NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,976
Sawa bongolala. Mjinga mpe cheoHakuna Indoor Arena Kenya.
unless niwe siijui mombasa jinga wewe hakuma sehem utanidanganya kuhusu mombasa yani katika miji niliotembea mm hakuna mji wa ovyo tena hovyo kama mombasa afadhal hata hio kisumu kidogo ina nafuu 😂😂😂😂😂😂😂Kwamba hapa ni Dhaka Bangladesh?
🤣🤣🤣🤣View attachment 3306646
Nilikuambia Mombasa itakukosesha usingizi, na bado!
Kenya inakufa kwa speed ya mwanga.Sawa bongolala. Mjinga mpe cheo
wakenya wengi sana wako kariakoo wakinunua nguo, viatu, simu etc na wengi wao ni kutoka mombasa, malindi na nairobiSasa hivi wanafurika kweli kweli Kariakoo kununua viatu, nguo na bidhaa zingine ili wakauze kwao, na hapa bado pale Ubungo hapajafunguliwa bado. 😂😂😂
Sasa itakuaje hovyo na already huamini hapo ni Mombasa?unless niwe siijui mombasa jinga wewe hakuma sehem utanidanganya kuhusu mombasa yani katika miji niliotembea mm hakuna mji wa ovyo tena hovyo kama mombasa afadhal hata hio kisumu kidogo ina nafuu 😂😂😂😂😂😂😂
yani leo ukitumwa modern city basi mombasa haitakiwi hata kutajwa
north korea iko developed kuliko nchi nyingi sana europe 😂😂😂Why do you support oppression and denial of freedoms. Whats the purpose of living in a nice apartment yet you have no control of your life ? Ama unapenda kukaliwa uso na Mama ka chapati..😄😄
Alafu unajifanya haukuona hii 😂😂unless niwe siijui mombasa jinga wewe hakuma sehem utanidanganya kuhusu mombasa yani katika miji niliotembea mm hakuna mji wa ovyo tena hovyo kama mombasa afadhal hata hio kisumu kidogo ina nafuu 😂😂😂😂😂😂😂
yani leo ukitumwa modern city basi mombasa haitakiwi hata kutajwa
Umeshtuka 😂😂😂
Mombasa hua inakupa headache lakini hutaki tu kukubali. Sasa ona umepagawa na picha ya Mombasa!🤣🤣🤣
Ndio maana nasemanga Mombasa imekosa tu three blue towers ipite Dar yenu
Sasa fanya hivi, zoom hiyo picha like I've done below.
View attachment 3306520
You see the two buildings I have circled in red? Those are TSS Towers and Bima Towers which sit next to each other along Digo Road. The antenna on top of TSS Tower is even visible in that zoomed image
Here they are (up-close images)
View attachment 3306524View attachment 3306526View attachment 3306527View attachment 3306528View attachment 3306530View attachment 3306531
View: https://m.youtube.com/watch?v=iGY-0b-AKXQ&pp=ygUYS2FtYSBueWVyZXJlIHlvdW5nIGx1bnlh
Wadau wamejua kutumia joka vizuri sana i think Kenyani wakiangalia hii video watauliza hapo ni wapi ila wkiwa wanasoma vibao ndio watajua 😁😁😁 big up lunya na msamiati.
I though Teargass was joking, kumbe ilikua ukweli. 🤣 🤣 🤣 watu wako nyuma kama matako ya mbuzi.
View: https://x.com/ayubu_madenge/status/1911039672660242796
sikia hii mbwa 😂😂😂😂
View: https://x.com/gabrieloguda/status/1912491642646409407?s=46
View: https://x.com/njiwaflow/status/1912534504331235735?s=46
View: https://x.com/baringo_icon337/status/1912494500779278597?s=46
View: https://x.com/kanyenya_/status/1912523653050229012?s=46
View: https://x.com/ayieko__/status/1912496278350541223?s=46
Sasa ninaanze kuzitembelea Accounts za wakenya kwenye Tiktok wanao Import nguo Kutoka Kariakoo Dar es salaam Tanzania kwenda Kenya.
Hii ndio dalili ya kuwa Kenya sasa Wanategemea Kila kitu Tanzania. Siyo Chakula tu
Tunaanza. Guys msinichoke. Maana nikipotea nitachukua muda mrefu kurudi humu. 👇 👇 👇
1. yuvafashona
View: https://www.tiktok.com/@yuvafashona/video/7493208620218207543