Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Poshy Queen from Tanzania hakuwa nyuma huko Nigeria. Wedding iligeuka Fashion Show. Hakuna mnyonge aliyekuwepo kwenye Harusi hiyo. Tunasubiri waje Tanzania. Tutawaonesha sisi ni nani.

1744985366430.png
 
Kwani Lori ya Tanzania iliyoleta mzigo ukunduni ikishashusha haiwezi kukodiwa na mkunya kubeba mzigo kupeleka sehemu nyingine ukunyani?
Maybe in Tanzania. Hiyo lory was taking those tiles to Tanzania and even the lory driver told him so.
 
Mzungu akisema ni mkenya mnamshangilia 🤣🤣🤣 waarabu waliozaliwa Tanzania tangu mababu zao mnawakataa 🤣🤣🤣🤣🤣.
Ebu tuonyeshe penye tushawaishangilia mzungu Kama Mkenya. Just screenshot that post. Nyinyi hapa mmekwamilia warabu Kana kwamba Tanzania kuna kabila ya warabu😂😂😂🤣
 
Hakuna kinachoonekana kutoka Kenya hata ukienda namanga kati ya trucks 200 za kwenda Kenya utakutana na truck 5 kutoka Kenya kuja Tanzania . Sasa mnauza Nini?
Products from Kenyan factories zimejaa kwa shelves zenu za maduka, magari from Kenyan assembly line ziko kwa barabara zenu. Hua zinafika huko na ndege ama? 🤣 🤣 Punguza kuropokwa, hatuna kelele sisi, just check on your shelves, tunawauzia alafu tunaweka hizo pesa kwa banks zetu huko bongoslum zinarudi home. Hatupotezi kitu.
 
Sasa naanza kushusha yale yaliyoendelea Jana Wedding of Africa. East Meet West

Yoruba Girl and Swahili Man both belong to the Niger-Congo Language, Wakenya wapo nyuma sana. Hii harusi iligeuka fashion show. Leo wanapumzika kesho harusi inaendelea. Baada ya hapo Wa Nigeria watakuja Tanzania

Kutakuwa na bonge a sherehe. Wakenya tunawakaribisha mje Tanzania

View attachment 3308590
Tanzania si walitoka majuzi? Kwahiyo wanakuja mara ya pili? Mh Jux aangalie huo mpunga anaotumia ni mwingi sana! Yasije yakawa ya Manara!
 
Products from Kenyan factories zimejaa kwa shelves zenu za maduka, magari from Kenyan assembly line ziko kwa barabara zenu. Hua zinafika huko na ndege ama? 🤣 🤣 Punguza kuropokwa, hatuna kelele sisi, just check on your shelves, tunawauzia alafu tunaweka hizo pesa kwa banks zetu huko bongoslum zinarudi home. Hatupotezi kitu.
Hatuzion mtaan, ila sisi tuna evidence ya vitu vinvyonekana kama mchele, mahindi maharage ,Azam products ila Mimi sijui brand yoyote ya kikenya. Alikuwepo zuku tv tu nae siku hizi kapotelea wapi sijui. Evidence inaanzia kwa trucks movement tu
 
Hatuzion mtaan, ila sisi tuna evidence ya vitu vinvyonekana kama mchele, mahindi maharage ,Azam products ila Mimi sijui brand yoyote ya kikenya. Alikuwepo zuku tv tu nae siku hizi kapotelea wapi sijui. Evidence inaanzia kwa trucks movement tu
Ebu tuonyeshe any Azam product in Kenya. Mchele ya Tanzania hakuna mwenye anazitumia.
 
Ebu tuonyeshe penye tushawaishangilia mzungu Kama Mkenya. Just screenshot that post. Nyinyi hapa mmekwamilia warabu Kana kwamba Tanzania kuna kabila ya warabu😂😂😂🤣
🤣🤣naona unalia Lia. Miji yote ya pwani ya Africa mashariki waarabu wamekuwepo huko for centuries. Ni vile waarabu wa mombasa ni vilaza Ndio mana sio matajiri wakubwa. Waarabu wa Tanzania wanaakili mingi. So yes lipo kabila la kiarabu in Tz. And those brothers are Tanzanians born and raised in the motherland.
 
Hatuzion mtaan, ila sisi tuna evidence ya vitu vinvyonekana kama mchele, mahindi maharage ,Azam products ila Mimi sijui brand yoyote ya kikenya. Alikuwepo zuku tv tu nae siku hizi kapotelea wapi sijui. Evidence inaanzia kwa trucks movement tu
Hata usiende mbali, hizo Scania Trucks munatumia kwani unadhani zinakua assembled wapi? Gari zenu za polisi je?
 
Back
Top Bottom