Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Idear zimeanza kutolewa na watoto wa Dar es salaam

1744816286448.png
 
hii umepost ni mombasa ya wapi buda😂😂
View attachment 3306497
Umeshtuka 😂😂😂
Mombasa hua inakupa headache lakini hutaki tu kukubali. Sasa ona umepagawa na picha ya Mombasa!🤣🤣🤣
Ndio maana nasemanga Mombasa imekosa tu three blue towers ipite Dar yenu

Sasa fanya hivi, zoom hiyo picha like I've done below.
Dofoto_20250416_181344413.jpg

You see the two buildings I have circled in red? Those are TSS Towers and Bima Towers which sit next to each other along Digo Road. The antenna on top of TSS Tower is even visible in that zoomed image

Here they are (up-close images)
Dofoto_20250416_182546931.jpg
2020-01-27.jpg
2022-05-17 (1).jpg
2022-05-17.jpg
unnamed (7).jpg
unnamed (6).jpg
 
🤣🤣🤣🤣 hatuna kombe linaloitwa CUP winners kwasasa, na mashindano ambayo team zetu zimefika hatua za Robo fainali, Nusu fainali, pamoja na finals nyie hamjawahi kufanya maajabu yoyote nakwambia ndio wala hata kushiriki pia hamna uwezo huo. 🤣🤣🤣. Mmebaki kutaja vitu zenye hazipo
Did you read the part I mentioned that Cup Winners' Cup is today known as Confederations Cup? Mbona mnapenda ubishi hivi mitanganyika? Inawasaidia na nini?
 
Did you read the part I mentioned that Cup Winners' Cup is today known as Confederations Cup? Mbona mnapenda ubishi hivi mitanganyika? Inawasaidia na nini?
Cup winners sio confederation cup full stop 🛑. You never won CAF confederation cup. Tuliza tako. Washindi wa CAF confederation cup ni hawa hapa. 👇🏾🤣🤣🤣
IMG_6525.jpeg
kuna club ya kundurenda umeiona hapo.?
 
Back
Top Bottom