Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio Tu nguo mna import from Tanzania bali hata viatu, mabegi, chupi, cosmetics etc je hivyo vyote ni vya mtumba? Govinda mwenzio mnuka mavi aliomba aoneshwe machimbo ya chupi, unataka kusema alitaka chupi za mtumba? Ukishindwa kubali wacha propaganda za kizamani, kwanza Mme ban lini nguo za mtumba wkt report zmetoka mnaongoza kutumia nguo za mtumba duniani.
News hii hapa:


Kenya overtakes Nigeria as Africa’s largest importer of second-hand clothes 28 March 2025 09:14 PM
Kenya has emerged as the largest importer of second-hand clothes in Africa, earning the unfortunate distinction of being an easy dumping ground for used apparel while struggling to revive its collapsed textile industry.

 
Kenyan School buses.
1744887629346.jpeg
 
Nakumbuka nilipoenda kubeba clay roofing tiles za nyumba yangu hapo Ruiru niliona lori nyingi sana za Bongolala na Uganda zikija kuchukua mzigo. Hapo nilielezwa hamna kampuni inayotengeneza clay roofing tiles huko. Hii picha niliipiga mwenyewe.
View attachment 3307223
we kondoo Uganda kuna roof tile maker mkubwa tuu Kajansi between Entebe and Kampala. Tanzania tile makers wako wengi hatuwezi nunu udongo from Ruiru utukome kabisa.
 
Wakenya wanaimport nguo through kariakoo kisa huku kumepigwa marufuku mtumba kupitia Mombasa. Same way Wakenya wakitaka kumimport gari mzee za 15 years wanaimport through Uganda ama Tanzania na Wana register huko huko.
Hao TikTokers wanachoonesha hapo ni mitumba au.? 🤣🤣🤣. Kwanza kariakoo na mitumba.? Wapi na wapi.? Watanzania wanaenda sana china kufunga nguo za special, viatu, cosmetics, gentlemen and ladies accessories, n.k . Mkiacha ujeuri mnaweza kututumia sisi na tukawapa direct connection na wachina mkapiga pesa. Sasa kama unaendelea kuleta ujinga kwenye mambo ya msingi nakusukitikia. 🤣🤣🤣🤣

Tz kwasasa kibiashara ipo mbaaali. Nyie endeleeni kuwa mazombi kuagiza matakataka ya mitumba hayo.
 
we kondoo Uganda kuna roof tile maker mkubwa tuu Kajansi between Entebe and Kampala. Tanzania tile makers wako wengi hatuwezi nunu udongo from Ruiru utukome kabisa.
🤣🤣🤣 huyo shida yake ni mjuzi mno. Ni mpumbavu sana huyo. 🤣🤣🤣.
 
Sijaiona Mkenya anafurahiswa kupanda buses Kama hawa wachawi. Ni Kama wengi wao wametoa kijijini ndani penye hakuna hata barabara pikipiki, so wakipata chance ya kupanda gari wanafurahia kweli kweli😂😂
Bana.🤣🤣
 
we kondoo Uganda kuna roof tile maker mkubwa tuu Kajansi between Entebe and Kampala. Tanzania tile makers wako wengi hatuwezi nunu udongo from Ruiru utukome kabisa.
Yani nimekuonyesha Lori ya Tanzania ikibeba tiles Ruiru na unapiga kelele eti hamwezi nunua udongo kutoka Ruiru. Najua hujajenga nyumba, Jenga kwanza utajua tu 😂
 
Showbiz ya Tanzania imeingia Nigeria Huku East Africa tumetawala sasa tunaingia West Africa. Swahilization The West Africa

The African Royal Wedding


✨East Meets West✨

Countdown to the Traditional wedding!!!

JUX & Priscilla Ajoke Ojo

View attachment 3307266

View attachment 3307269
Jamaa amejipatia umaarufu mkubwa huko West Africa 🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Yaani unafikiria Kenya tuna ubaguzi kama nyinyi 😂
Sisi tuna wataalam wengi hakuna mgeni kuja kuchukua kazi labda zile ambazo ni za lazima na mara nyingi huwa wanatokea ulaya, America au Asia sio mvunja kuni aje achukue ajira kizembe zembe. Na kwa taarifa yako tulishaanza kampeni ya kuwatimua wageni hasa hawa wavunja kuni wa Africa including Kenyans, wote mtarudi kwenu mpambane na nchi yenu.
 
we kondoo Uganda kuna roof tile maker mkubwa tuu Kajansi between Entebe and Kampala. Tanzania tile makers wako wengi hatuwezi nunu udongo from Ruiru utukome kabisa.
Nilitaka nimjibu hivi hivi, tatizo hawa watu ni washamba sn aloo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sisi tuna wataalam wengi hakuna mgeni kuja kuchukua kazi labda zile ambazo ni za lazima na mara nyingi huwa wanatokea ulaya, America au Asia sio mvunja kuni aje achukue ajira kizembe zembe. Na kwa taarifa yako tulishaanza kampeni ya kuwatimua wageni hasa hawa wavunja kuni wa Africa including Kenyans, wote mtarudi kwenu mpambane na nchi yenu.
Unaongea hapa yet Dar is Slum port is full of Indians, ama unadhani hatujui Adani alileta hadi watchmen wahindi? That’s the reason wewe Kama watchman huwezipata kazi pale port.
 
Back
Top Bottom