Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

acha ujinga wewe ukiwa mombasa road heading to CBD past panari unaingia kichochoro hapo on your left after the juction the road leads you to the boma. Kwanza sipaswi kubishana na nyie washamba.
So Boma tena sio off Mombasa Road? Wewe hujui anything kuhusu Nairobi.
 
if I may ask ile kituo cha mafuta cha SHELL on Mombasa highway baada ya ile overhead foot crossing ya vioo chakavu iko South ipi kama Mombasa highway haijapita South C? Nyie mbumbumbu hata mji wenu hamuujui vizuri.
Overfoot ndio nini tena wewe mshamba? Again shell is nowhere to close where someone branches off from Mombasa road to Boma Hotel. There are only two stations, Ola Energy Bellevue and Total Energy Bellevue.

So wewe just know hukuenda Nairobi.
 
EACOP hiyo $12 per barrel siyo gharama za bandari kweli??

Maana hata hao Mgodi watakuwa wanasafirisha Makinikia (mchanga), lazima walipie gharama za bandari.

Ili upate manufaa mazuri na hizi raw materials, lazima uwe na processing plants.

Magufuli alipambana sana ila naona kuwa na teknolojia na processing plants ni suala gumu.

Ugumu ulipo:

  • Wao ndio wanajua soko
  • Wao ndio wanapewa pesa za uwekezaji na mabank huko kwao
  • Wao ndio wana technology


Watu wa hivyo, kwenye mikataba lazima watatafuta namna ya kunufaika zaidi siku zote.



View: https://www.instagram.com/reel/DIM0tWtNCMP/?igsh=d3hwbXpnbmRmc2Uw

Sio gharama za bandari ni kwa ajili ya kupitisha mafuta kwenye bomba kupitia Tanzania. Gharama za bandari hazihusiani na hilo


As of August 2017, the pipeline was planned to have a capacity of 216,000 barrels of crude oil per day. to be 24 inches (61 cm) in diameter, and Uganda was to pay Tanzania US$12.20 for every barrel flowing through the pipeline.
 
Linapokuja swala la kilimo sisi always ndani ata top ten, top five or tunaongoza kwa zao lolote lile!
Zao la hivi halina sana soko Tanzania ndio maana halilimwi kwa sana. Viazi zinavyolika sana Tanzania ni Sweet potato.
View attachment 3318791

View attachment 3318790
Si wewe ndio yule mwenye huwa haamini statistics? Mbona leo unazitumia? Ama hizo statistics are only uchwara when it favors Kenya?
 
Unaweza kutuambia hapo ni wapi!!!!!

Alafu chongchung si umeona vimaneno vyake alivyotumia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Si ni wewe tu juzi uliapa kufunga account Talanta ikijengwa . If I was you I would choose my words wisely. Hata hii Highway inakuja starting this year . Unataka kufunga account tena?… 🤣🤣😄
 
Reasoning zao ni kama hawajaenda shule aisee, yn wanakuja kuchukua mzigo from china hapa Tanzania which means huko China ndiyo cheap zaidi, The issue is, wakenya hawana capital za kutosha kwenda direct to China that's why they muchly depend on Tanzanian businessmen who have muscles to go to China.
Wakati watanzania mpaka machinga anaenda China
 
Back
Top Bottom