Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Sio pesa zake zile,kaomba kupiga nazo picha,lile babu vitu linavyofanya humu na umri wake aviendaniSiku hizi hatitumii physical money. Bado unaishi primitive life.
Sio pesa zake zile,kaomba kupiga nazo picha,lile babu vitu linavyofanya humu na umri wake aviendaniSiku hizi hatitumii physical money. Bado unaishi primitive life.
Umeona kamshikia tu mtu hela for just a picture at least umeanza kuwa chawa wake? Kwanini unamtetea? Utaolewa bila posa shauri yako!Mkishindwa huwa mnakimbilia ushamba. Kwa ushamba wake wote mwaiofhawaii can feed your country for a week. Ebu tukumbushe kindergarten teacher earns how much in Tanzania juu tunajua wewe ni mwalimu wa chekechea.
Umeona zile noti zilivyochoka 😂😂Hela ya kanisa! Ngoja nikuripoti!
Si ugoogle 😂😂😂 linatafuta engagement, hili jamaa litakuja ligongwe 😂😂😂How cashless is USA?
So, kwa akili zako kisoda unataka kutuambia New Cairo city haikuwepo toka Farao?Dodoma town has been in existence before you were even born
Kama Stockholm mwanangu 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 🔥www.facebook.com
Wameumia kusikia Mkapa ina capacity ya 62k, ukweli ni kwamba Mkapa ina hiyo capacity toka kitambo, wakitaka walie au wacheke.
Dunia haitambui hicho unachosema na wala hakuna sehemu inayosema hizo sehemu ulizotaja ni slums, unplanned areas are quite different from slum areas hata ulie. Ni rahisi sn Ku change unplanned settlement kuwa planed but it's very difficult to change slums to be decent areas because slums mean absolute poverty whilst unplanned settlement means relative poverty.Kwani Dar Kuna sehemu haina uswazi?
Tandale, Gongolamboto, Mabibo, Vingunguti, Manzese, Chang'ombe, Keko, Temete, Jangwani, Kigogo, Mburahati, Tandika, Mwananyamala, Magomeni, Buguruni, Yombo n.k haya yote si ni slums tu.
Kwanza continental trophy ndiyo trophy gn? Waseme ni champions league au confederation, wasifosi mambo. Timu iliyochukua kombe la kueleweka hapa East and Central Africa ni Tp Mazembe peke yake, sisi wengine ndiyo tunakuja na inaonekana kabisa timu zetu muda si mrefu tutachukua kama si champions league basi confederation cup piga ua coz tunaenda kwenye misingi ya football.Which trophy?
Wazee wa kukomaa na vitu havipo.
Lete hiyo trophy na leo ipo wapi.
Uwa wanafanya vitu kiushindani,walichoshindwa sgr ya umeme,brt na nyerere dam,kila wakijitutumua wapii 😂!Wameumia kusikia Mkapa ina capacity ya 62k, ukweli ni kwamba Mkapa ina hiyo capacity toka kitambo, wakitaka walie au wacheke.
Ngoja tumalize utata.Taabu kila sehemu, We chuchunge hilo Govi lako limefunika hilo neno MSAADA or?
Mbona hii ni mara ya Pili unaleta humu na hukomi na wapumbavu wenzako kwa kuwa wana kijiba cha roho ni ukondoo.
Continental trophy si uitaje ni ipi hiyo au kama ilifutwa c useme kwamba ilifutwa?The fact remains it's the ONLY regional club with a continental trophy. You can't and won't change that fact
Yani page ina following nyingi mara mbili ya followers 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wacha nicheke tu 😂😂😂😂 691 followers
View attachment 3305440
Hapo sasa ndio kujitoa ufahamu sivyo?Continental trophy si uitaje ni ipi hiyo au kama ilifutwa c useme kwamba ilifutwa?
Kwanza mbomoe nyumba za udongo walau japo robo mtoke kwenye record ya mji wenye nyumba nyingi za udongo duniani.Mombasa imebakisha tu three blue towers ipite Dar
Siutaje au hyo trophy inaitwa continental?Hapo sasa ndio kujitoa ufahamu sivyo?