu.Hivi hawa watu ni kweli wapo million 60? Mbona watu wengi hivi? Hata Dar hakuna watu wengi hivi kwa mara moja kwenye maeneo ya usafiri wa umma halafu ndio mji wa pili kwa ukubwa huu? Mwanza hukuti huu umati kokote. Hawa watu wapo million zaidi ya 70
It’s morning right now and I’m already tired.Maana GDP wana calculate Jumla la pato la nchi gawa kwa idadi ya watu.
We do census every 10 years, sijui mbona huwa unapenda kuongelea mamno huelewi.Sisi tunafanya sensa kila baada ya miaka 10. Kenya haijulikani watafanya lini.
Kama kujilisha ndio inakushinda, jirani ndio utaweza?Kiukweli kabisa wakenya wanakaribia milioni 80 kama sio zaidi na ndiyo mana huwa nashauri hawa wanatakiwa wapunguwe, either by natural death or artificially cz wapo wengi mno watatupa shida kuwalisha huko mbeleni.
Kwahiyo mko wangapi kwa sasa?We do census every 10 years, sijui mbona huwa unapenda kuongelea mamno huelewi.
That was Per Capital.It’s morning right now and I’m already tired.
Hiyo ni GDP ya wapi inakuwa calculated hivo? I thought you were smart and not ignorant like your fellow Tanzanians. Kumbe wewe pia ni kondoo mwingine?
Hizi makelele zenu tushaazizoea. Mkishindwa lazima takwimu ziwe feki.Kenya kuna kitu wana FAKE. Aidha, idadi ya watu, thamani ya sarafu.
Maana GDP wana calculate Jumla la pato la nchi gawa kwa idadi ya watu.
Kuna kitu wana fake.
Kenya wanadai ina watu milioni 47 kwa sensa ya 2019.
Sisi tunafanya sensa kila baada ya miaka 10. Kenya haijulikani watafanya lini.
Maelezo mengi, hueleweki ulitaka kusema miniHizi makelele zenu tushaazizoea. Mkishindwa lazima takwimu ziwe feki.
La kwanza, GDP haina uhusiano na population. GDP per Capita ndio Ina uhusiano na population Sasa sijui ni kipo unachoongelea.
La pili Kenya ni miongoni mwa nchi kidogo za Africa ambazo tumefanya census every after 10 years bila kufeli. Kila mwaka unaoisha na nambari 9 Kuna census Kenya. Sasa sielewi ukisema Kenya mwaka wake wa census haueleweki unamaanisha Nini ama ni ignorance. Tumekuwa na census miaka ya 1948, 1962, 1969, 1979, 1989, 1999, 2009, and 2019, ukiangalia tangu Uhuru tumekuwa constant. Census after every 10 years. In fact hapo kwenu ndio hamueleweki maanake nikiangalia statistics naona mmekuwa na census miaka ya 1967, 1978, 1988, 2002, 2012, and 2022.
Labda kwa mjinga asiyeelewa tofauti ya GDP per Capita na GDP hayo ni maelezo mengi. Kwa mtu anayejielewa hayo ni maelezo very straightforward.Maelezo mengi, hueleweki ulitaka kusema mini