Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wangapi wanakujia viatu Kariakoo? Wanajaza hata trailer moja au ni watu wakubeba mzigo na basi.

Hata kama mzigo ni wa kubeba kichwani tu bado ni indicator nzuri kwa biashara ya Tanzania.

Hizo meli kumi zinaleta nini kunyaland kama meli moja tu ya Tanzania inawapa maisha wafanyabiashara wenu kuja kuwalangua huko!?
 
Hata kama mzigo ni wa kubeba kichwani tu bado ni indicator nzuri kwa biashara ya Tanzania.

Hizo meli kumi zinaleta nini kunyaland kama meli moja tu ya Tanzania inawapa maisha wafanyabiashara wenu kuja kuwalangua huko!?
Mbona unaulizwa maswali za kipuzi, eti meli kumi zinaleta nini, ju meli zinapaswa kubeba viatu pekee ama? 🤣🤣
 
Mbona unaulizwa maswali za kipuzi, eti meli kumi zinaleta nini, ju meli zinapaswa kubeba viatu pekee ama? 🤣🤣

Meli kumi kutoka China kwa mwezi...bado mnagombania viatu kutoka Tanzania ambao wanapata meli moja kutoka China...

Na bado source ya viatu na nguo ni huko huko China... Wewe unaona ni kawaida!?
 
Meli kumi kutoka China kwa mwezi...bado mnagombania viatu kutoka Tanzania ambao wanapata meli moja kutoka China...

Na bado source ya viatu na nguo ni huko huko China... Wewe unaona ni kawaida!?
Account moja kutoka TikTok imekua watu wanagombania. 🤣🤣 Punguza upuzi bro
 
NairobiWalker
Read comment section of this video down here that was recently posted, see how Kenyans are all over internet bad mouthing Tz, is it jealous? Why so much hate and bitter?
The case is between SADC countries but Kenyans are here bad mouthing Tanzania even by telling lies
When we say Kenyans hate Tanzania with all their hearts, mnasema tunaongea sana.
Look at your fellow Kenyans

View: https://youtu.be/pCgPdLz6eSE?si=4Uj8O6KCyDvddNET

First, I thought the comment section is full of Kenyans I found just a handful of Kenyans giving opinions just like people from other countries. Or maybe you can screenshot those hateful comments that you only seem to see.

Secondly, you love playing victim so much - our two countries love attacking each other. There are so many videos about Kenya that don't involve Tanzania with tanzanians bad-mouthing Kenya. For you, it's not even comments, your people have opened whole YouTube channels dedicated on badmouthing Kenya. Look at these examples. You just love complaining and playing victim
Tazama channel ya huyu jamaa. 90% ya content is about bashing Kenya.

View: https://www.youtube.com/watch?v=RzbLY1IQHt4&t=84s

kuna mwengine huwa na mapua kubwa nimesahau channel yake. Kila saa negativity towards Kenya.


You even spend parliament sessions whining about Kenya


View: https://www.youtube.com/watch?v=8OGjYiVFo-E&t=22s

Soma comments hapa


View: https://www.youtube.com/watch?v=bmiUvzIEZbQ
 
First, I thought the comment section is full of Kenyans I found just a handful of Kenyans giving opinions just like people from other countries. Or maybe you can screenshot those hateful comments that you only seem to see.

Secondly, you love playing victim so much - our two countries love attacking each other. There are so many videos about Kenya that don't involve Tanzania with tanzanians bad-mouthing Kenya. For you, it's not even comments, your people have opened whole YouTube channels dedicated on badmouthing Kenya. Look at these examples. You just love complaining and playing victim
Tazama channel ya huyu jamaa. 90% ya content is about bashing Kenya.

View: https://www.youtube.com/watch?v=RzbLY1IQHt4&t=84s

kuna mwengine huwa na mapua kubwa nimesahau channel yake. Kila saa negativity towards Kenya.


You even spend parliament sessions whining about Kenya


View: https://www.youtube.com/watch?v=8OGjYiVFo-E&t=22s

Soma comments hapa


View: https://www.youtube.com/watch?v=bmiUvzIEZbQ

Sasa we mpumbavu nyie mnatuweza sisi nini.? 🤣🤣🤣🤣 skia hili jinga lenzako 👇🏾.
View: https://youtu.be/8OGjYiVFo-E?si=5jaO7_Npl9GRVzcA. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nyie mnatuweza sisi nini.? Mkiruhusu fair investments I am sure haipiti miaka mitatu before tuwatawale. Bila fitna zenu nyie hamtuwezi chochote just to let you know.
 

walitutambia humu ndani hili daraja! Aisee tungekuwa tunajua kujimwambafy kama hawa mbwa hamna mtu angeona nyeupe!

View: https://youtu.be/NP5StFs0iTI?si=tYsbxLTkttXIvwXa


View: https://youtu.be/pRDOlLdATsI?si=529rBsgbefGrBr0f

MY TAKE
Damn this white elephant n substandard structure did cost a whopping $17 mln n currently defunct, a price that could give a brand new ferry! Ati the first floating brigde in Africa! 😀 😀 👆 👆

CC: Mafalamanga NairobiWalker nairobae IamLee Nicxie Teargass n mwathadan where is the floating footbridge the most modern in the whole of Africa!?
 
Back
Top Bottom