Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkishindwa huwa mnakimbilia ushamba. Kwa ushamba wake wote mwaiofhawaii can feed your country for a week. Ebu tukumbushe kindergarten teacher earns how much in Tanzania juu tunajua wewe ni mwalimu wa chekechea.
Umeona kamshikia tu mtu hela for just a picture at least umeanza kuwa chawa wake? Kwanini unamtetea? Utaolewa bila posa shauri yako!
 
Kwani Dar Kuna sehemu haina uswazi?
Tandale, Gongolamboto, Mabibo, Vingunguti, Manzese, Chang'ombe, Keko, Temete, Jangwani, Kigogo, Mburahati, Tandika, Mwananyamala, Magomeni, Buguruni, Yombo n.k haya yote si ni slums tu.
Dunia haitambui hicho unachosema na wala hakuna sehemu inayosema hizo sehemu ulizotaja ni slums, unplanned areas are quite different from slum areas hata ulie. Ni rahisi sn Ku change unplanned settlement kuwa planed but it's very difficult to change slums to be decent areas because slums mean absolute poverty whilst unplanned settlement means relative poverty.
 
Which trophy?

Wazee wa kukomaa na vitu havipo.

Lete hiyo trophy na leo ipo wapi.
Kwanza continental trophy ndiyo trophy gn? Waseme ni champions league au confederation, wasifosi mambo. Timu iliyochukua kombe la kueleweka hapa East and Central Africa ni Tp Mazembe peke yake, sisi wengine ndiyo tunakuja na inaonekana kabisa timu zetu muda si mrefu tutachukua kama si champions league basi confederation cup piga ua coz tunaenda kwenye misingi ya football.
 

Akitoka hapo anaenda kutafuta beberu apunguze machungu 😂😂
Kila side ya Kunyaland kuna laana unique equally usipokua govinda utakua beastiality bastard
images (69).jpeg
images (68).jpeg
images (70).jpeg
 
Taabu kila sehemu, We chuchunge hilo Govi lako limefunika hilo neno MSAADA or?

Mbona hii ni mara ya Pili unaleta humu na hukomi na wapumbavu wenzako kwa kuwa wana kijiba cha roho ni ukondoo.
Ngoja tumalize utata.
Kwanza angalia mazingira yenyewe ya hiyo michuano ya mozzartbet inapochezeka 🤣🤣
Screenshot_20250416_080024_Instagram Lite.jpg

Then, angalia hiyo page yenyewe ya Instagram ya hao sponsor, ina likes 11 na hakuna comment hata moja 🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250416_080102_Instagram Lite.jpg


Alafu angalia hiyo prize money for the winner, ksh 2m ambayo ni less than Tzs 40m
Screenshot_20250416_080315_Google.jpg

Utagundua hawa ni midomo tu mirefu lkn hakuna kitu, that's why tunawaita non football country, hiyo prize money ya champion wa hiyo mozzartbet cup haifikii hata robo ya prize money for the winner of crdb federation cup. Kwenye mambo ya soccer tusiwe tunawajibu tumewaacha mbali sanaa kama ranks za CAF na FIFA zinavyosema.
 
Back
Top Bottom