Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vita ya huku tumeshaimaliza.
1744789336225.png
 
Duh aisee hii inaonesha ni ushamba kiasi gn mnao kwenye mambo ya kawaida, sasa hebu tuwe reasonable japo kdg, nyinyi mnajenga uwanja mmoja ambao ni talanta ambao sisi tulijenga kitambo na ni mkubwa kuliko huo (Mkapa), sisi tunajenga viwanja viwili kwa mpigo, sisi tutakuwa na viwanja vinne vitakavyotumika afcon in 4 different regions, nyinyi mtakuwa na viwili in one county (ambapo pia na doubt kama mna uwezo wa kuandaa), nani anapaswa kuogopa kati ya Tanzanians au kenyans? Acheni ushamba na vitu basic.
First of all usijaribu kucompare Talanta Stadium na hio shamba la matope amabalo limezungukwa na slums. Talanta is the only football stadiums in the region. Also it's among the very few stadiums in Africa ambayo canopy yake inafunika most part of the stadium, kwa hivyo hakuna shabiki ataguzwa hata na drop ya mvua. We are the only country with two 60k capacity stadiums, and we are building three more 30k seaters in preparation for AFCON. In total tutakua na 5 stadiums. Bishaneni na Uganda na hizo stadium zenu ndogo. Sisi tuko ligi ya SA na Morocco.
 
Umeona kamshikia tu mtu hela for just a picture at least umeanza kuwa chawa wake? Kwanini unamtetea? Utaolewa bila posa shauri yako!
I have my own money and I can feed you for eternity. Alafu mbona mnakuanga na wivu? What makes you think hizo pesa ameshikia mtu? Do you have evidence?

Because you are poor, don’t force others to be poor like you.
 
I have my own money and I can feed you for eternity. Alafu mbona mnakuanga na wivu? What makes you think hizo pesa ameshikia mtu? Do you have evidence?

Because you are poor, don’t force others to be poor like you.
Tuoneshe gari unayoendesha, Will justify your status au kuwa na Probox ndio unajiona mwamba? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Mjibu govinda mwenzio huku kaona pesa za kupiga picha kaona wivu zen kaamua akupige 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ofcz amekudaka cz ni ngumu developed country ubebe mahela eti unapeleka bank, maneno 10 ya govinda chukua moja na ulichunguze vzr, haya mjibu govinda mwenzio huku 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 View attachment 3306024
Wewe watchman tulia. Si ni tu Juzi hapa ulikuwa Unatuonyesha salary yako after umelipwa? To make matters worse huna hata bank account, bado unaweka pesa chini ya mattress.
 
Duh aisee hii inaonesha ni ushamba kiasi gn mnao kwenye mambo ya kawaida, sasa hebu tuwe reasonable japo kdg, nyinyi mnajenga uwanja mmoja ambao ni talanta ambao sisi tulijenga kitambo na ni mkubwa kuliko huo (Mkapa), sisi tunajenga viwanja viwili kwa mpigo, sisi tutakuwa na viwanja vinne vitakavyotumika afcon in 4 different regions, nyinyi mtakuwa na viwili in one county (ambapo pia na doubt kama mna uwezo wa kuandaa), nani anapaswa kuogopa kati ya Tanzanians au kenyans? Acheni ushamba na vitu basic.
Hakuna uwanja wowote mlijenga kitambo. Makwapa was a gift from China and it was just built in 2007, Kasarani was built 20yrs before that year.
 
Ngoja tumalize utata.
Kwanza angalia mazingira yenyewe ya hiyo michuano ya mozzartbet inapochezeka 🤣🤣View attachment 3305986
Then, angalia hiyo page yenyewe ya Instagram ya hao sponsor, ina likes 11 na hakuna comment hata moja 🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3305988

Alafu angalia hiyo prize money for the winner, ksh 2m ambayo ni less than Tzs 40mView attachment 3305989
Utagundua hawa ni midomo tu mirefu lkn hakuna kitu, that's why tunawaita non football country, hiyo prize money ya champion wa hiyo mozzartbet cup haifikii hata robo ya prize money for the winner of crdb federation cup. Kwenye mambo ya soccer tusiwe tunawajibu tumewaacha mbali sanaa kama ranks za CAF na FIFA zinavyosema.
Hakuna haja hii mzee soma tu cheque ni MSAADA
 
Back
Top Bottom