Duh aisee hii inaonesha ni ushamba kiasi gn mnao kwenye mambo ya kawaida, sasa hebu tuwe reasonable japo kdg, nyinyi mnajenga uwanja mmoja ambao ni talanta ambao sisi tulijenga kitambo na ni mkubwa kuliko huo (Mkapa), sisi tunajenga viwanja viwili kwa mpigo, sisi tutakuwa na viwanja vinne vitakavyotumika afcon in 4 different regions, nyinyi mtakuwa na viwili in one county (ambapo pia na doubt kama mna uwezo wa kuandaa), nani anapaswa kuogopa kati ya Tanzanians au kenyans? Acheni ushamba na vitu basic.