Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NEnda kwenye ukurasa wa wode maya
Wodemaya kwasasa haaminiki. Ni watu wa propaganda.

Content creators wana edit sana na ni watu wa upepo tu.

Na alichoonesha kwake sioni maajabu, maana kibarabara kama hicho wanacholima ni sawa na vya serikali za mitaa tu hapa kwetu.
 
Babu jinga utakua lini?fanya ujitambue kua una wajukuu ww bwege
No grandkids but got two daughters ( 15 and 6) and guess what ?… I showed them your photo and by instinct they concluded you are a beggar . They asked me whether you was my friend but I let them know I offered you free Jordan’s but you was too embarrassed to accept my kind offer …🤣🤣🤣 They wish you all the best !
IMG_6138.jpeg
 
Hivi hawa watu ni kweli wapo million 60? Mbona watu wengi hivi? Hata Dar hakuna watu wengi hivi kwa mara moja kwenye maeneo ya usafiri wa umma halafu ndio mji wa pili kwa ukubwa huu? Mwanza hukuti huu umati kokote. Hawa watu wapo million zaidi ya 70
Kiukweli kabisa wakenya wanakaribia milioni 80 kama sio zaidi na ndiyo mana huwa nashauri hawa wanatakiwa wapunguwe, either by natural death or artificially cz wapo wengi mno watatupa shida kuwalisha huko mbeleni.
 
Hivi hawa watu ni kweli wapo million 60? Mbona watu wengi hivi? Hata Dar hakuna watu wengi hivi kwa mara moja kwenye maeneo ya usafiri wa umma halafu ndio mji wa pili kwa ukubwa huu? Mwanza hukuti huu umati kokote. Hawa watu wapo million zaidi ya 70
Kenya kuna kitu wana FAKE. Aidha, idadi ya watu, thamani ya sarafu.

Maana GDP per Capita wana calculate Jumla la pato la nchi gawa kwa idadi ya watu.

Kuna kitu wana fake.

Kenya wanadai ina watu milioni 47 kwa sensa ya 2019.

Sisi tunafanya sensa kila baada ya miaka 10. Kenya haijulikani watafanya lini.
 
Maana GDP wana calculate Jumla la pato la nchi gawa kwa idadi ya watu.
It’s morning right now and I’m already tired.

Hiyo ni GDP ya wapi inakuwa calculated hivo? I thought you were smart and not ignorant like your fellow Tanzanians. Kumbe wewe pia ni kondoo mwingine?
 
Kiukweli kabisa wakenya wanakaribia milioni 80 kama sio zaidi na ndiyo mana huwa nashauri hawa wanatakiwa wapunguwe, either by natural death or artificially cz wapo wengi mno watatupa shida kuwalisha huko mbeleni.
Kama kujilisha ndio inakushinda, jirani ndio utaweza?
 
It’s morning right now and I’m already tired.

Hiyo ni GDP ya wapi inakuwa calculated hivo? I thought you were smart and not ignorant like your fellow Tanzanians. Kumbe wewe pia ni kondoo mwingine?
That was Per Capital.

GDP =
  • GDP is calculated by summing all incomes earned in the economy.
  • Formula: GDP = Wages + Profits + Rents + Interest + Taxes - Subsidies
 
Kenya kuna kitu wana FAKE. Aidha, idadi ya watu, thamani ya sarafu.

Maana GDP wana calculate Jumla la pato la nchi gawa kwa idadi ya watu.

Kuna kitu wana fake.

Kenya wanadai ina watu milioni 47 kwa sensa ya 2019.

Sisi tunafanya sensa kila baada ya miaka 10. Kenya haijulikani watafanya lini.
Hizi makelele zenu tushaazizoea. Mkishindwa lazima takwimu ziwe feki.

La kwanza, GDP haina uhusiano na population. GDP per Capita ndio Ina uhusiano na population Sasa sijui ni kipi unachoongelea.

La pili Kenya ni miongoni mwa nchi kidogo za Africa ambazo tumefanya census every after 10 years bila kufeli. Kila mwaka unaoisha na nambari 9 Kuna census Kenya. Sasa sielewi ukisema Kenya mwaka wake wa census haueleweki unamaanisha Nini ama ni ignorance. Tumekuwa na census miaka ya 1948, 1962, 1969, 1979, 1989, 1999, 2009, and 2019, ukiangalia tangu Uhuru tumekuwa constant. Census after every 10 years. In fact hapo kwenu ndio hamueleweki maanake nikiangalia statistics naona mmekuwa na census miaka ya 1967, 1978, 1988, 2002, 2012, and 2022.
 
Hizi makelele zenu tushaazizoea. Mkishindwa lazima takwimu ziwe feki.

La kwanza, GDP haina uhusiano na population. GDP per Capita ndio Ina uhusiano na population Sasa sijui ni kipo unachoongelea.
La pili Kenya ni miongoni mwa nchi kidogo za Africa ambazo tumefanya census every after 10 years bila kufeli. Kila mwaka unaoisha na nambari 9 Kuna census Kenya. Sasa sielewi ukisema Kenya mwaka wake wa census haueleweki unamaanisha Nini ama ni ignorance. Tumekuwa na census miaka ya 1948, 1962, 1969, 1979, 1989, 1999, 2009, and 2019, ukiangalia tangu Uhuru tumekuwa constant. Census after every 10 years. In fact hapo kwenu ndio hamueleweki maanake nikiangalia statistics naona mmekuwa na census miaka ya 1967, 1978, 1988, 2002, 2012, and 2022.
Maelezo mengi, hueleweki ulitaka kusema mini
 
Back
Top Bottom