Kenya ili uwe na pesa lazima uwe mwanasiasa hata hicho ulichopost 99% ni cha mwanasiasa, nyie fukaras mliobaki ambao ndiyo wengi mtaendelea kupost picha za mali za watu mpk kiama.Kenya has many HNWI, ni vile tu majority don't flex publicly so ni ngumu kujua.
At this rate atakuambia Bagamoyo is part of Dar cosmopolitan area 🤣🤣🤣Metropolitan Area is a continuous urban area. Wacha ushamba oyaaa.
Ile si mall. It's a logistics center. Ushamba mtaacha lini?EACLC East Africa Commercial & Logistics Center ya pale ubungo ni pigo kubwa kwa kunyan,hizi heka heka zote ni sababu tu wanataka ile mall iwepo kwao,kitu ambacho tumewin kariakoo tayari inahudumia zambia,malawi,congo na kundudwellers wenyewe,ile itakapokua tayari tutegemee heka heka kama za ilivyokua tulipozindua BRT wakapiga make up,au uzinduzi wa sgr ukaaanzisha maandamano ukunyan the same week tuliyozindua
Tanganyika 😂😂😂Kasarani
![]()
Utawaskia wakisema wakenya wanapitia hali ngumu. 🤣 🤣 🤣 The average Tanzanian is brainwashed with government propaganda, no wonder hua tunawaita bongolala.Tanganyika 😂😂😂View attachment 3315426
Unakatwa si bure,nani asiejua kama ile logistic center,kwenye andiko langu umeona mall tu,ikifunguliwa rasmi ile lazima muandamane kama mlivyoandamana tulivyozindua sgrIle si mall. It's a logistics center. Ushamba mtaacha lini?
Why not isn’t that thr principle u use on Nairobi when arguing about its size? Where is Ruiru were Northland project is situated?At this rate atakuambia Bagamoyo is part of Dar cosmopolitan area 🤣🤣🤣
Hako ka CBD ka 3 towers ndio munatumalizia nayo hewa huku. 🤣 🤣 🤣Chang’ombe sahii. 👇🏾
View attachment 3315446
Understand the word cosmopolitan. Nairobi to Ruiru is all built up. Actually, the built up area stretches all the way to Thika. Is this the case between Dar and Baagamoyo? The answer is a big NO!Why not isn’t that thr principle u use on Nairobi when arguing about its size? Where is Ruiru were Northland project is situated?
Wacha kutubeba ufala. You've just tilted the angle to leave out the uswazi hovelsChang’ombe sahii. 👇🏾
View attachment 3315446
Wewe ni wazimu. Coz of a logistics center?😄Unakatwa si bure,nani asiejua kama ile logistic center,kwenye andiko langu umeona mall tu,ikifunguliwa rasmi ile lazima muandamane kama mlivyoandamana tulivyozindua sgr
Gorofa ni tatu hapa😂😂Chang’ombe sahii. 👇🏾
View attachment 3315446
And mind you, more than half of Dar ni hivyo. Enda Google Earth, utacheka sana muonekano wa hili jiji laoUtawaskia wakisema wakenya wanapitia hali ngumu. 🤣 🤣 🤣 The average Tanzanian is brainwashed with government propaganda, no wonder hua tunawaita bongolala.
Bongolalas wanafurahia investors wakuuza madafu na viatu huko Kariakoo while Kenya is attracting serious investors.
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1915677156715495549?t=XTuG2l4yFSVe38FNJpaR1w&s=19